Dr. Lishe

Dr. Lishe Tunawasaidia watu wenye changamoto:-
1️⃣BAWASIRI.
2️⃣KISUKARI. 3️⃣NGUVU ZA KIUME

HAPPY SUNDAY TO YOU ALL💒🔔🛐We love you all🤗🎉🌹🌷
28/09/2025

HAPPY SUNDAY TO YOU ALL💒🔔🛐

We love you all🤗🎉🌹🌷

DO NOT SUFFER IN SILENCE AGAIN(Hemorrhoids)👋If you’re experiencing hemorrhoid symptoms like, significant pain, bleeding,...
27/09/2025

DO NOT SUFFER IN SILENCE AGAIN(Hemorrhoids)👋

If you’re experiencing hemorrhoid symptoms like, significant pain, bleeding, swelling, or changes in bowel habits, and pr*****ed hemorrhoids around a**s consider consulting us immediately for permanent natural treatment of hemorrhoids

CONTACT US NOW:

WhatsApp/call:0763184499

JINSI UGONJWA WA BAWASIRI HUFUNGA UTUMBO_______________________________________________Hivi ni vile Bawasiri (hemorrhoid...
25/09/2025

JINSI UGONJWA WA BAWASIRI HUFUNGA UTUMBO
_______________________________________________

Hivi ni vile Bawasiri (hemorrhoids) inavyoathiri utumbo na kuufunga kwa kusababisha maumivu wakati haja kubwa:

➡️Bawasiri ni matokeo ya kuvimba mishipa ya damu ndani ya eneo la njia ya haja kubwa au kwa nje ya tundu la haja kubwa.

➡️Mabadiliko haya ya shinikizo au uvimbe kwenye eneo la njia ya haja kubwa yanaweza kuongeza kasi ya usumbufu wakati wa kujisaidia haja kubwa na hata kupelekea kuvimba kwa utumbo na kuziba kwa njia ya haja kubwa.

➡️Bawasiri pia inaweza kusababisha kuvuja damu wakati wa kujisaidia, hali inayoweza kuongeza hisia ya maumivu na kutia wasiwasi wakati wa haja kubwa.

➡️Uvimbe unaweza kuwa ndani ya njia ya haja kubwa (internal) bila maumivu ya papo hapo, lakini ukiwa unajisaidia au kukaa inaweza kutoa maumivu makali sana na kuteseka.

➡️Katika mazingira haya bawasiri huweza kuvimba na kuziba utumbo mpana na kukufanya kujisaidia kwa shida huku ukihisi njia ya haja kubwa kuziba.

☑️ILI KUONDOKANA NA MATESO YOTE YA BAWASIRI K**A KUPATA CHOO KIGUMU SANA NA KUKOSA CHOO, MAUMIVU MAKALI, CHOO CHENYE DAMU, VIUVIMBE NA NA VINYAMA KWENYE NJIA YA HAJA KUBWA, MUWASHO MKALI KWENYE NJIA YA HAJA KUBWA, KUWAKA MOTO KWENYE NJIA YA HAJA KUBWA, NA KUPATA UNYEVU NA HATA KULOWANA KWENYE NJIA YA HAJA KUBWA, BASI HAKIKISHA UMEFANYA HIVI👇

📱Tuma ujumbe WhatsApp:0763184499.

au

☎️PIGA:0763184499.






Please SHARE and Tag person





-health

VINYAMA VYOTE VYA BAWASIRI NA MAUMIVU VIMESHAISHA KWAKE TAYARI🙅‍♂️✅ILI KUONDOKANA NA  KINYAMA CHAKO CHOTE. HA BAWASIRI N...
25/09/2025

VINYAMA VYOTE VYA BAWASIRI NA MAUMIVU VIMESHAISHA KWAKE TAYARI🙅‍♂️

✅ILI KUONDOKANA NA KINYAMA CHAKO CHOTE. HA BAWASIRI NA KUWA FULATI BILA UPASUAJI, MAUMIVU KUISHA KABISA, CHOO CHENYE DAMU KUPOTEA, MIWASHO KUISHA, NA CHANGAMOTO YA CHOO KIGUMU KUISHA KABISA NA KUANZA KUPATA CHOO KILAINI KISICHO NA MAUMIVU BASI HAKIKISHA UNAFANYA HIVI SASAHIVI👇

TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.





Please SHARE and Tag person





SABABU 5 ZA MSINGI ZA KWANINI NI MUHIMU WEWE KUTIBU BAWASIRI YAKO HARAKA NA MAPEMA:_____________________________________...
25/09/2025

SABABU 5 ZA MSINGI ZA KWANINI NI MUHIMU WEWE KUTIBU BAWASIRI YAKO HARAKA NA MAPEMA:
_______________________________________________

1. Kuzuia Madhara Zaidi: Ikiachwa bila kutibiwa, bawasiri inaweza kusababisha madhara zaidi k**a vile kutokwa na damu zaidi, maambukizi, au hata matatizo makubwa ya kiafya K**a kansa ya utumbo.

2. Uboreshaji wa Maisha: Matibabu sahihi ya bawasiri yanaweza kusaidia kupunguza maumivu, kuvimba, na kuboresha ubora wa maisha kwa mgonjwa.

3. Kupunguza Maumivu: Matibabu ya bawasiri yanaweza kusaidia kupunguza maumivu na kuboresha ustawi wa mgonjwa.

4. Kuzuia Kuongezeka Kwa Tatizo: Matibabu sahihi yanaweza kusaidia kuzuia bawasiri kuzidi kuwa mbaya au kuongezeka kwa ukubwa wake.

5. Kupata Usaidizi wa Kitaalamu: Wataalamu wa afya wanaweza kutoa matibabu sahihi kulingana na hali ya kipekee ya mgonjwa na kuhakikisha kuwa anapata msaada unaofaa.

Kwa hiyo, ni muhimu kushauriana na daktari au mtaalamu wa afya anayeweza kutoa ushauri sahihi kulingana na hali ya kipekee ya mgonjwa. Matibabu sahihi yatasaidia kuboresha hali ya mgonjwa na kumwezesha kuendelea na maisha yake kwa ufanisi zaidi na kuendelea na shughuli zako za kila siku kuliko kusubiri bawasiri ukusimamishe kazi.

✅ILI KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YAKO YA BAWASIRI YENYE KINYAMA AU KIUVIMBE KWENYE TUNDU LA HAJA KUBWA, MAUMIVU, CHOO CHENYE DAMU, MIWASHO MIKALI KWENYE TUNDU LA HAJA KUBWA NA KUKOSA CHOO ZAIDI YA SIKU 3 BILA KUFANYIWA UPASUAJI NA BILA KUITAKA BAWASIRI YAKO; Hakikisha umefanya hivi Sasahivi👇

TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person





K**A UNATAKA KUPONA BAWASIRI FANYA HIVI👇📱Tuma ujumbe WHATSAPP:0763184499.au☎️PIGA:0763184499. Please SHARE and Tag perso...
23/09/2025

K**A UNATAKA KUPONA BAWASIRI FANYA HIVI👇

📱Tuma ujumbe WHATSAPP:0763184499.

au

☎️PIGA:0763184499.





Please SHARE and Tag person



JE, INAWEZEKANA KUWA NA BAWASIRI AMBAYO VINYAMA VYAKE VINAANZIA NDANI NA NJE KWA WAKATI MMOJA?__________________________...
23/09/2025

JE, INAWEZEKANA KUWA NA BAWASIRI AMBAYO VINYAMA VYAKE VINAANZIA NDANI NA NJE KWA WAKATI MMOJA?
_______________________________________________

Ndio, hali hii inawezekana vizuri sana.

Na wapo wagonjwa wengi ambao wana vinyama vya bawasiri vinavyotokea ndani ndani wakati wa kujisaidia kutokana na kuwa na bawasiri ya ndani na huku vinyama vingine vikiwa chanzo chake ni nje yaani vimejishikisha kwa nje ya tundu la haja kubwa k**a vipele au k**a vipunje vya karanga kutokana pia kuwa na bawasiri ya nje.

🔇Vinyama vya bawasiri ya nje (external hemorrhoids):

-Hutokea nje ya tundu la haja kubwa, chini ya ngozi ya tundu la haja kubwa.

-Huweza kuonekana k**a mkusanyiko wa vinyama vidogo au kiuvimbe.

-Huweza kuwa na maumivu makali, kuwasha, au kuuma pale unapovigusa au hata vikawa havitoi maumivu kwa wakati mwingine.

