Bfsuma....

Bfsuma.... Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bfsuma...., Doctor, Dodoma, Dodoma.

Kongosho Ni Nini?...Ni sehemu ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ambayo hutoaInsulin hormone ambacho ni kichocheo Au homo...
18/12/2024

Kongosho Ni Nini?...

Ni sehemu ya mfumo wa mmeng'enyo
wa chakula ambayo hutoa
Insulin hormone ambacho ni kichocheo Au homoni ambayo kazi yake ni kuondoa glucose katika damu na kuingiza katika misuli, seli za mafuta na ini na hutumika k**a nishati mwilini....

Kwa Maan Nyingine Kongosho ni Organ Ambayo huusika na regulation au Kuratibu Sukari Mwilini ...

Kongosho hutoa Chemical iitwayo Insulin Hormone Ambayo huusika na Kubalnce sukari mwilini....

Hivyo changamoto ya kisukari Huaanzia Pale insuline hormone inapotolewa kwa uchache kwenye mwilini...

Okey Subiri Nikuonyeshe Kiundani hii huwa Ndani ya kongosho kuna Aina mbili ya cells Ambazo ni beta cells Na alpha cells...

Mara nyingi Kinachotokea Nini Cells hizi hushindwa kufanya kazi vizuri Na mara nyingi kupelekea kiasi cha insuline hormone kuzalisha kwa kiasi kidogo kwenye kongosho...

Twende Kiundani zaidi👇

Beta cells are cells that make insulin, a hormone that controls the level of glucose (a type of sugar) in the blood...

Maan yake Ni kwamba Beta cells kwa asilimia kubwa ndiyo Muhusika mkuu wa Kusaidia uzalishaji wa insuline hormone kutolewa kwa Ufasaha...

Swali Je ni kiasi gani Cha insuline hormone kinachoitajika kutolea na kongosho?...

Kitaalamu kiasi cha Insuline kinacho hitajika kutolewaa na kongosho kwa siku ni 0.2- 0.5 U/Kg/day Yaan kila siku...

Hapo Huenda Hujanielewa sana ila Hicho kiwango mara nyingi ukiwa na changamoto ya kisukari Huwa Akifikiwi na Huwa chini Apo....

Sasa Unapoenda kutibu Kongosho Maan yake ni Nini...

Ni kwamba Unaenda kusaidia uzalishaji wa Beta cells kwa Wingi kwenye kongosho....

Kila Mtu Atakuambia Nakupa Dawa Yakutibu kongosho Ebu muulize kutibu kongosho kwa Namna Gani...

Hapo Ndipo Tofauti huanza Wewe Mwenye ni shahidi ulipewa Dawa ya kutibu kongosho lakini mtaalamu Aliyekupa iyo dawa hakukupa maelekezo Akinifu ila alikuambia Inatibua kongosho Tumia utanipa majibu mwenywe....

Tuelewe ili Siyo kila Dawa ni kwaajili ya kutibu kongosho Jaribu ili unapataka Kuchukua

0622 104 687
16/12/2024

0622 104 687

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA  PROSTATRELAX*  *○ Inalinda tezi na  kuzui kuongezeka kwa tezi dume ○ Inadumisha Afya ya Mkojo ○...
04/10/2022

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA PROSTATRELAX* *○ Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume ○ Inadumisha Afya ya Mkojo ○ Inaboresha ufanisi wa tendo la ndoa ○ Inaondoa maumivu ya kiuno na wakati wa kukojoa ○ Husaidia kufika kileleni vizuri bila maumivu. ● *VIUNGO* *○ Prostaep-I (USA Patent) ● *NANI ANATUMI* ○ *Wanaume wenye shida ya tezi dume haswa wenye umri zaidi ya miaka 40. ○ Wanaume wenye shida ya kukojoa vizuri ○ Wenye shida za nguvu ya kiume. °> Na Wanaume Wenye Shida Ya Mbegu. ( S***m ). ● *MATUMIZI* ○ *Vidonge 2 mala 3 kwa siku. ○ Ukitumia kwa muda mrefu ( miezi 3 ) bila kuacha zinamatokeo mazuri zaidi - Ikiwemo Kuponya Tezi Dume Iliyovimba Bila Kufanya Upasuaji. *PROSTATE RELAX* *Furaha Ya Mwanaume*. *Ili Kuipata Tupigie Kupitia 0622104687*

*FAIDA ZA MICRO2 CYCLE TABLETS,RELIVIN TEA & PURE● Huzuia Damu kuwa nzito isivyo kawaida● Husaidia damu kuzunguka kwenye...
21/08/2022

*FAIDA ZA MICRO2 CYCLE TABLETS,RELIVIN TEA & PURE
● Huzuia Damu kuwa nzito isivyo kawaida
● Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kwa urahisi
● Ni nzuri kwa kukinga na kuondoa stroki,Pumu,Presha na kupona kabsa
● Inasaidia oxygen na virutubisho kusambazwa kwa urahisi /Huzuia KUSINYAA KWA MISHIPA YA DAMU
● Huongeza ufanisi wa mwili kuweza kujiponya wenyewe
● Huondoa mafuta ya Lehemu( Cholestral)kwenye kuta za mishipa ya damu
● Huongeza ufanisi wa macho kuona vizuri
● Huzuia kuganda kwa damu
● Huondoa maumivu ya miguu yanayotokana na kuziba kwa mishipa midogo.
● Huimarisha mfumo wa Neva ...
● nzuri kwa wasiopata usingizi
● Nzuri kwa wenye MAUMIVU YA KICHWA MARA KWA MARA

MATUMIZI

Micro2 cycle 3x3
Pure and broken 2x1
Relivin tea 1 kutwa baada ya chakula

Tunapatikana
Arusha
Dar es salaam,
Mwanza ,
Dodoma,
Mbeya
Morogoro na nk
Tunafanya delivery maali ulipo inakufikia bila shaka Tupigie kwa namba zetu
0622104687*

*Tatizo La Kufunga Choo – constipation* Kufunga choo ni tafsiri ya neno la kiingereza “constipation”. Kitaalamu, neno co...
21/08/2022

*Tatizo La Kufunga Choo – constipation*
Kufunga choo ni tafsiri ya neno la kiingereza “constipation”. Kitaalamu, neno constipation linatumika kuelezea hali ambapo mtu anapata choo pungufu ya mara tatu kwa wiki. Na k**a mtu atakosa choo kwa wiki kadhaa au muda mrefu, neno chronic constipation hutumika. Hali hii humpata kila mmoja wetu wakati fulani katika maisha. Muda unaopita kati ya choo kimoja hadi kupata choo kingine hutofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwenda siku tatu bila kupata choo huchukuliwa k**a ni muda mrefu sana. Baada ya siku tatu, choo huwa kigumu zaidi na ni shida kukitoa. Kukosa choo -constipation- huweza kuathiri utendaji kazi wa mtu. Tiba ya constipation hutegemea chanzo chake, lakini wakati mwingine, hakuna chanzo maalumu kinachoeleweka.

*Dalili Za Kufunga Choo*
✍️Kupata choo pungufu ya mara tatu kwa wiki
✍️Kutoa choo chenye mabongebonge au kigumu
✍️Kutumia nguvu wakati wa kupata choo
✍️Kuhisi k**a kuna kitu kimeziba kwenye rektamu kinachozuia choo kisitoke
✍️Kuhisi kwamba huwezi kutoa choo chote
✍️Kuhitaji msaada wakati wa kutoa choo, k**a kutumia mikono kuliminya tumbo au kutumia vidole kuchokonoa kinyesi kwenye rektamu.

