Dr Christopher Mwangaza wa Afya

Dr Christopher Mwangaza wa Afya General Doctor for non communicable diseases prevention, treatment & counseling.

*TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS* Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio n...
16/04/2025

*TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS*

Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio na kadiri umri unavyozidi kwenda ndio watu hupata udhaifu wa mifupa na viungo kupelekea shida k**a gauti,arthritis,Osteoporosis n.k

*DALILI ZA TATIZO*
●Kupata Maumivu Ya mgongo,Kiuno,Mabega,Magoti Au Shingoni
●Magoti Kupiga Kelele Ukinyoosha mguu Au Kutembea
●Kushindwa Kutembea Kawaida Mpaka Upate Sapoti
●Joints Kuvimba Na Kuuma,Miguu Kufa ganzi
●Kushindwa Kutembea Au Kufanya shughuli Zako Za Kila Siku

*SABABU ZA TATIZO*
■Kukosa ute ute(synovial fluid)kwenye joints kutokana kuwa na Uric Acid nyingi
■Kuwa Na Uzani mkubwa kupelekea tishu K**a Sponji zinazoitwa gegedu(cartilage kuzidiwa hivyo kupelekea mifupa kusagika
■Upungufu wa madini muhimu Calcium Ambayo hupelekea mifupa Kuwa na Uzani Mdogo
■Kukoma Kwa Hedhi Kwa Akina Mama
■Kufanya Mazoezi Ya Viungo Bila Kuzingatia Lishe Nzuri
■Umri Mkubwa,Kupata Majeraha,
Wasiliana nami Leo nikusaidie tiba ya haraka na uponyaji 0764489720

FURSA FURSA FURSA , KWA WENYE KAZI NA WASIO NA KAZI ,KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPO CHINI KITUFE CHA WASAP.
21/03/2025

FURSA FURSA FURSA , KWA WENYE KAZI NA WASIO NA KAZI ,KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPO CHINI KITUFE CHA WASAP.

FURSA FURSA FURSA KWA WATU WOTE WENYE KAZI NA WASIO NA KAZI , KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPO CHINI KITUFE CHA WASAP.
21/03/2025

FURSA FURSA FURSA KWA WATU WOTE WENYE KAZI NA WASIO NA KAZI , KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPO CHINI KITUFE CHA WASAP.

08/03/2025

Ikiwa unasumbuliwa na dalili hizi hatari, usiache wasiliana nami nikusaidie,
Dr. Chris's AFYA NI NIRU..

Dr.chriss mshauli na mtaalamu wa Afya,,AFYA NI NURU, NJOO TUANZE MATIBABU, IKIWA UNAPITIA  HALI HII. Contact Us 07644897...
27/12/2024

Dr.chriss mshauli na mtaalamu wa Afya,,AFYA NI NURU, NJOO TUANZE MATIBABU, IKIWA UNAPITIA HALI HII. Contact Us 0764489720

Dr. Chris's mtaalamu wa Afya,tiba , ushauli na vipimo, AFYA NI NURU.
07/12/2024

Dr. Chris's mtaalamu wa Afya,tiba , ushauli na vipimo, AFYA NI NURU.

Ondoa sumu mwilini Kwa kutumia ginseng cofee, ni nzuri Kwa matumizi..
01/12/2024

Ondoa sumu mwilini Kwa kutumia ginseng cofee, ni nzuri Kwa matumizi..

Fahamu zaidi ugonjwa wa kisukari, dalili zake ,  mambo yanayoweza kuchangia kupata kisukari ,watu gani haswa wako kwenye...
28/11/2024

Fahamu zaidi ugonjwa wa kisukari, dalili zake , mambo yanayoweza kuchangia kupata kisukari ,watu gani haswa wako kwenye lisk ya kuugua kisukari, madhara ya kuto kutibu kisukari Kwa wakati , na aina ya vyakula vinavyotakiwa kuliwa kwa mgonjwa wa kisukari..

KISUKARI NI NINI?
huu ni ugonjwa ambao unatokana na mtu kuwa na sukari nyingi mwilini ama kiasi kichache.

Ugonjwa huu hutokea pale kongosho inaposhindwa kuzalisha sukari ama kichocheo aina ya insulini kuzalisha sukari inayo hitajika mwilini, hivyo kusababisha sukari kuongezeka mwilini.
Na kitendo Cha sukari kuongezeka mwilini kutokana na insulini kushindwa kuzalisha kiasi husika huitwa HYPEGLYCEMIA.

kitendo Cha sukari kuzalishwa Kwa uchache kutokana na kushindwa Kwa kongosho kuzalishwa insulini ya kutosha huitwa HYPOGLCEMIA.

Kuna aina mbili kuu ugonjwa wa kisukari type 1 na type 2 diabetic mellitus.
Type l husababishwa na ukosefu wa insulin inayo zalishwa mwilini,kwa hiyo huitwa insulin dependant diabetic mellitus IDDM
Aina hii hudhibitiwa Kwa kuchomwa sindano.
Pia ULAJI wa VYAKULA

Aina hii huwapata hasa watoto na vijana.

Aina ya pili ni type II non insulin dependant mellitus.

Aina hii husababishwa na mwili kushindwa kutumia sukari, hivyo sukari huwa katika kiwango cha juu mwilini, hujulikana k**a NIDDM.
Aina hii hudhibitiwa Kwa ULAJI na VIDONGE
NA HUWAPATA WATU WENYE UMRI KUANZIA MIAKA 40 KUENDELEA.

BAADHI YA MAMBO YANAYOCHANGIA KUPATA KISUKARI.
✓Uzito uliozidi
✓Kutokufanya mazoezi
✓Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi
✓Kuwa na shinikizo kubwa la damu
✓Matumizi ya sigara na tumbaku
✓ Umri zaidi ya miaka 40.

Dalili za ugonjwa wa kisukari
1. Kukojoa mara Kwa mara
2.Kusikia kiu sana
3.Kusikia njaa sana
4.Kuchoka na kukosa nguvu
5.Kupungua uzito bila kusudia
6.kizunguzungu
7.Vidonda visivyo pona
8. Vidole na Viungo kufa ganzi
9. Mapigo ya moyo kwenda mbio
10.kutokuona vizuri
11. Kuchanganyikiwa

USIHANGAIKE NIKO HAPA KUKUSAIDIA NINAYO DAWA NZURI ITAKAYO KUSAIDIA UZALISHAJI MZURI WA SUKARI KWENYE MFUMO WAKO WA DAMU , NDANI YA SIKU 30..TU TATIZO LAKO LITAKUWA KWISHA.
NA KWA WATEJA 10 WA MWANZO WATAPATA PUNGUZO YA 10%.

BAADA YA KUTUMIA DAWA YETU NDANI YA SIKU 30, USIPO PONA ,UTARUDISHIWA PESA ZAKO ZOTE ULIZOTOA KWA AJILI YA MATIBABU..

Dr. Chris's mwangaza wa afya
AFYA NI NURU, TIBU TATIZO KWA GHARAMA NDOGO, KUEPUKA MATIBABU YA GHARAMA KUBWA BADAE..
WASAP NAMBA 0764489720.

JIUNGE NA GROUP LA KISUKARI NA PRESSURE BUREE, UTAJIFUNZA
1. Mambo 5 muhimu mgonjwa wa kisukari anayopitia
2.Namna ya kuepukana na magonjwa nyemelezi.
3.Vyakula aina Gani unapaswa kula na usile
4.Aina ya mazoezi yanayokufaa
JIUNGE SASA! 0764489720 tuma ujumbe niunge..

28/11/2024
Dr.  Chris's  usisubili kutumia gharama kubwa wakati unayo nafasi leo kujitibu Kwa gharama ndogo, matibabu ya uhakika na...
26/11/2024

Dr. Chris's usisubili kutumia gharama kubwa wakati unayo nafasi leo kujitibu Kwa gharama ndogo, matibabu ya uhakika na haraka

Changamoto ya hormonal imbalance inatibika wahi mapema matibabu kuepuka gharama kubwa badae.
25/11/2024

Changamoto ya hormonal imbalance inatibika wahi mapema matibabu kuepuka gharama kubwa badae.

25/11/2024

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Christopher Mwangaza wa Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share