🔇Kwa vinyama au viuvimbe vinavyotokea kwa ndani kuja nje(Internal hemorrhoids):

-Huwa matokeo ya kuvimba kwa misuli ya ndani ya tundu la haja kubwa na kufikia hatua ya kuonekana nje (prolapse).

-Kawaida huweza kukufanya kuhisi k**a kuna ugumu wa choo kupita wakati wa haja kubwa.
-Huweza kuambatana na damu kwenye haja kubwa.

Baadhi wamekuwa wakisumbuliwa na bawasiri yenye vinyama sehemu zote yaani kwa ndani na hata kwa nje.
Sasa bawasiri ya aina hii huweza kutibiwa na suluhisho lenye uwezo wa kuua bawasiri kuanzia kwa ndani na kwa nje ambalo ndo suluhisho unalolipata hapa kwetu lenye uwezo wa kuimaliza bawasiri haraka sana kwa matokeo mazuri na ya kuridhisha…✍️

👨‍⚕️Sasa ili kuondokana na changamoto hii leo hakikisha umefanya hivi👇

✅TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person





BAWASIRI YENYE MAUMIVU NA KUVUJA DAMU_______________________________________________ Usipoteze muda, wakati wa wewe kupo...
22/09/2025

BAWASIRI YENYE MAUMIVU NA KUVUJA DAMU
_______________________________________________

Usipoteze muda, wakati wa wewe kupona Bawasiri yako ni sasa…✍️

Unaweza kutuma ujumbe hapa👇kuondokana na changamoto hii mapema kupitia suluhisho hili bora.

Hapa utapata ile ya kunywa inayoua bawasiri kwa ndani na utapata na ile ya kupaka inayoua bawasiri kwa nje.

📨Ondokana na changamoto yako leo kwa wewe kufanya tu hivi👇

✅TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person





PONA BAWASIRI BILA KUKATA VINYAMA WALA VIUVIMBE VYAKO______________________________________________Kupona bawasiri bila ...
22/09/2025

PONA BAWASIRI BILA KUKATA VINYAMA WALA VIUVIMBE VYAKO
______________________________________________

Kupona bawasiri bila upasuaji inawezekana.

Kupona bawasiri bila upasuaji ndio njia inayoweza kukusaidia kumaliza changamoto yako ya bawasiri pamoja na dalili zake zote.

Dalili k**a choo kigumu, maumivu, choo chenye damu, miwasho, kuwaka moto hauwezi kuondokana navyo kwa njia ya upasuaji😢…!

Lakini, kupitia suluhisho letu hili bora utaweza kumaliza bawasiri yako yote na dalili zake zote mfano choo kigumu na maumivu ndani ya masaa24, choo chenye damu, miwasho na kutoa majimaji na kuwa moto.

Vinyama vyote vinaisha kuanzia siku ya 7 hadi wiki 2-3

🔰ILI KUONDOKANA NA CHANGAMOTO HII YA BAWASIRI YENYE KINYAMA AU KIUVIMBE BILA UPASUAJI, MAUMIVU, CHOO CHENYE DAMU, MIWASHO MIKALI KWENYE TUNDU LA HAJA KUBWA, KUKOSA CHOO KWA MUDA MREFU, NA CHOO KIGUMU FANYA HIVI👇

✅TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person





BAWASIRI HUZIDI KUONGEZEKA NA KUWA KUBWA KADRI UNAVYOPATA CHOO KIGUMU NA KUKAA SEHEMU MOJA KWA MUDA MREFU_______________...
21/09/2025

BAWASIRI HUZIDI KUONGEZEKA NA KUWA KUBWA KADRI UNAVYOPATA CHOO KIGUMU NA KUKAA SEHEMU MOJA KWA MUDA MREFU
_______________________________________________

Kadri bawasiri inavyokaa bila kutibiwa ndivyo inavyozidi kukuathri na inaweza kuathiri “anal sphincter” na zikavimba na kupoteza kazi zake na hivyo mgonjwa wa bawasiri ukajikuta unapitia shida ya kushindwa kuzui choo chako😮😢😥…!

🙋‍♂️LAKINI HABARI NJEMA NI KWAMBA UKIFANIKIWA KUJINYAKULIA SULUHISHO HILI BORA LA BAWASIRI MATOKEO MAZURI YAFUATAYO LAZIMA UYAPATE TU:-

1️⃣UTAANZA KUJISAIDIA BILA KUKUNJA SURA WALA KUTOA MACHOZI.