*Sababu Za Kufunga Choo*
Kufunga choo mara nyingi hutokea wakati mabaki au kinyesi kinapotembea taratibu mno ndani ya mkondo wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula au kinaposhindwa kutolewa nje kupitia rektamu, hali ambayo hukifanya kinyesi kuwa kigumu na kikavu. Tatizo sugu la kukosa choo linaweza kuwa na sababu nyingi:
*1️⃣Kuziba kwenye utumbo mpana au rektamu*
Kuziba ndani ya utumbo mpana au rektamu kunaweza kupunguza kasi au kusimamisha utembeaji wa kinyesi. Sababu zaweza kuwa:
👉Mipasuko midogomidogo kwenye ngozi inayozunguka sehemu ya haja kubwa (a**l fissure)
👉Kuziba ndani ya utumbo (bowel obstruction)
👉Saratani ya utumbo mkubwa (colon cancer)
👉Kupungua upana wa utumbo mpana (bowel stricture)
👉Saratani nyingine za kwenye tumbo zinazouminya utumbo mpana
👉Saratani ya rektamu
👉Kutuna kwa rektamu kupitia ukuta wa nyuma wa uke (rectocele)
*2️⃣Matatizo ya neva kuzunguka utumbo mpana au rektamu*
Matatizo katika mfumo wa neva unaweza kusababisha neva zinazoamuru misuli ya utumbo mpana na rektamu kubana na kusukuma chakula kwenye utumbo. Sababu zinaweza kuwa:
👉Uharibifu wa neva za zinazosimamia shughuli za mwili (autonomic neuropathy)
👉Kuumia kwa uti wa mgongo
👉Kiharusi
*3️⃣Shida kwenye misuli inayohusika na utoaji choo*
Matatizo ya misuli (pelvic muscles) inayohusika na utoaji wa mabaki ya chakula yanaweza kusababisha tatizo sugu la kufunga choo. Matatizo hayo ni pamoja na:
👉Misuli ya pelvic kushindwa kujilegeza ili kuruhusu kinyesi kupita (anismus)
👉Misuli kushindwa kufanya mawasiliano mazuri ya kubana na kuachia (dyssynergia)
👉Kudhoofu kwa misuli ya pelvic
*4️⃣Hali zinazoathiri homoni za mwili*
Homoni husaidia kuweka uwiano wa majimaji ndani ya mwili. Magonjwa na hali zinazoathiri uwiano wa homoni zinaweza kusababisha kufunga choo, ikiwa ni pamoja na:
👉Kisukari
👉parathyroid kufanya kazi zaidi (hyperparathyroidism)
👉Ujauzito
👉Kufanya kazi kwa kiwango cha chini kwa thyroid (hypothyroidism)

*Madhara Ya Kufunga Choo*
Tatizo la muda mrefu la kufunga linaweza kuleta madahara yafuatayo:
👉Kuvimba veni kwenye sehemu ya haja kubwa (hemorrhoids). Kutumia nguvu wakati wa kupata
choo kunaweza kusababisha uvimbe kwenye veni ndani na kuzunguka sehemu ya haja kubwa na kukusababisshia ugonjwa wa bawasiri.
👉Kuchanika ngozi ndani ya sehemu ya haja kubwa (a**l fissure). Choo kikubwa au kigumu kinaweza kusababisha michaniko midogomidogo kwenye hio
👉Choo kutotoka (f***l impaction). tatizo sugu la kufunga choo linaweza kusababisha kujikusanya kwa choo kigumu kitakachokwama ndani ya utumbo.
👉Utumbo kutoka nje ya haja kubwa (re**al prolapse). Kutumia nguvu wakati wa kupata choo kunaweza kusababisha kiasi fulani cha utumbo kunyumbuka na kuchungulia nje ya sehemu ya haja kubwa

Kwa matibabu zaidi call us *0622104687*

*MWANAMKE...TUMIA PACKAGE HII LEO**DOZI NINAYOTOA INAFANYA YAFUATAYO**_☑️kuua bacteria wa PID ☑️kuondoa tatizo la hormon...
11/07/2022

*MWANAMKE...TUMIA PACKAGE HII LEO*

*DOZI NINAYOTOA INAFANYA YAFUATAYO*

*_☑️kuua bacteria wa PID ☑️kuondoa tatizo la hormone imbalances ☑️kutoa uchafu uliopo mwilini hasa kwenye via vya uzazi vya mwanamke ☑️Kuondoa sumu ya madawa makali uliyokuwa umetumia ☑️kurekebisha mzunguko wako wa hedhi🩸♻️ ☑️kuboresha mfuko wako wa uzazi ☑️kutengeneza chembe hai ambazo zimekufa kutokana na madawa makali uliyokisha tumia ☑️kupandisha kinga iliyoshuka kwa kutumia madawa makali ☑️kuondoa tatizo la ujauzito kuharibika/kukosa kabsa ujauzito ☑️kuzibua mirija ya uzazi kutokana na uchafu ☑️Kuondoa uvimbe uliopo bila upasuaji Ili kuipata piga 0622104687*_

11/07/2022
FAIDA ZA MICRO2 CYCLE TABLETS & PURE● Huzuia Damu kuwa nzito isivyo kawaida● Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (cap...
11/07/2022

FAIDA ZA MICRO2 CYCLE TABLETS & PURE
● Huzuia Damu kuwa nzito isivyo kawaida
● Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kwa urahisi
● Ni nzuri kwa kukinga na kuondoa stroki,Pumu,Presha na kupona kabsa
● Inasaidia oxygen na virutubisho kusambazwa kwa urahisi /Huzuia KUSINYAA KWA MISHIPA YA DAMU
● Huongeza ufanisi wa mwili kuweza kujiponya wenyewe
● Huondoa mafuta ya Lehemu( Cholestral)kwenye kuta za mishipa ya damu
● Huongeza ufanisi wa macho kuona vizuri
● Huzuia kuganda kwa damu
● Huondoa maumivu ya miguu yanayotokana na kuziba kwa mishipa midogo.
● Huimarisha mfumo wa Neva ...
● NZURI KWA WASIOPATA USINGIZI
● Nzuri kwa wenye MAUMIVU YA KICHWA MARA KWA MARA

MATUMIZI

Micro2 cycle 3x3
Pure and broken 2x1

Tunapatikana
Arusha
Dar es salaam,
Mwanza ,
Dodoma,
Mbeya
Morogoro na nk
Tunafanya delivery maali ulipo inakufikia bila shaka Tupigie kwa namba zetu
0622104687

*FAIDA ZA ARTHROXTRA,ZAMINOCAL PLUS & GLUZOJOINT CAPSULE hizi ni bidhaa za asili  zilizotengenezwa kwa kutumia vyakula v...
11/07/2022

*FAIDA ZA ARTHROXTRA,ZAMINOCAL PLUS & GLUZOJOINT CAPSULE hizi ni bidhaa za asili zilizotengenezwa kwa kutumia vyakula vile vile tunavyo kula ila ni mahususi kwa ajili ya maungio

*_@Maumivu kwenye magoti, mgongo kuwaka moto,kusindwa kuinama kutokana na maumivu kwenye,miguu kuwaka moto nk_*


☑️Huzuia maumivu ya viungo ☑️Huongeza ute ute kwa maungio ☑️Huzuia kulika kwa maungio ☑️Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha ute ute, ☑️Huondoa maumivu ya maungio,kiwiko,mgongo shingo na nk ☑️Huwafaa sana walio sagika viungo kwa kuzalisha ute ute ☑️Huwafaa sana wazee na watu wa GYM
☑️huzuia mifupa kusagana kwa kuzalisha ute ute kwenye maungio
Karibu kwa ushauri wa afya Piga 0622104687 Huduma zetu zinapatikana
*Dar*
*Mbeya*
*kigoma*
*Arusha*
*Dodoma*
*morogoro*
*Zanzibar✅*

11/07/2022

Address

Dodoma
Dodoma

Telephone

+255622104687

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bfsuma.... posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bfsuma....:

Share

Category