salama meds

salama meds Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from salama meds, Health & Wellness Website, dar es salaam, Dar es Salaam.

� Salama Meds | Kituo cha Afya Bora

Huduma kwa magonjwa sugu: kisukari, shinikizo la damu, vidonda vya tumbo, matatizo ya mifupa na uzazi.
�Huduma salama, ushauri wa kitaalamu
� 0625 257 681

28/10/2025

Unasumbuliwa na changamoto za uzazi? Sasa suluhisho liko karibu yako!
Tunatoa tiba na ushauri kwa matatizo yafuatayo:

🔸 Kukosa hedhi / hedhi zisizoeleweka
🔸 Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
🔸 Kushindwa kushika mimba
🔸 Kuvurugika kwa homoni
🔸 Kupoteza hamu ya tendo la ndoa
🔸 Kuvurugika kwa siku za uzazi (ovulation issues)
🔸 Fibroids & cysts

✅ Tuna kipimo maalum cha uchunguzi wa matatizo yote ya uzazi

📍 Huduma zetu zinapatikana kituoni, wasiliana nasi kwa maelezo zaidi
📞 0625 257 681

*Usikate tamaa, uzazi ni zawadi – na zawadi huandaliwa!*

20/10/2025

Hizi ndizo faida fupi za dawa za kurekebisha hedhi na kuondoa uvimbe 👇🏽

💧 Hurekebisha mzunguko wa hedhi

🌿 Huondoa maumivu ya tumbo na mgongo

⚖️ Husawazisha homoni za k**e

🌺 Huondoa uvimbe kwenye kizazi na ovari

❤️ Huboresha afya ya uzazi

💨 Huondoa damu chafu na uchafu tumboni

🤰 Huongeza nafasi ya kupata ujauzito

Mawasiliano 0625257681

20/10/2025

Wanawake wengi hushindwa kupata ujauzito si kwa sababu ya bahati mbaya, bali kutokana na

1.MATATIZO YA UZAZI k**a mirija kuziba, homoni kutokuwa sawa, uvimbe kwenye kizazi, au maambukizi ya muda mrefu yasiyotibiwa. 😢

Usikae kimya ukiteseka — suluhisho lipo!
👉🏽 Fanya uchunguzi mapema PRISCA HEALTHCARE upate tiba sahihi na matumaini mapya ya kuwa mama 💚

📞 Piga simu: 0625 257 681

20/10/2025

🦷 Faida kwa meno

Husafisha na kung’arisha meno – Huondoa uchafu na mabaki ya chakula yanayosababisha weusi au doa kwenye meno.

Huondoa harufu mbaya ya kinywa – Ina viambato vinavyoua bakteria wanaosababisha harufu, hivyo kinywa hubaki na harufu safi muda mrefu.

Husaidia meno yaliyotoboka – Hupunguza maumivu na husaidia kulinda meno yaliyoharibika kutokana na vijidudu.

Huimarisha fizi na kuzuia kutokwa damu – Husaidia fizi ziwe imara na zenye afya.

👣 Faida kwa mwili (matumizi ya nje)

Huondoa fungus za miguuni – Inapotumika kwenye ngozi yenye fangasi, husaidia kuua vijidudu na kuponya ngozi taratibu.

Husaidia kutibu muwasho au upele mdogo – Ina viambato vya asili vinavyosaidia kutuliza ngozi.

🌿 Faida kwa tumbo

Huondoa gesi tumboni (gas) – (k**a kuchanganya kiasi kidogo na maji ya uvuguvugu), husaidia kupunguza gesi na kuleta utulivu wa tumbo.

Huboresha usagaji wa chakula – Viambato vya mimea vilivyomo husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi vizuri.

MAWASILIANO 0625257681.

16/10/2025

Unasumbuliwa na uchovu usioisha? Maumivu ya viungo au kichwa yanakutesa mara kwa mara? RELISH COFFEE ni jibu sahihi kwa afya yako!

Faida Kuu za Relish Coffee:
✅ Huondoa uchovu wa mwili na akili
✅ Hupunguza maumivu ya viungo na kichwa
✅ Hufanya detoxification mwilini – huondoa sumu
✅ Huimarisha kinga ya mwili na kukupa nguvu mpya

Ni kahawa ya asili yenye virutubisho vyenye nguvu ya kuusaidia mwili wako kwa njia salama na yenye ladha tamu.