2️⃣INAONDOA MAUMIVU MAPEMA MNO NDANI YA MASAA24-SIKU YA TATU YAANI UNAKUWA USHARUDISHA FURAHA NA TABASAMU LAKO.

3️⃣INAONDOA MIWASHO YOTE YAANI HAUTOWEKA MKONO NYUMA TENA KUJIKUNA.

4️⃣INAONDOA DALILI ZOTE ZA KUWAKA MOTO YAANI UTAANZA KUKAA RAHA MSTAREHE BILA KUHISI KUCHOMWACHOMWA TENA.

5️⃣INAONDOA KINYAMA HARAKA SANA NDANI YA SIKU SABA HADI UBAPOKUJA KUMALIZA DOSE WEEK 2-3.

6️⃣INAMALIZA CHOO CHENYE DAMU HARAKA MNO.

Tuma Ujumbe WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person







Please SHARE and Tag person





-health

BAWASIRI KUTOA USAHA NA UCHAFU NA MIWASHO_______________________________________________Bawasiri yako ukitaka ipone mape...
20/09/2025

BAWASIRI KUTOA USAHA NA UCHAFU NA MIWASHO
_______________________________________________

Bawasiri yako ukitaka ipone mapema kabla sehemu iliyoathirika ya utumbo wako kuoza na kutoa usaha kutokana na uchafu unaopita eneo la bawasiri lililoathirika na mipasuko ya vidonda vya bawasiri kwenye utumbo na kwenye njia ya haja kubwa…✍️

Basi hakikisha unaishughurikia mapema kabla haujaanza kujilaumu mwenye huku ukisema “BORA NINGEJUA NIKAITIBU MAPEMA😩🥺😢”

Wengi wamepata madhara makubwa sana ya bawasiri hadi kufikia hatua ya “KUTOBOKA UTUMBO” lakini ukiwauliza vizuri chanzo chao baadhi watakuambia “ILIANZA K**A BAWASIRI😳”

Mara nyingi bawasiri kutoa usaha huambana na viashiria vya miwasho mikali kwenye njia ya haja kubwa.

Nachotaka kusema niwewe kuipa afya yako kipaumbele bila kukata tamaa “AS LONG AS” bado unaishi na bado unapenda kuishi.

Lazima upambanie afya yako mpaka mwisho…✍️

Na hapa nimekuletea suluhisho ambalo ukilitumia “HAKIKA UTAPONA BAWASIRI YAKO KABISA NA VINYAMA VYOTE VITAISHA TU” maana hii siyo ya majaribio wametumia wengi na kujipatia uponyaji mzuri tu💪

Kupona ni 100%

Hata wewe umekuwa ukijionea shuda hapa👨‍⚕️!

📨Ondokana na changamoto hii leo kwa wewe kufanya tu hivi👇

✅TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person





MAUMIVU MAKALI SANA YA BAWASIRIMaumivu makali ya bawasiri ni kati ya hatari kubwa sana za bawasiri ambazo ukizizembea un...
19/09/2025

MAUMIVU MAKALI SANA YA BAWASIRI

Maumivu makali ya bawasiri ni kati ya hatari kubwa sana za bawasiri ambazo ukizizembea unaweza kukutwa na wakati mgumu sana siku za mbeleni.

K**a unataka kuondokana na maumivu makali ya bawasiri unayoyapata wakati wa kujisaidia, wakati wa kukaa, wakati wa baada ya kujisaidia, na wakati wowote ule.

Basi hakikisha unalipata suluhisho hili bora na la uhakika la bawasiri linalomaliza maumivu ndani ya masaa24.

Pia suluhisho hili hulainisha choo na kumaliza changamoto ya choo chenye damu, miwasho, kuwaka moto na kuhisi kuchomwachomwa k**a na vimiiba. (hivi vyote huisha kuanzia masaa24-siku 3).

Swala la bawasiri yenye kinyama na viuvimbe huisha kuanzia siku ya 7-wiki 2-3.

📨Ondokana na changamoto hii leo kwa wewe kufanya tu hivi👇

✅TUMA UJUMBE WHATSAPP:0763184499.

au

PIGA:0763184499.




Please SHARE and Tag person





Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Lishe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr. Lishe:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram