Dr Joshua Nghalo

  • Home
  • Dr Joshua Nghalo

Dr Joshua Nghalo Ikiwa upo kwenye ndoa na unakutana na changamoto za kuwahi kufika kileleni au kuchelewa kurudia tendo la ndoa, Programu ya UTAMU WA NDOA ni suluhisho lako.

Tunakusaidia kurejesha nguvu zako, kuboresha uhusiano wako, na kuleta furaha mpya kwenye ndoa yako.

17/07/2025

Account yetu imerudi sasa ni elimu back to back

Je, unafanya kazi ofisini?Na kila siku unakaa kwenye kiti kwa saa 8 au zaidi?Unaanza kuhisi nguo zako zinakubana?Kitambi...
24/05/2025

Je, unafanya kazi ofisini?

Na kila siku unakaa kwenye kiti kwa saa 8 au zaidi?

Unaanza kuhisi nguo zako zinakubana?

Kitambi kinatokea?
Usijali!

Tumeandaa darasa la BURE kabisa kupitia WhatsApp litakalokufundisha:

Mlo sahihi unaoweza kufuata ukiwa kazini

Mazoezi rahisi ya dakika 5 bila gym

Siri ya kupunguza kitambi bila njaa, mateso wala dawa hatari

Hili si darasa la kawaida – ni mpango maalum kwa watu wanaojali afya yao, lakini hawana muda mwingi.

Utapata tips kutoka kwa mtaalamu na washiriki wengine waliopunguza kitambi wakiwa bado wanafanya kazi.

Usikubali afya yako iharibike kwa sababu ya kazi.

Bofya link hapo chini ujaze fomu uingizwe kwenye group.

https://whatsform.com/7O0m2B

Nafasi ni chache sana.

Jiunge leo — maisha bora yanaanza na hatua ndogo k**a hii!”*

KITAMBI KIMEKUCHOSHA?K**a wewe ni mfanyakazi wa ofisini na unahangaika na kitambi au tumbo linalozidi kukua…Jiunge nasi ...
23/05/2025

KITAMBI KIMEKUCHOSHA?

K**a wewe ni mfanyakazi wa ofisini na unahangaika na kitambi au tumbo linalozidi kukua…

Jiunge nasi kwenye darasa la bure la WhatsApp la siku chache tu ujifunze:

Mlo bora wa kupunguza tumbo bila njaa

Mazoezi rahisi ya dakika 5 ukiwa kazini

Siri ya kutopata kitambi tena

Nafasi ni chache! Bofya link hapa chini ujaze form uingizwe kwenye group.

https://whatsform.com/7O0m2B

02/05/2025

K**a unateseka na uzito mkubwa au Kitambi, umejaribu kila njia Ila bado, nitumie ujumbe WhatsApp 0712910941 nikupe mwongozo bure.

Happy Labour Day to all go-getters and dream-builders!
01/05/2025

Happy Labour Day to all go-getters and dream-builders!

Njia 5 za Kupata Wazo Zuri la Biashara (Kwa Waajiriwa)1. Chunguza matatizo ya watu wanaokuzunguka2. Tumia kile unachopen...
25/04/2025

Njia 5 za Kupata Wazo Zuri la Biashara (Kwa Waajiriwa)

1. Chunguza matatizo ya watu wanaokuzunguka

2. Tumia kile unachopenda kufanya (passion) k**a chanzo cha wazo

3. Angalia vitu vinavyotrend mitandaoni

4. Sikiliza hadithi za waliofanikiwa na soma vitabu vya biashara

5. Fanya utafiti mdogo wa soko lako

Leo Tuangalie Njia ya Pili: “Tumia Passion Yako”

Kuna kitu ndani yako kinachoweza kugeuka kuwa biashara k**a ukiamua.

Passion yako ni k**a mbegu: huwezi kuvuna mazao bila kuipanda na kuimwagilia.

Mfano halisi:
Ukipenda kupika, unaweza kuanza kwa kuandaa chakula cha ofisi jirani au hata kufundisha mitandaoni.

Ukipenda urembo, unaweza kuanza kushauri watu mitandaoni au kuuza bidhaa unazozijua kwa undani.

Hii siyo fantasy ni uhalisia unaowezekana kwa mtu yeyote anayeamua kutumia kile alicho nacho.

Lakini...
Changamoto kubwa kwa waajiriwa wengi siyo kukosa passion, bali ni kutojua jinsi ya kuigeuza kuwa chanzo cha kipato.

Wanabeba vipaji vyao kila siku kazini, lakini mwisho wa mwezi bado wanategemea mshahara mmoja usiotimiza ndoto zao.

Wengine wanaandika vizuri, lakini hawajui waandike nini.

Wengine wanajua mitindo, lakini hawajui waanze vipi.

Wengine wanajua kupika, lakini hawajui hata wazo la kuanza nalo.

Na ndiyo maana niliamua kuandika ebook ya WAZO LA MILIONI siyo tu kitabu cha kusoma, bali ni ramani ya kutoka kuwa mtu mwenye ndoto hadi kuwa mtu mwenye kipato kupitia kile unachopenda.

Kwa sababu najua si kila mtu ana muda wa kuanza kusoma vitabu vingi au kutazama video 100 YouTube.

Unahitaji kitu kilichoandaliwa mahsusi kwa mtu anayefanya kazi kazini lakini anataka kuanzisha kipato cha pili bila kuathiri kazi yake ya ofisini.

