Afya Yako Point

Afya Yako Point We Care About Your Health

24/11/2025

Watch, follow, and discover more trending content.

Pindua Sahani Punguza Uzito
17/11/2025

Pindua Sahani Punguza Uzito

Watch, follow, and discover more trending content.

11/11/2025

Epuka Gharama Kubwa Kwa Kuokoa Kati Ya 1,200,000-900,000/= Kila Mwezi Kwa Ajili Ya Matibabu.

Pona Na Okoa Figo Zako Kwa 460,000/= Tu Leo

Kwa Watu Watano Wa Kwanza Watapata Kwa Punguzo La 445,000/= Tu Pamoja Na Utapata Bure Package Maalum Ya Detoxification

Tuma neno FIGO kupata OFFER hii

25/10/2025

Sababu za Pedal Edema

1. Shida za moyo kushindwa kusukuma damu vizuri (congestive heart failure).

2. Shida za figo zikishindwa kutoa maji na chumvi vizuri mwilini.

3. Shida za ini k**a cirrhosis, ambazo hupunguza uwezo wa ini kudhibiti maji mwilini.

4. Mimba kutokana na shinikizo kwenye mishipa ya damu.

Madhara ya Pedal Edema (K**a Haitatibiwa)

1. Maumivu na uzito kwenye miguu.

2. Kuchanika kwa ngozi au vidonda kutokana na shinikizo.

3. Kukosa mzunguko mzuri wa damu, hivyo vidonda kutopona haraka.

4. Dalili za ugonjwa mkubwa k**a moyo, figo, au ini kushindwa kufanya kazi vizuri.

Mwili wako ni matokeo ya mitindo yako ya maisha unayo ishi kila siku??K**a unataka afya bora, nguvu, na mwonekano mzuri....
22/10/2025

Mwili wako ni matokeo ya mitindo yako ya maisha unayo ishi kila siku??

K**a unataka afya bora, nguvu, na mwonekano mzuri.
Anza leo kufanya maamuzi, Zingatia haya

1. Punguza vyakula vyenye sukari, chumvi na mafuta mengi

Vyakula hivi vinaharibu mishipa ya damu na kuchochea magonjwa sugu k**a kisukari, shinikizo la damu na unene kupita kiasi.

2.Fanya mazoezi angalau dakika 30 kila siku, Mazoezi ni tiba ya mwili na akili.

Husaidia kuchoma bad cholesterol na kuboresha kinga za mwili na afya bora kwa ujumla.

3. Punguza au acha kabisa pombe na soda.

Kunywa maji safi na ya kutosha kila siku— Maji ndiyo booster asilia ya afya yako ya figo na ngozi.

4. Usitumie dawa bila ushauri wa daktari.

Figo zako ni hazina, zilinde kwa kutotumia dawa kiholela kwa kujinunulia duka la dawa bila vipimo au kuandikiwa na dakitari...

5. Linda afya yako ya akili

Epuka video za ngono, punyeto, na tabia zinazoharibu mfumo wa fahamu, Badala yake, soma, tafakari, Omba Mungu kwa imani yako, na tafuta utulivu.

6. Pumzika masaa 7–8 kila usiku.

Ndipo mwili wako hujijenga, akili hupumzika, na homoni zako hurudi katika usawa.

Kubadilisha mtindo wa maisha ni uamuzi wa akili na nidhamu ya moyo.

Fanya medical check-up walau mara mbili kwa mwaka, Afya njema ni matokeo ya ufuatiliaji wa mapema.

Anza leo, Afya yako ni Uwekezaji, sio Gharama

14/10/2025

Watu wengi huanza kuhisi ganzi miguuni, mikono kuchoka haraka, kichwa kuuma mara kwa mara, au mwili kuchoka bila sababu
wanadhani ni uchovu wa kawaida lakini ukweli ni kwamba mzunguko wa damu wako ni hafifu na damu ikishindwa kusambaa vizuri mwilini.

Haya yote yanatokea kwa sababu mwili umejaa mafuta mabaya, sumu, na mishipa imeanza kukaza au kuziba taratibu.

Lakini kuna habari njema ni kuwa mzunguko wa damu unaweza kurejea kuwa mzuri tena ukipewa tiba. sahihi

Tunasaidia watu wenye changamoto k**a hizi:
✅ Ganzi kwenye miguu au mikono
✅ Kichwa kuuma mara kwa mara
✅ Mwili kuchoka haraka
✅ Shinikizo la damu (high/low)
✅ Uwezo wa mwili kushuka kutokana na damu kushindwa kusambaa vizuri

Lakini hii si kwa kila mtu.Tunasaidia tu wale ambao wamechoka kutumia dawa za kila siku bila matokeo ya kudumu wanataka tiba salama na yenye matokeo halisi

Unahisi miguu yako inakufa ganzi, au damu haitembei vizuri,
nitumie neno “DAMU” sasa hivi kwenye 0746 334 963 nikueleze hatua zako za kwanza za kusafisha na kuimarisha mzunguko wako wa damu

Ufahamu Ugonjwa Sugu wa Figo (Chronic Kidney Disease)Ugonjwa sugu wa Figo hutokea pale Figo zinazopoteza uwezo wa kutend...
13/10/2025

Ufahamu Ugonjwa Sugu wa Figo (Chronic Kidney Disease)

Ugonjwa sugu wa Figo hutokea pale Figo zinazopoteza uwezo wa kutenda kazi unaotokea taratibu na kudumu baada ya muda fulani na hali hii hutokea taratibu, na huchukua muda wa takribani miezi kadhaa hata miaka. Ugonjwa sugu wa Figo umegawanywa katika hatua kuu tano, kulingana na ukubwa wa tatizo.

Figo inapopoteza uwezo wake wa kutenda kazi, mkusanyiko na limbikizo la maji, uchafu na sumu hutokea mwilini mwa mgonjwa.

Aidha kushindwa kufanya kazi kwa Figo husababisha pia kutokea kwa maradhi mengine k**a vil;
upungufu wa damu mwilini (anemia),
shinikizo la damu (hypertension),
ongezeko la tindikali kwenye damu (acidosis),
ongezeko la lehemu na mafuta kwenye damu,
na magonjwa ya mifupa.

Hatua ya tano ya ugonjwa sugu wa Figo hujulikana pia k**a kushindwa kufanya kazi sugu kwa figo (chronic kidney disease au end-stage-renal disease).

Kuna tofauti kati ya Ugonjwa Sugu wa Figo na kushindwa kufanya kazi kwa Figo kwa ghafla (AKI) ni kwamba AKI hutokea ghafla, huchukua muda mfupi kati ya siku hadi wiki kadhaa kuwa tatizo kubwa zaidi.
Tofauti nyingine ni kuwa AKI hutokana na tatizo linaloathiri figo moja kwa moja, mishipa yake ya damu au mtiririko wa mkojo unaotoka kwenye Figo.
Aidha ARF mara nyingi huweza kurekebishwa na mgonjwa akapona kabisa, ingawa kwa baadhi ya wagonjwa sehemu fulani ya Figo inaweza isipate nafuu na ikaendelea kudorora kiutendaji kazi

Ufahamu Ugonjwa Wa Ini ( CIRRHOSIS )Ini ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu na ndicho kiungo kikubwa kilichop...
13/10/2025

Ufahamu Ugonjwa Wa Ini ( CIRRHOSIS )

Ini ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu na ndicho kiungo kikubwa kilichopo ndani ya mwili.

Ugonjwa wa Cirrhosis ni ugonjwa wa 12 duniani kati ya magonjwa yanayosababisha vifo vitokanavyo na maradhi.

Cirrhosis husababishwa na unywaji pombe kupindukia, ugonjwa wa hepatitis B, C, na ugonjwa wa Fatty Liver disease.

Kabla ya kuangalia ugonjwa wa cirhosis tuangalie kazi ya ini kwenye mwili wa binadamu ni zipi.

Ini linahusika na
• Kushughulikia chakula kilichosagwa kutoka kwenye utumbo mdogo (small intestine) hapa tunaongelea mfumo mzima wa mmeng'enyo wa chakula

• Kutengeneza nyongo (bile) na kudhibiti kiwango cha mafuta, sukari na chembechembe zijulikanazo k**a amino acids kwenye damu

• Huhifadhi vitamini, madini ya chuma na kemikali nyengine muhimu pamoja na kuvunjavunja chakula na kutengeneza energy inayohitajika mwilini

• Ini hutengeneza chembechembe zinazozuia damu kuganda mwilini k**a fibrinogen, prothrombin, factor V, VII, IX, X na X, protini C na S, antithrombin na nk.

• Huharibu sumu na madawa ambayo yameingia mwilini.

• Hutengeneza homoni aina ya angiotensinogen ambayo inahusika kupandisha presha ya damu mwilini wakati inapokutana na enzyme ya renin, enzyme hii ya renin hutolewa na Figo wakati Figo inapohisi presha imeshuka mwilini.

• Husafisha damu kutokana na chembechembe mbaya na bakteria.

• Hutengeneza enzyme na protini ambazo zinahitajika mwilini kwenye shughuli nyingi na hata kurekebisha tishu zilizoharibika

Wewe mwenye kisukari ni Tabibu wa kwanza wa tatizo lako.Kuna  taarifa nyingi mitaani na  kwenye mtandao ila ni jukumu la...
10/10/2025

Wewe mwenye kisukari ni Tabibu wa kwanza wa tatizo lako.

Kuna taarifa nyingi mitaani na kwenye mtandao ila ni jukumu lako wewe kujua ni taarifa gani sahihi na inayokufaa.

Unaweza kuambiwa kula aina hii ya chakula, usile aina ile ya chakula,acha kabisa kula aina hii ya chakula,kula sana aina ile ya chakula, mara kula sana aina hii ya matunda,usile aina ile ya matunda.
Kwa mfano, wengi wanaambiwa wale ndizi changa kwa wingi,labda na ugali wa uwele,dona au ulezi kwa wingi.

Sasa vipi k**a umeenda sehemu ambapo hakuna ndizi changa,hakuna dona,ulezi au uwele, unataka kusema hautakula chakula?

Utashinda na njaa? La Hasha, utakula tu, mwenye kisukari anakula aina zote za chakula, iwe wali,ndizi za kupika,pilau,biryani,viazi vya aina yote, maboga,sembe,dona n.k, cha msingi ni kujua ni jinsi gani au kwa utaratibu gani unaweza kula vyakula hivyo.

Tusipikiwe au tusitengewe chakula tofauti na cha familia, hapana, tunakosea sana, chakula cha familia ndio na wewe mwenye ugonjwa wa kisukari unaweza kula chakula hicho hicho, hakuna chakula maalum cha mtu mwenye kisukari,isipokuwa tu wewe mwenyewe ni lazima ufahamu ni jinsi gani unatakiwa ule au ni kwa utaratibu gani unatakiwa ule, ndio maana ninasema wewe mwenye kisukari ndiyo tabibu wa kwanza wa kisukari.

Mimi nitakushauri,mpishi atapika tu na chakula kitawekwa mizani, ila wewe ndiyo utajua jinsi ya kula.

Wewe ni Tabibu wa kwanza wa kisukari chako.

Leo nina package maalum kwa ajili yako wewe mwenye changamoto ya Kisukari,tuma neno INSULIN kwenda 0746 334 963

Address

Moshi, Dar Es Salaam
Dodoma
MOSHI

Telephone

+255746334963

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Yako Point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Yako Point:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram