02/02/2026
🚨 Dalili na Madhara ya UTI (Urinary Tract Infection)
UTI ni maambukizi kwenye njia ya mkojo (figo, ureta, kibofu au urethra). Hutokea zaidi kwa wanawake, lakini wanaume pia hupata.
---
🔍 Dalili za UTI
Kuungua au maumivu wakati wa kukojoa
Kujisikia kukojoa mara kwa mara (hata mkojo ukiwa kidogo)
Mkojo kuwa na harufu kali au kuwa na rangi ya mawingu
Maumivu ya tumbo la chini au mgongo wa chini
Kutokwa na damu kidogo kwenye mkojo
Homa, baridi au uchovu (hasa ikifika kwenye figo)
Kichefuchefu au kutapika (dalili kali zaidi)
---
⚠️ Madhara ya UTI Isipotibiwa
Maambukizi kufika figo (Pyelonephritis) – huleta maumivu makali, homa kali
Uharibifu wa figo (kwa UTI zinazorudia)
UTI ya mara kwa mara (chronic/recurrent UTI)
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Hatari kwa wajawazito: kujifungua kabla ya muda au mtoto kuwa na uzito mdogo
Kwa wanaume: inaweza kuathiri tezi dume (prostate)
Wasiliama nasi kupitia whattsap number 0675378545