📞 Wasiliana nasi kwa oda:0625 257 681

Reish Coffee leo – Mwili wako utashukuru!

16/10/2025

🌿 REISH COFFEE ☕ – Nguvu ya Asili kwa Afya Yako!

Unasumbuliwa na uchovu usioisha? Maumivu ya viungo au kichwa yanakutesa mara kwa mara? RELISH COFFEE ni jibu sahihi kwa afya yako!

Faida Kuu za Relish Coffee:
✅ HUONDOA UCHOVU WA MWILI NA AKILI
✅ HUPUNGUZA MAUMIVU YA VIUNGO NA KICHWA
✅ HUFANYA DETOXIFICATION (HUONDOA SUMU MWILINI)
✅ Huimarisha kinga ya mwili na kukupa nguvu mpya

Ni kahawa ya asili yenye virutubisho vyenye nguvu ya kuusaidia mwili wako kwa njia salama na yenye ladha tamu.

📞 Wasiliana nasi kwa oda:0625 257 681
📍Dar es Salaam

Jaribu Relish Coffee leo – Mwili wako utashukuru

Nafahamu furaha mliyo nayo ni kubwa mno, Baada ya miaka mingi na kushirikiana kwenye maombi, Kupitia safari ya changamot...
15/10/2025

Nafahamu furaha mliyo nayo ni kubwa mno, Baada ya miaka mingi na kushirikiana kwenye maombi,

Kupitia safari ya changamoto ya kukosa mtoto— Hatimaye majibu ya kipimo yamekuja POSITIVU..

*Ipo hivi.....*

Safari ya kiafya haimaliziki kwenye kicheko cha majibu...MSIJISAHAU....

Hapa ndipo familia nyingi hukose wanasimama kusherehekea bila kujua kuwa hatua ya kwanza ndiyo imeanza...

*Jiulizeni maswali haya....👇*

Je, lishe ya ujauzito itandaliwa kuhakikisha mtoto anakua bila hatari za upungufu wa damu, shinikizo la juu au kisukari cha mimba...?

Je, kliniki ya kwanza mtahudhuria kwa pamoja ili kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu wa awali...?

*NB:* Ujauzito ni zawadi, lakini pia ni jukumu, Ni kipindi kinachohitaji ufuatiliaji, lishe bora, mazoezi mepesi ya usalama, na uchunguzi wa kitaalamu wa mara kwa mara...

Miujiza ya kushika mimba ni hatua ya kwanza… Lakini kupokea mtoto mwenye afya njema mikononi mwako— Ndiyo ushindi wa kweli....

Usiishie kufurahi tu, anza safari ya kliniki mapema, Jipatie elimu ya lishe na afya ya uzazi kutoka kwa mtaalamu, kwa sababu afya ya kesho inaanza na hatua unazochukua leo.....

*By priscah Healthcare | Jifunze na chukua hatu kuboresha afya yako...🩺🫡*
0625257681.

*Uraibu wa Punyeto— Sumu Ya Kimya Inayoua Ndoto za Wanaume...🩺*Hakuna kitu kinachoonekana kidogo lakini kikaharibu maish...
15/10/2025

*Uraibu wa Punyeto— Sumu Ya Kimya Inayoua Ndoto za Wanaume...🩺*

Hakuna kitu kinachoonekana kidogo lakini kikaharibu maisha ya mwanaume kimyakimya k**a uraibu wa punyeto.....

Huu siyo mchezo wa starehe tena— Ni mfumo wa kisaikolojia unaouharibu mfumo wako wa homoni, nguvu za kiume, ubongo, na hata roho yako ya ushindi....

Ni zaidi ya voltage ya umeme wa viwandani — Unapoanza unafikiri unaweza kuacha muda wowote ukitaka...Lakini mwili wako hauko tena upande wako....

Kila unavyorudia, dopamine inakosa utulivu— Ubongo wako unakuwa Mgonjwa wa raha za haraka, na Matokeo yake Ni....

↳ Uvivu, kukosa hamasa na maamuzi dhaifu...

↳ Kushuka kwa testosterone hormone, Nguvu za kiume kupotea.

↳ Hofu, aibu na kujiamini kushuka chini ya sifuri.

↳ Mhemko kubadilika, usingizi kuharibika, hata maono ya maisha kufifia....

