Zingatia Afya na Namy

Zingatia Afya na Namy TUNATIBU MAGONJWA YOTE YASIYO AMBUKIZA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

KARIBU
05/02/2026

KARIBU

30/01/2026

KARAFUU INA MAAJABU YAKE

1. K**a uke wako unatoa harufu mbaya chemsha karafuu na kunywa kabla hujala chochote asubuhi na jioni tena .Endelea tatizo lako litakwisha.

2. K**a una matatizo ya tumbo ikiwemo mvurugiko wa tumbo tafuna karafuu kwenyetumbo wazi yani kabla hujala chochote au chemsha na unywe chai yake asubuhi na jioni utaoa mabadiliko.


3. Wale wenye mikunjo kunjo usoni chemsha kwenye maji acha ipoe kisha tumia pamba paka usoni maji hayo ,utaona mabadiliko usoni kwako.

5. Kwa madonda ya kooni (kwenye koo) ,pondaponda karafuu upate unga wake kisha chemsha kwenye maji kunywa chai yake asubuhi mchana na jioni,weka kijiko kimoja cha asali original kwenye chai yako. Waweza pia kulamba asali kijiko kimoja na karafuu unga kijiko kimoja kumaliza tatizo lako wakati huo huo ukiendelea na chai yako.

6. Wale wanaovuta sigara na walevi ,chemsha karafuu unywe asubuhi na jioni kusafisha mapafu yako na Ini lako .fanya mara 3 kwa siku au mara 2 kila siku utaona mabadiliko.

7. K**a mwili wako unakosa nguvu mara kwa mara ,kazi kidogo tu unachoka , basi kunywa chai ya karafuu na asali mara mbili kwa siku kila siku.Fuata maelekezo k**a hapo juu.

8. Karafu husafisha mwili .Ili kuamini hilo unapoanza tu dozi ya chai ya karafuu chunguza mkojo wako utaona uchafu mwingi ukitoka kupitia kwenye mkojo.

23/01/2026

Address

Kimara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zingatia Afya na Namy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram