
04/06/2025
Kisukari na Maradhi ya Moyo – Maradhi Hatari Yanayohusiana Kwa Karibu! 🩸❤️⚠️
Je, unajua kuwa watu wengi wanaougua kisukari pia wako kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa ya moyo? Kisukari huathiri mishipa ya damu na kuharibu mfumo wa mzunguko wa damu, hali inayochangia kushuka au kupanda kwa presha, kuharibika kwa moyo, au kupata msh*tuko wa moyo (heart attack).
Dalili za Kisukari na Magonjwa ya Moyo:
❗ Kukojoa mara kwa mara
❗ Kiu isiyoisha
❗ Uchovu wa mara kwa mara
❗ Maumivu ya kifua
❗ Mapigo ya moyo kwenda mbio au polepole
❗ Kuvimba miguu au mikono
❗ Kupoteza fahamu au kizunguzungu
Ukiachwa bila kudhibitiwa, maradhi haya huweza kuathiri maisha kwa kiwango kikubwa, kusababisha kiharusi, kupoteza nguvu za mwili au hata kifo cha ghafla.
Suluhisho Liko Bio AfyaCare Centre!
Tunatoa huduma bora ya ushauri wa kitaalamu na tiba lishe ya asili kwa ajili ya kudhibiti na kurekebisha:
✅ Kisukari kwa kupunguza sukari kwenye damu
✅ Presha ya damu na mzigo kwa moyo
✅ Mzunguko wa damu na afya ya mishipa
✅ Kinga ya mwili na nguvu za mwili kwa ujumla
Gharama ya huduma ya ushauri wa kitaalamu ni TZS 30,000 tu!
Utapata Suluhisho bora la kinga / tiba ya maradhi haya kwa Tiba Lishe.
📍 Tunapatikana Manzese Darajani, Dar es Salaam
📞 Wasiliana nasi kwa 0686 669810