Muu Hijama Tz

Muu Hijama Tz HIJAMA, is the best treatment ever 💥

HIJAMA NI NINI (Cupping therapy) : ni sayansi ya kufyonza, kuvuta, kunyonya kutoka ndani ya mwili damu chafu na vyote vi...
15/01/2025

HIJAMA NI NINI (Cupping therapy) : ni sayansi ya kufyonza, kuvuta, kunyonya kutoka ndani ya mwili damu chafu na vyote visivyotakiwa kuishi ndani ya mwili.

Kinga za mwili huanza kufanya kazi kwa nguvu mpya na kwa kasi ya ajabu siku moja baada ya mtu kufanya hijama.

Tiba hii imeshangaza wengi kwa matokeo yake ya ajabu kwa kutibu magonjwa yasiyoonekana, magonjwa sugu na maumivu ya mwili.

Unaweza kuitumia hijama k**a kinga ya afya yako, lakini pia k**a tiba ya magonjwa yanayokuandama.

Inafahamika kwa lugha ya kiarabu k**a HIJAMA, Kiingereza k**a CUPPING THERAPY na kiswahili k**a KUUMIKA / KUPIGA CHUKU.

FAIDA ZA HIJAMA :

🟡 Inasaidia kuongeza mzunguko wa damu katika mwili (BLOOD CIRCULATION).

🟡 Inaondoa sumu katika mwili (DETOXIFICATION).

🟡 Inaongeza kinga ya asili katika mwili dhidi ya maradhi mengi (NATURAL IMMUNITY).

🟡 Inasaidia changamoto za uzazi (FERTILITY).

🟡 Inasaidia kuondosha maumivu kwenye viungo (PAIN THRESHOLD).

🟡 Inasaidia kuuweka sawa mfumo wa limfu katika mwili (LYMPHATIC SYSTEM).

🟡 Inapunguza kuvimba kwa mwili kuliko pitiliza (INFLAMMATION).

🟡 Inasaidia kuzalishwa kwa wingi kwa seli nyekundu za damu (RED BLOOD CELL).

NB: "The red blood cell's main function is to carry oxygen from the lungs and deliver it throughout our body".

"Kazi kubwa ya seli nyekundu za damu ni kuichukua hewa ya oksijeni kutoka kwenye mapafu na kuisambaza katika maeneo mbali mbali katika mwili kwa ajili ya matumizi ya mwili".

🟡 Inaondoa lehemu (CHOLESTROL) mwilini.

Kiwango kikubwa cha CHOLESTROL mwilini hupelekea madhara kwenye mishipa ya moyo, shambulio la moyo (heart attaker), pressure pamoja na kisukari.

🟡 It encourage whole-body comfort and relaxation.

Hijama husaidia kuufanya mwili uwe mwepesi sanaaa, na huu ni ushuhuda ambao huutoa kila mwenye kufanya hijama na mara tu baada ya kumaliza kufanya hijama.

# Dr. Muhammad HIJAMA THERAPIST (C.E.O MUU HIJAMA).

Kindly call 📞 : 0683 474 744

Follow us on Instagram, & Tiktok as muu_hijama_tz

Hijama ya MiguuCall 📞 us : 0683474744
09/07/2024

Hijama ya Miguu
Call 📞 us : 0683474744

Hijama bora ya kichwa.
07/07/2024

Hijama bora ya kichwa.

We rejuvenate the sunnah
22/06/2024

We rejuvenate the sunnah

TUNATIBU MAUMIVU YA MGONGO, NGUVU ZA KIUME, CHANGAMOTO ZA UZAZI, STROKE NA MAGONJWA MENGI SUGU KWA KUTUMIA TIBA YA HIJAM...
09/06/2024

TUNATIBU MAUMIVU YA MGONGO, NGUVU ZA KIUME, CHANGAMOTO ZA UZAZI, STROKE NA MAGONJWA MENGI SUGU KWA KUTUMIA TIBA YA HIJAMA NA DAWA ZA ASILI.

09/06/2024
Njoo tukupatie huduma bora kwa kwa bei nafuu
07/06/2024

Njoo tukupatie huduma bora kwa kwa bei nafuu

Address

Chanika
Dar Es Salam

Telephone

+255683474744

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Muu Hijama Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Muu Hijama Tz:

Share