Hii Ndio Ofa ya Leo:

Pata ebook ya WAZO LA MILIONI kwa TSH 4,999 tu

Na utapewa BONUS ya ebook ya MONEY HUSTLE bure kabisa!

Kitabu hiki cha bonus kinakuonyesha mbinu za kutengeneza kipato cha pili kwa kutumia simu yako, bila kuacha kazi yako ya sasa.

Jinsi ya Kupata:
Tuma ujumbe WhatsApp wenye maneno:
“Nataka Wazo la Milioni” kwenda
0712 910 941

Usinunue kwa sababu umesukumwa... nunua kwa sababu unajua:

Mwaka huu hauwezi kuwa wa matumaini tu ni mwaka wa matokeo.
Na matokeo huanza kwa hatua moja tu sahihi.

“Kuna kitu kinakuzuia kuwa mkubwa… lakini hakionekani machoni!”Vijana wengi wanahangaika kutafuta hela, mafanikio, na he...
23/04/2025

“Kuna kitu kinakuzuia kuwa mkubwa… lakini hakionekani machoni!”

Vijana wengi wanahangaika kutafuta hela, mafanikio, na heshima, lakini wanaendelea kuzunguka mduara.

Kwanini? Kwa sababu mambo haya 5 yamewafunga bila wao kujua:

1. Kuahirisha mambo (Procrastination) – Kila siku unasema nitafanya kesho, hadi miaka inapita bila hatua yoyote. Kumbuka, mafanikio yanahitaji vitendo – siyo mipango tu.

2. Kuogopa kushindwa – Wengi wana wazo zuri la biashara au kipaji kikubwa, lakini hofu ya “nikishindwa je?” inawafanya wabaki kimya. Shindwa ukiwa unaendelea, si ukiwa umesimama!

3. Hakuna malengo (Directionless life) – Kuamka kila siku bila mpango ni hatari. Fanya maisha yako yawe na mwelekeo k**a msafiri anayejua anakokwenda.

4. Kufuata mkumbo wa marafiki – Si kila anayekuita "bro" au "sis" ni msaada kwako. Wengine wanakuchelewesha kwa vicheko na starehe zisizo na tija.

5. Kupoteza muda kwenye starehe – Masaa mengi kwenye TikTok, Netflix, na vijiweni... halafu unalalamika maisha ni magumu. Weka ratiba. Wekeza muda wako mahali patakaporudisha tunda.

Swali la siku:
Ni tabia ipi kati ya hizi tano unahisi inakuzuia usonge mbele?
Tuambie kwenye comment. Huenda ukamgusa mtu mwingine pia!

post hii na kijana mmoja unayemjali!

Shuhuda
21/04/2025

Shuhuda

20/04/2025

Pasaka njema, sherehekea kwa Amani

20/04/2025

Niwatakie pasaka njema Wakristo wote ulimwenguni.

OFA YA PASAKA ! *Bundle ya eBook 4 kwa TSH 4,999 tu (Badala ya 100,000!)*Unataka kubadili maisha yako kiuchumi na kiroho...
19/04/2025

OFA YA PASAKA !

*Bundle ya eBook 4 kwa TSH 4,999 tu (Badala ya 100,000!)*

Unataka kubadili maisha yako kiuchumi na kiroho? Hii ni nafasi yako ya kipekee!
Pata eBooks 4 zinazobadilisha maisha yako kwa bei ya kushangaza ya Tsh 4,999 tu!

Kwa mara ya kwanza kabisa, unakutana na ofa ya kipekee ya eBook 4 zinazogusa maisha yako kiuchumi na kiroho kwa bei ya kushangaza!

Unapata:

1. Money Hustle – Jifunze mbinu za kuanzisha kipato hata k**a huna mtaji mkubwa.

2. Wazo la Milioni – Weka mkakati wa kubadilisha mawazo kuwa biashara kubwa.

3. Siri ya Kupanda – Kitabu kinachoamsha roho yako na kukuonyesha namna ya kupanda kutoka sifuri hadi juu.

4. Siri za Mafanikio Zilizojificha Kwenye Mwezi Wako wa Kuzaliwa Tambua uwezo uliofichwa kulingana na mwezi uliyozaliwa na namna ya kuutumia kufanikisha maisha yako.

Thamani halisi: Tsh 100,000

Bei ya OFA: Tsh 4,999 tu (Elfu nne mia tisa tisini na tisa)

OFA hii ni ya muda mfupi – usiikose!

Kupata bundle hii:
Tuma neno “EBOOK” kupitia WhatsApp: +255712 910 941

(Mpesa: 0747694376 - Jina: Joshua Nghalo)

SEMINA YA BIASHARA – ARUSHAWakazi wa Arusha! Jiandae na SEMINA KUBWA YA BIASHARA itakayofanyika siku ya Muungano, Ijumaa...
19/04/2025

SEMINA YA BIASHARA – ARUSHA
Wakazi wa Arusha! Jiandae na SEMINA KUBWA YA BIASHARA itakayofanyika siku ya Muungano, Ijumaa tarehe 26 April kwenye Corridor Spring Hotel, kuanzia saa 9 alasiri.

Kiingilio ni Tsh 5,000 tu!
Utajifunza mbinu za kisasa za kuongeza kipato na kuanzisha biashara ukiwa na mtaji mdogo.

Nafasi ni chache! Pata kadi yako sasa kwa kutuma ujumbe WhatsApp: 0712910941

Address


Telephone

+255712910941

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Joshua Nghalo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share