31/01/2026
WHY ARE YOU STILL SMOKING.EPUKA UVUTAJI WA SIGARA..Madhara ya kuvuta sigara/shisha/bangi..misuli kuharibika.kuonekana umezeeka wakati kijana..kupungua kwa uwezo wa kutambua radha na harufu..kansa ya mapafu..kuparalaizi..magonjwa ya moyo..kupungua nguvu za kiume/kushindwa kusimamisha..mimba kuharibika kwa wanawake..kukosa uwezo wa kubeba ujauzito.mtoto kuzaliwa na mapungufu..msongo wa mawazo
" .