↳ Hisia kali kwenye kichwa cha uume *(Pe**le hypersensitivity)* Hali inayo pelekea kuwahi ndani ya dakika moja, Hata ukigusa tu mashavu ya Uke.

*NB:* Kitaalamu, uraibu huu huanzisha mnyororo wa upotevu wa nishati ya ubongo *(neuro energy)* Na huathiri mfumo wa fahamu unaosimamia msisimko, furaha na ubunifu....

Unapochezea mfumo huo mara kwa mara, ubongo wako hujifunza kutegemea punyeto k**a chanzo cha utulivu Na kujiridhisha— Hapo ndipo maisha yako yote yanapinduka.....

*Broo, anza leo kujinasua......👇*

Siyo kwa hofu —Bali kwa ufahamu wa kisayansi, Ukombozi wako hauanzi kwa dawa, unaanza kwa kujua chanzo, kuelewa mwili wako, na kurejesha udhibiti wa ubongo wako....🫵

K**a kweli una nia ya kujinasua kwenye uraibu huu na kurejesha nguvu zako za kiume, akili, na nidhamu ya maisha wasiliana nami 0625257681.

Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume, Unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi Dume...??Tezi dume s...
15/10/2025

Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume, Unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi Dume...??

Tezi dume sio ugonjwa…Ni kiungo muhimu sana kwa mwanaume....

*Kazi yake kubwa ni...* 👇

Kuzalisha maji yanayounda shahawa, yanayolinda na kusaidia mbegu za kiume kusafiri ili kutungisha mimba...

Lakini mitindo mibovu ya maisha tunayoishi leo—Ukiachana kabisa na swala la kurithi...

Hupelekea mwanaume kukumbwa na changamoto za tezi dume...Kwa asili kuwa...

*Ipo hivi....kuna aina tatu kuu za matatizo ya tezi dume....*

1. Kukua kwa tezi dume (BPH – Benign Prostate Hyperplasia)..

↳ Kukua kwa tezi dume, haihusishi, saratani wala maambukizi...

2. Maambukizi ya bacteria (Prostatitis)..

↳ Huambatana na maumivu makali na huathiri uwezo wa uzazi.

3. Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer),

↳ Hii ndio hatari zaidi husababisha vifo vingi vya wanaume duniani.....

Tuone dalili kuu zinazojitokeza kwa wanaume wenye matatizo ya tezi dume...

↳ Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku (Nocturia)...

↳ Mkojo kutoka kwa shida au kuchelewa kuanza kutoka (Hesitancy)...

↳ Mtiririko dhaifu wa mkojo (Weak urine stream)..

↳ Hisia ya kutomaliza mkojo kwenye kibofu (Incomplete bladder emptying)...

↳ Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa (Dysuria)..

↳ Damu kwenye mkojo (Hematuria) au damu kwenye shahawa (Haematospermia)...

↳ Maumivu ya nyonga, chini ya mgongo au sehemu za siri endapo ni saratani..

*Usizipuuze....👇*

Kila mwanaume ana wajibu wa kujilinda mapema kwa uchunguzi na vipimo sahihi...HOSPITAL.

Kwa ushauri zaidi 0625257681

14/10/2025

🟢 Umuhimu wa Chakula Bora na Kamili 🍲🥦*

Chakula bora na kamili ni silaha ya kwanza ya kujilinda dhidi ya magonjwa. Mwili wako unahitaji mchanganyiko sahihi wa virutubisho ili kuwa na afya, nguvu na kinga imara.

✅ Husaidia ukuaji wa mwili na seli mpya*
✅ Huimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa*
✅ Huboresha uwezo wa kufikiri na kumbukumbu*
✅ Huweka ngozi, nywele na macho kuwa na afya*
✅ Huweka uzito katika kiwango sahihi*

Mlo kamili unapaswa kuwa na:
🥦 Mboga za majani
🍚 Wanga (k**a wali, ugali, viazi)
🥩 Protini (nyama, samaki, mayai, maharage)
🍎 Matunda
💧 Maji safi kwa wingi

Epuka vyakula vya mafuta mengi, sukari kupita kiasi na vyakula vya haraka (fast foods).

Afya njema huanza na lishe bora. Jali mwili wako kwa kula sahihi kila siku.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
12102

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when salama meds posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram