29/03/2025
K**A UNASUMBULIWA NA HARUFU MBAYA UKENI, FANYA HIVI ITAKUSAIDIA.
1. Tafuta Karafuu, chukua kiasi kidogo wastani wa punje 30 hadi 50
2. Loweka karafuu zako kwenye maji kiasi cha lita 2, ziache kwa muda wa siku 2.
3. Chuja kuondoa zile karafuu, yabaki yale maji.
4. Tumia maji kiasi kidogo sana kuosha ukeni unapomaliza kuoga jioni. Hakikisha unananiwia jioni tu kabla ya kwenda kulala, kwa muda wa siku 7, Zikifika siku 7 ukawa bado unahisi harufu ipo unaweza kuendelea hadi siku 14 na ninakuhakikishia hautakuwa na hiyo shida tena.
Hii ndio njia ambayo bibi zetu walitumia zamani, imeelezewa kwenye vitabu vya kale na ni njia salama isiyo na madhara yoyote. Ni muhimu ndugu zangu kuamini na kujua kwamba kulikuwa na maisha kabla ya vidonge, na watu walijitibia matatizo haya kwa njia za asili na zikawasaidia.
Iwapo unahitaji msaada wa ushauri kwa tatizo lolote ulilonalo kwanza jiunge na hii page yetu lakini pili tuwasiliane kwa watsapp kwa hii namba 0686 527 039