Afya yangu ndio mtaji wangu

Afya yangu  ndio mtaji wangu Karibuni katika page yangu ya ushauri na tiba

💊 ile tabia ukiumwa unakwenda duka la madawa unajitibu bila vipimo na ushauri wa dokta unafahamu jinsi gani linakuathiri...
24/08/2025

💊 ile tabia ukiumwa unakwenda duka la madawa unajitibu bila vipimo na ushauri wa dokta unafahamu jinsi gani linakuathiri?
💊 kwa mfano magonjwa ya zinaa watu wengi huwa wanogopa aibu kutokana na heshima yao kwa Jamie so anaenda anajinunulia dawa bila kufahamu lile tatizo limeleta athari gani
💊 kuna aina ya bacteria sugu ambao kiukwel dawa za anti biotics hazifanyi kazi ila zinapooza na tatizo linakuwa linakuathiri zaidi.

Kwa ushauri wa kimatibabu na vipimo Wasiliana nasi kwa namba 0760082566
Tunapatikana tegeta kwa ndevu
# afya ni mtaji #

CHANGO LA UZAZI KWA WANAWAKE🛑Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uz...
18/08/2025

CHANGO LA UZAZI KWA WANAWAKE

🛑Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Kwa mfano :- mume, hupata maumivu ya tumbo mara kueneza anapokuwa mdogo. Kwa upande wa mwanamke hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo. Maumivu hayo hupelekea mtu (mume/mwanamke) kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi.

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI KWA WANAWAKE

🛑Mwanamke mwenye chango la uzazi ana dalili zifuatazo:-⤵⤵

1⃣Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake(Hedhi).
2⃣ Kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
3⃣ Siku zake za hedhi hazitakuwa na ratiba, zitakuwa zinabadilika badilika,kuna wakati huchelewa na kuna wakati huwahi.
4⃣Hujisikia homa kali anapokaribia siku zake za dhedhi.
5⃣Kupatwa hasira kali/ jazba anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi.
6⃣Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.
7⃣ Kupata mchubuko kwenye mapaja na sehemu za uke.
8️⃣ Kuchukia kushiriki tendo la ndoa
9️⃣ Kupata uvimbe kwenye kizaziMimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.
1⃣1⃣ Maumivu makali chini ya kitovu/kwenye kinena.
1⃣2⃣Mimba kuporomoka au kutoshika mimba kabisa.
1️⃣3️⃣ Kujisaidia choo kigumu mara nyingiiiiii

MADHARA YA CHANGO KWA WANAWAKE
➡️Kwa mwanamke ni vigumu kupata mimba
➡️Mwanamke anaweza kuwa tasa kabisa.
➡️Kuingia na kutoka kwa mimba
➡️Kuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafiki kileleni.
➡️Kuwa na uke mdogo sana.
➡️Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
➡️Kupata uvimbe kwenye kizazi.
➡️Kuvurugika kwa mfumo mzunguzo wa hedhi.
➡️ KUPATA Bawasiri kutokana na kupatwa na choo kigumu

TIBA NA USHAURI.

Kuondoa tatizo la Chango la Uzazi itahitaji matibabu ambayo yatatolewa na mtaalamu baada ya kujua chanzo cha tatizo hili.

Huenda na wewe unasumbuliwa sana na tatizo hilo, tuwasaliane Kwa msaada zaidii..

Maoni maswali karibu
Piga no 0752244069

Afya yako mtaji wako  ,
10/08/2025

Afya yako mtaji wako ,

Address

Dar Es Saalam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yangu ndio mtaji wangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share