Pata suluhisho la vidonda vya tumbo na Bawasiri

Pata suluhisho la vidonda vya tumbo na Bawasiri tunatibu mfumo mzima wa mmeng'enyo wa chakula

Vidonda vya tumbo(ulcers) ni ugonjwa hatari sana ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwa   kikubwa n...
28/08/2025

Vidonda vya tumbo(ulcers) ni ugonjwa hatari sana ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwa kikubwa na kusababisha madhara makubwa ndani utumbo

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π—©π—œπ——π—’π—‘π——π—” 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗒 (π—¨π—Ήπ—°π—²π—Ώπ˜€)πŸ‘‡
πŸ€ Kichefu chefu hasa Wakati wa kula au baada ya kula
πŸ€ Kupoteza Hamu ya kula na kubagua Vyakula
πŸ€ Tumbo Kuwaka Moto
πŸ€ Tumbo Kuunguruma
πŸ€ Gesi nyingi Tumboni
πŸ€ Kiungulia Mara Kwa Mara
πŸ€ Tumbo Kuuma Ukichelewa kula au baada ya kula na hasa ukila vyakula vya Mafuta, kukaanga na fast food zote au vyenye viungo sana
πŸ€ Kucheua sana hasa vitu vichachu au Vichungu
πŸ€ Kukaukiwa sana maji kwenye Koo
πŸ€ Kuishiwa Nguvu Unapokosana na vitu Fulani
πŸ€ Kupoteza fahamu
πŸ€ Kuumwa Kichwa mara kwa mara
πŸ€ Macho kuuma na kupoteza uono
πŸ€ Vichomi kifuani na kuumwa kifua
πŸ€ Kubanwa pumzi
πŸ€ Kukosa choo na kupata choo kigumu (Constipation)
πŸ€ Kumwa Mgongo Upande wa Kushoto na Mbavu
πŸ€ Moyo Kulipuka, Kuchoma, na Mapigo ya Moyo kwenda Mbio
πŸ€ Kupata Hofu isiyo na Sababu Yoyote hasa Usiku
πŸ€ Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa na Kushindwa Kuhimili vizuri Tendo kwa Jinsia Zote

π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ

Karibu sana hospital kwetu

β˜ŽοΈπŸ‡ΉπŸ‡Ώ0710246965
BAWASIRI ni ugonjwa unaotokea kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ambapo mtu huwa na maumivu makali au kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*Madhara ya bawasiri*

▢️ *grade 1*
Utaona bawasiri ipo kwa ndani ya tundu la haja kubwa, katika hatua hii anakua hajui k**a ana bawasiri

▢️ *Grade 2*
Bado bawasiri haijatoka nje, ipo kwa ndani ila imeanza kukua

▢️ *Grade 3*
Tayari Bawasiri imetoka nje ila kidogo, na hapa tayari mhanga ameanza kupata usumbufu wa hiki kinyama kujitokeza nje na kuleta maumivu

▢️ *Grade 4*
Grade 4 utaona kinyama kimekua kirefu kutoka nje na kimekua kikubwa sana, katika Hali hii mtu hawezi kukaa kitako, inabidi akae upande upande,

*Madhara*

▢️Usipopata tiba mapema unaweza kupata kansa

▢️ Tatizo likiendelea kwa muda mrefu unaweza kupoteza Hali ya kuzuia kinyesi

▢️ Changamoto za kisaikolojia

▢️ Kuvuja damu Mara kwa Mara kupitia njia ya haja kubwa

✍️ Wasiliana nasi kwa ushauri
*+255 710246965

https://wa.me/message/2K2AJTETNN7VI1

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pata suluhisho la vidonda vya tumbo na Bawasiri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram