GowAfya

GowAfya �PATA SULUHISHO KAMILI LA CHANGAMOTO ZA UZAZI
�TIBA NA USHAURI
�ELIMU YA AFYA YA UZAZI

27/12/2025

“When I listened to this song, I didn’t just hear music — I felt the message.
The vocals, arrangement, and emotions blend together with remarkable excellence.
Congratulations on this outstanding work; this is more than a song, it’s art.
Your number one fan from Tanzania 🇹🇿❤️🎶”

UMEKUWA UKITOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU KALI SEHEMU ZA SIRI?Unaona aibu, unakosa amani, unajisikia vibaya ukiwa karibu n...
03/12/2025

UMEKUWA UKITOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU KALI SEHEMU ZA SIRI?

Unaona aibu, unakosa amani, unajisikia vibaya ukiwa karibu na watu?

Kwanza pole sana… lakini pia nataka nikueleze kitu ambacho wanawake wengi hawajui kuhusu dalili hii👇

Dalili hizi mara nyingi zinatokana na maambukizi yanayoanzia ukeni kisha kupanda juu kwenye:

Shingo ya kizazi

Mfuko wa uzazi

Mirija ya uzazi

Ovari

📌 Haya maambukizi yasipotibiwa mapema huenda yakaathiri uwezo wa kupata ujauzito baadaye.

---

Ukipuuzia dalili hizi unaweza kupata:

• Maumivu sugu ya tumbo la chini
• Kuziba kwa mirija ya uzazi
• Mimba kutunga nje ya kizazi
• Hedhi kubadilika
• Kukosa ujauzito kwa muda mrefu

Wanawake wengi zaidi ya 7,000 kila mwezi hupitia haya bila kujua chanzo.

Usiache hili likukute — tiba ni rahisi ukianza mapema.

---

Nashauri ufanye vipimo hospitali ili kupata majibu sahihi.

K**a unahitaji ushauri wa karibu kuhusu nini cha kufanya kabla/baada ya vipimo, tuma ujumbe sasa hivi.

👇
Bonyeza “Send Message” au tuma neno “Msaada” nikushauri mara moja.
— GlowAfya | Health Guidance for Women

Je umekuwa ukipitia changamoto ya mimba kutoka mara kwa mara "pengine una hofu ya kuwa na shida kubwa katika mfumo wako ...
26/11/2025

Je umekuwa ukipitia changamoto ya mimba kutoka mara kwa mara "pengine una hofu ya kuwa na shida kubwa katika mfumo wako wa uzazi?"

Mara nyingi tatizo hili huwa na sababu nyingi k**a "matatizo katika mfumo wa homoni, maambukizi k**a vile P.I.D, U.T.I sugu, maambukizi kwenye mfumo wa uzazi nk./shida za kizazi au pengine sababu za kimaumbile!

Nina OFA nzuri kwaajili yako! "Wanawake 15 tayari wameanza program maalumu ya kusafisha mfumo wa uzazi wiki hii" Pengine na wewe ungehitaji OFA hii SPESHO nawe uanze safari ya kukufanya uwe na furaha hususani kuwa na uzazi salama.

Tuma "Niko tayari" WhatsApp ili nikupatie mpango wako binafsi ili kuweza kuondokana na changamoto hii.

Je unajua zipo sababu nyingi zinazo pelekea hedhi kuwa nzito ama kutokuwa na mpangilio au kuvuja damu katikati ya mzungu...
25/11/2025

Je unajua zipo sababu nyingi zinazo pelekea hedhi kuwa nzito ama kutokuwa na mpangilio au kuvuja damu katikati ya mzunguko na kusababisha maumivu ya tumbo la chini,ugumba au mimba kutunga nje ya kizazi?

Kuwa na UVIMBE kwenye kizazi,UVIMBE unaoota kwenye shingo au ndani ya kizazi ama kuwepo kwa kovu kwenye ovari hupelekea kwa kiwango kikubwa dalili hizo.

Wanawake 8 kati ya 10 waliotufikia hivi karibuni tumewasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza kabisa maumivu wakati wa tendo la ndoa, maumivu ya tumbo la chini na hedhi zisizo na mpangilio na hata kuvuja damu katikati ya mzunguko na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa wa kubeba ujauzito ndani ya siku 30 hadi 90 pekee wakitumia detox ya asili ya uzazi.

Andika "Nahitaji msaada" ili niweze kukushauri namna bora ya kutunza afya yako ya uzazi.

•Umekuwa ukitokwa na uchafu wenye harufu kali sehemu za siri, unakosa amani,furaha na kujiamini mbele za watu?•Tatizo hi...
24/11/2025

•Umekuwa ukitokwa na uchafu wenye harufu kali sehemu za siri, unakosa amani,furaha na kujiamini mbele za watu?

•Tatizo hili limekuwa likishamiri kwa wanawake wengi siku hadi siku, Napenda nikufahamishe tu kuwa "huwenda ukawa na maambukizi yanayopanda juu kutoka kwenye uke, shingo ya kizazi, mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na hata kwenye ovari" Hiyo ndiyo sababu kubwa ya kuonekana kwa dalili hiyo.

•Kuendelea kupuuzia hiyo hali na kutochukua hatua mapena unaweza kupelekea "maumivu sugu ya tumbo la chini, kuziba kwa mirija ya uzazi, mimba kutunga nje ya kizazi na hata kuwa mgumba kabisa.

•"Napenda nikushauri kuchukua hatua sasa ya kwenda hospitali na kufanya vipimo ili kupata tiba mapena" Unaweza kuwasiliana nami GlowAfya kwa ushauri wa kimatibabu na hatua za kuzifuata.

•Umekuwa ukitokwa na uchafu wenye harufu kali sehemu za siri, unakosa amani,furaha na kujiamini mbele za watu?•Tatizo hi...
24/11/2025

•Umekuwa ukitokwa na uchafu wenye harufu kali sehemu za siri, unakosa amani,furaha na kujiamini mbele za watu?

•Tatizo hili limekuwa likishamiri kwa wanawake wengi siku hadi siku, Napenda nikufahamishe tu kuwa "huwenda ukawa na maambukizi yanayopanda juu kutoka kwenye uke, shingo ya kizazi, mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na hata kwenye ovari" Hiyo ndiyo sababu kubwa ya kuonekana kwa dalili hiyo.

•Kuendelea kupuuzia hiyo hali na kutochukua hatua mapena unaweza kupelekea "maumivu sugu ya tumbo la chini, kuziba kwa mirija ya uzazi, mimba kutunga nje ya kizazi na hata kuwa mgumba kabisa.

•"Napenda nikushauri kuchukua hatua sasa ya kwenda hospitali na kufanya vipimo ili kupata tiba mapena" Unaweza kuwasiliana nami GlowAfya kwa ushauri wa kimatibabu na hatua za kuzifuata.

17/11/2025
Rest in peace Legend 🥲
16/11/2025

Rest in peace Legend 🥲

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GowAfya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category