BF SUMA SHOP TZ

BF SUMA SHOP TZ Global pharmaceutical and health company from U.S.A, dedicated to improve the health of mankind

BFSUMA TZ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.BFSUMA ni Kampuni inayo jihusisha na Uzalishaji na Usambazaji wa bidhaa za VIRUTUBISHALISHE .Bidhaa hizi huz...
24/09/2023

BFSUMA TZ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

BFSUMA ni Kampuni inayo jihusisha na Uzalishaji na Usambazaji wa bidhaa za VIRUTUBISHALISHE .Bidhaa hizi huzalishwa katika nchi za MAREKANI ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ HongKong ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ฐ na GERMANY ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช

*** Unaweza KUJISAJILI na Kua WAKALA WA BFSUMA Kwa MTAJI WA Laki moja na Hamsini Elfu ( Tsh 150,000/=)
โ€ขFAIDA za kuwa WAKALA wa BFSUMA
1)UBORA WA BIDHAA,bidhaa zetu ni bora kwa kuwa na matokeo mazuri kwa kila mtumiaji

2)BEI YA BIDHAA,tuna bidhaa nyingi za Bei ya chini Ambazo watu Wengi wana Mudu hivyo itakurahisishia kufanya biashara kwa watu wa matabaka/level zote

3)NAMNA YA KUANZA BIASHARA,ni rahisi kuanza biashara na BFSUMA kwani MTAJI unaohitajika ni (Tsh 150,000/=)Ambayo watu Wengi wana mudu
...Uta Chukua bidhaa ambazo una mteja anaihitaji au unazohitaji kuzitumia

4)MPANGO MASOKO BORA NA UNAOTEKELEZEKA,mpango masoko wa BFSUMA ni rahisi kwa kila Mwenye kujituma katika kufanya kazi hivyo huwezesha WAGAVI/MAWAKALA Kupata BONUS KILA MWEZI,ku QUALIFY SAFARI NA MAGARI

5) UWEPO WA BIDHAA NYINGI Aina TOFAUTI TOFAUTI , HII inakusaidia wewe Mgavi/Wakala KUKUA KI BIASHARA Kwani unakua na Wigo mpana wa SOKO .

Pia Kampuni Ya BFSUMA huzalisha BIDHAA zake zote Yenyewe kitu kinachoiwezesha Kampuni ku Control UBORA WA BIDHAA , Tofauti na Makampuni mengine ambayo huingia Ubia/Mikataba na Viwanda/Wazalishaji ili kuweza kuzalishiwa bidhaa kwa brand/Majina yao.

**FIKIRIA CHUKUA HATUA**
KILA KITU KINAWEZEKANA

JIUNGE NASI TUTAKUWEZESHA KUYAFIKIA MALENGO YAKO

Wasiliana nasi : 0652 92 90 98

08/10/2021
06/09/2021
WAKALA WA MAUZO WANAHITAJIKAbrighter health ni wasambazaji wa bidhaa za tiba lishe (tiba za asili) ambazo zimetengenezwa...
04/09/2021

WAKALA WA MAUZO WANAHITAJIKA

brighter health ni wasambazaji wa bidhaa za tiba lishe (tiba za asili) ambazo zimetengenezwa kwa kutumia mimeatiba mbalimbali.

Kutokana na kasi ya ukuaji wa soko la bidhaa zetu, tuna uhitaji wa kuongeza wasambazaji wengi wa bidhaa watakaohudumu kwenye vituo vyetu vya mauzo na maeneo jirani.

SIFA
-binti kati ya miaka 23 - 35
-Mkazi wa dar es salaam
-Elimu kuanzia kidato cha nne
-Uwe na uwezo wa kujielezea na kuelezea bidhaa vizuri
-uwe smart mwenye muonekano mzuri

Maombi yote ya nafasi hii yatumwe kwa email hapo chini kwa kuzingatia sifa na vigezo hivi

Email
brighterhealth255@gmail.com

04/09/2021

Dr Cow Smart Gummies ni virutubisho vilivyotengenezwa katika mfano wa p**i ndani yake kuna Mafuta ya samaki yenye Omega3 fatty acid ambayo itampa mwanao yafuatayo:-

Inaimarisha Kinga ya mtoto na kumfanya akue akiwa na afya njemaย 

Inaimarisha afya ya moyo na kuzuia kushambuliwa na magonjwa ya moyo.

Inaimarisha afya ya mfumo wa fahamu, huongeza uwezo wa kufikiri na kuondoa Hali ya usahaulifu

Inaimarisha mifupa na kusaidia kuzuia meno kuoza na mifupa kuwa legevu...au kupata matege.
Inasaidia kuongeza hamu ya kula

Inamsaidia mtoto kupata usingizi mzuri hivyo kumsaidia kulala vizuri

Inaondoa Hali ya kupata allergies mara kwa mara

Dr Cow Smart Gummies ni virutubisho vilivyotengenezwa katika mfano wa p**i ndani yake kuna Mafuta ya samaki yenye Omega3...
04/09/2021

Dr Cow Smart Gummies ni virutubisho vilivyotengenezwa katika mfano wa p**i ndani yake kuna Mafuta ya samaki yenye Omega3 fatty acid ambayo itampa mwanao yafuatayo:-

Inaimarisha Kinga ya mtoto na kumfanya akue akiwa na afya njemaย 

Inaimarisha afya ya moyo na kuzuia kushambuliwa na magonjwa ya moyo.

