17/03/2026
GCAT HOSPITAL International_HUDUMA YA OFA YA KIPIMO CHA MWILI MZIMA
Tupo kwenye kipindi cha OFA maalumu utalipia Tsh 20,000 tu ya kufanya vipimo vya mwili mzima na utapata ushauri bure kutoka kwa Daktari.
KIPIMO KINAONESHA
1.Tatizo husika
2.Chanzo cha tatizo
3.Viashiria vya tatizo lingine
kipimo kinahusika na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi
Tunafanya vipimo vya mwili mzima katika mifumo ifuatayo :
1.Mfumo wa ubongo
2.Mfumo wa upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5,Mfumo wa misuli na mifupa
6.Mfumo wa uzazi kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa macho
pia Tunatoa huduma ya Matibabu kwa magonjwa sugu k**a ifuatavyo
-vidonda vya Tumbo,Presha, Kisukari,
Moyo,Figo,INI,Choresterol,bawasili,
-Tezidume,fangasi,Uzazi kwa wanawake na wanaume , macho, Allergy, Mifupa ,Ngozi
Tunatbu Uvimbe Aina zote bila upasuaji, stroke(kupooza) , miguu,Magoti, ganzi, uzito, na unene, uvimbe kwenye via vya uzazi,ukuaji Mbovu wa watoto n.k
ili kupata huduma wasiliana nasi kwa namba.
0659165 982