Inaimarisha afya ya mfumo wa fahamu, huongeza uwezo wa kufikiri na kuondoa Hali ya usahaulifu

Inaimarisha mifupa na kusaidia kuzuia meno kuoza na mifupa kuwa legevu...au kupata matege.
Inasaidia kuongeza hamu ya kula

Inamsaidia mtoto kupata usingizi mzuri hivyo kumsaidia kulala vizuri

Inaondoa Hali ya kupata allergies mara kwa mara

03/09/2021

Cool roll ni mafuta ya miti mbalimbali yanayosaidia kufungua mfumo wa upumuaji pale unapokuwa umebanwa na mafua au kikohozi kizito. Ni nzuri kwa wenye allergies zinazoleta mafua na kifua mara kwa mara

Huondoa maumivu ya viungo katika shingo mgongo kiuno magoti na kuondoa uchovuย 

Husaidia misuli kuachia endapo imekaza...hivyo hutumiwa kuchua kufanya mwili urelax

Huondoa maumivu ya meno na Tonsils

Husaidia sumu ya mdudu kusambaa endapo umeng'atwa pamoja na kuzuia kuvimba au kutengeneza kipele..

Huzuia kuvimba pia endapo umeumia au kupigwa

Huzuia damu kutoka na kupooza maumivu endapo umejikata...na kusaidia kidonda kupona haraka

Huondoa maumivu ya kichwa na homa za usiku

Huondoa Hali ya kuwa na hangover kwa wale wanaotumia vilevi na wagonjwa wanaotumia dawa kali

Huzuia maumivu ya meno

Huzuia kutapika na kichefuchefu

Huondoa miwasho katika ngozi

๐‘๐ž๐ ๐€๐ฅ๐ž๐ซ๐ญ: ๐Ÿ” ๐’๐ข๐ ๐ง๐ฌ ๐˜๐จ๐ฎ ๐‡๐š๐ฏ๐ž ๐š ๐–๐ž๐š๐ค๐ž๐ง๐ž๐ ๐ˆ๐ฆ๐ฆ๐ฎ๐ง๐ž ๐’๐ฒ๐ฌ๐ญ๐ž๐ฆ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€โ €If you've noticed that you're often sick, feel fatigued or have ...
26/08/2021

๐‘๐ž๐ ๐€๐ฅ๐ž๐ซ๐ญ: ๐Ÿ” ๐’๐ข๐ ๐ง๐ฌ ๐˜๐จ๐ฎ ๐‡๐š๐ฏ๐ž ๐š ๐–๐ž๐š๐ค๐ž๐ง๐ž๐ ๐ˆ๐ฆ๐ฆ๐ฎ๐ง๐ž ๐’๐ฒ๐ฌ๐ญ๐ž๐ฆ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€โ €
If you've noticed that you're often sick, feel fatigued or have other symptoms you can't figure out, it may mean your immune system is weakened.โ €
Check out the warning signs and use Pure & Broken Ganoderma Spores to give your immune system a boost.๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ โ €

๐‘๐ž๐ ๐€๐ฅ๐ž๐ซ๐ญ: ๐Ÿ” ๐’๐ข๐ ๐ง๐ฌ ๐˜๐จ๐ฎ ๐‡๐š๐ฏ๐ž ๐š ๐–๐ž๐š๐ค๐ž๐ง๐ž๐ ๐ˆ๐ฆ๐ฆ๐ฎ๐ง๐ž ๐’๐ฒ๐ฌ๐ญ๐ž๐ฆ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€โ €If you've noticed that you're often sick, feel fatigued or have ...
26/08/2021

๐‘๐ž๐ ๐€๐ฅ๐ž๐ซ๐ญ: ๐Ÿ” ๐’๐ข๐ ๐ง๐ฌ ๐˜๐จ๐ฎ ๐‡๐š๐ฏ๐ž ๐š ๐–๐ž๐š๐ค๐ž๐ง๐ž๐ ๐ˆ๐ฆ๐ฆ๐ฎ๐ง๐ž ๐’๐ฒ๐ฌ๐ญ๐ž๐ฆ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€โ €
If you've noticed that you're often sick, feel fatigued or have other symptoms you can't figure out, it may mean your immune system is weakened.โ €
Check out the warning signs and use Pure & Broken Spores to give your immune system a boost.๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ โ €

For Tumor & Cancer Treatment:โ €The outstanding effects of Ganoderma Spores have earned its reputation in Cancer Immunothe...
26/08/2021

For Tumor & Cancer Treatment:โ €
The outstanding effects of Ganoderma Spores have earned its reputation in Cancer Immunotherapy. BF Suma Pure & Broken Spores is the best choice to prevention and surgery recovery.โ €

Address

Meriwa
Dodoma

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255652929098

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BF SUMA SHOP TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to BF SUMA SHOP TZ:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram