Meddy healthy clinic

  • Home
  • Meddy healthy clinic

Meddy healthy clinic AFYA YAKO KIPAUMBELE CHETU

🔻MAMBO SITA AMBAYO MWANAMKE AKIWA NAYO NI VIGUMU KUSHIKA UJAUZITO🔻Leo  nitazungumzia dalili kuu sita ambazo ni viashiria...
20/01/2024

🔻MAMBO SITA AMBAYO MWANAMKE AKIWA NAYO NI VIGUMU KUSHIKA UJAUZITO🔻
Leo nitazungumzia dalili kuu sita ambazo ni viashiria vya mwanamke kua mgumba au anaelekea kwenye ugumba(kukosa kupata mtoto).
1️⃣.KUPATA HEDHI INAYOBADILIKA BADILIKA
usione ni kawaida kwa siku zako kutokua na mzunguko wa kawaida ambao mara nyingi ni siku 21 mpaka 35.
Kwa sababu hedhi inayobadilika badilika huashiria kuwa hupevushi mayai kila mwezi. Hali hii inatakiwa kupatiwa ufumbuzi kwa sababu ili uweze kushika ujauzito unahitaji kupevusha yai kila mwezi na sio ili mradi yai bali yai bora linaloweza kurutubishwa.
2️⃣.KUACHA KUONA SKU ZAKO GHAFLA.
K**a hujafikia menopause(kipindi mwanamke anastop kupata hedhi yake ya kawaida kutokana na umri),au sio Mjamzito na hutumiii njia ya uzazi wa mpango zinazosababisha kubadilika kwa hedhi
Ukiona hedhi zako zimekata ghafla maana yake ni kwamba haupevushi mayai ambapo huwezi kubabe ujauzito bila kupevusha yai.
3️⃣.KUTOKWA DAMU NYINGI, NZITO NA YENYE MABONGE K**A VIPANDE VYA MAINI (VINYAMA NYAMA)WAKATI WA HEDHI HUASHIRIA KUWA HORMONE HAZIJABALANCE kutobalance kwa hormone huvuruga uzalishaji wa mayai bora.
4️⃣.MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA YANAYOAMBATA NA UCHAFU MWEUPE MZITO K**A MAZIWA YA MGANDO AMBAYO HUASHIRIA KUNA MATATIZO KATIKA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE
5️⃣.KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA NA MAUMIVU CHINI YA KITOVU
6️⃣.KUKOSA KABISA HAMU YA TENDO LA NDOA PIA KUSIKIA DALILI ZOTE ZA UJAUZITO IKIWA SIO MJAMZITO HUONYESHA KUNA INFECTIONS KATIKA KIZAZI
Hizo ni baadhi ya dalili Mbaya kwa mwanamke ambaye bado hajawahi Kubeba ujauzito, Ni Dalili Mbaya Pia Kwa Mwanamke Ambaye Tayari ana Mtoto/Watoto, ni muhimu sana kupata suluhisho la Changamoto hizo maana zinatibika kabisa na UNAPATA SULUHISHO LA KUDUMU KABISA NA KURUDISHA TABASAMU KATIKA FAMILIA YAKO🤝

20/01/2024

*Matumizi Ya Karafuu Baada Ya Kumaliza Period*

Zingatia Kila Mwezi na Kisha utuletee mrejesho hapa.....

*Maandalizi yake⤵️*

Chukua karafuu na uzitwange ili kupata unga wake ule laini kabisa......

- Utachukua unga wa karafuu kijiko kimoja kile kijiko cha chai, utatia kwenye kikombe cha maji ya moto au kwenye kikombe cha chai ya moto na kukoroga.

Utakunywa kinywaji hiki asubuhi na usiku kwa siku 3 mpaka 7....

Karafuu ina viambata muhimu vyenye kukusaidia kuondoa majimaji na vivimbe vinavyoziba njia ya mirija.

- Habari njema Kwa wenye matatizo ya Uzazi, huenda unahangaika kupata suluhisho

Usiendeleee kuteseka zaidi, huenda umeambiwa unamatatizo haya..

1: Unamvurugiko wa homoni zako, na inakupelekea ,usipate hamu ya tendo, mayai kutopevuka, Mvurugiko wahedhi n.k.........

2: Je tatizo la Ovarian cyst, na PCOS ndio limeanza ama unadalili?

3:Kizazi kina Maji maji na makovu.

4: Je unadalili za uvimbe, (fibroids)

5: Unasumbuliwa na tatizo la infection Kwa Muda mrefu?

Anza kutumia Unga Wa KARAFU ,

Pia matumizi ya Karafuu yaelekezwe Kwa famili hii itasaidi kuilinda familia Yako Kwa Magonjwa mengi ya kimfumo,

*Mungu Akubariki Na Kukutunza*

WHATS APP 0718018311

Harufu ya shombo la Samaki Ukeni✅ Ugonjwa wa VaginitisVaginitis ni kuvimba na kututumka kwa uke kutokana na maambukizi y...
19/01/2024

Harufu ya shombo la Samaki Ukeni

✅ Ugonjwa wa Vaginitis
Vaginitis ni kuvimba na kututumka kwa uke kutokana na maambukizi ya bakteria au fangasi. Vaginitis pia yaweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa k**a trichomoniasis. Kutokwa na harufu ya shombo la samaki ni ni dalili kubwa ya mambukizi haya.

✅ Ukuaji wa Bakteria wabaya kupita kiasi(bacterial vaginosis)
Sababu kubwa inayopelekea kuvurugika kwa mazingira ya uke ni kufanya ngono na wanaume tofautitofauti. Wanawake pia wasiofanya ngono mara kwa mara wanaweza kupata tatizo hili pia na kusafisha uke kupita kiasi kuingiza vitu ukeni kuna waua bacteria wazuri wanao Linda uke.

✅ Maambukizi kwenye njia ya mkojo(UTI)
Maambukizi ya bakteria kwenye njia ya mkojo kunaweza kusababisha kutokwa na harufu ya shombo la samaki ukeni. Dalili zingine za UTI ambazo waweza kupata ni pamoja na muwasho , kuungua na maumivu wakati wa kukojoa.

✅ karibu tukusaidie uondokane na maradhi.

Unaweza kujipatia Tiba zetu popote ulipo kwa kuwasiliana nasi kupitia WhatsApp/piga
(+255) 718018311 (whatsapp/sms) 🤳👨🏻‍⚕️
📞☎️📲

Mwanamke kuingia hedhi kila mwezi haina Maana kwamba ovari zako kila mwezi zinapevusha mayai, Unaweza kuingia hedhi na m...
19/01/2024

Mwanamke kuingia hedhi kila mwezi haina Maana kwamba ovari zako kila mwezi zinapevusha mayai,

Unaweza kuingia hedhi na mzunguko wako huo huo siku za hatari Hakuna yai ambalo lilipevuka(kitaalamu Hali hio huitwa ( Anovulation).

Hali hii husababishwa na homoni za upevushwaji mayai kutokuwa katika kiwango toshelevu,

Wanawake Wengi wanapata hedhi vizuri na mzunguko unakuwa sawa, lakini wanajikuta mimba hazipatikani...
..na Mara nyingi wakipima wanaambiwa hakuna tatizo, Wengi wanakumbwa na tatizo la mvurugiko wahomoni.

HIZI NI DALILI ZINAZOASHIRIA MWANAMKE UNATATIZO KATIKA MFUMO WAKO WA UZAZI.

1: Mzunguko wa hedhi usio na kalenda moja ya kuingia hedhi.

2: Kukosa hamu ya tendo landoa na Maumivu makali wakati watendo la ndoa hii husababishwa na uke kuwa mkavu Sana.

3: Mzunguko wa hedhi unaoambatana na Dalili mbaya K**a kichefu Chefu, chunusi nyingi, hasira,Maumivu makali, kuharisha.

4: kupata hedhi nzito na inayo dumu zaidi yasiku 7.

5: Kutoingia hedhi miezi zaidi ya 3 Huku ukiwa huna mimba na hunyonyeshi na hakuna kitu chochote kinachoelezea kutoingia hedhi.

6: Mayai kutokukomaa na homoni za kukomaza na kupevusha mayai kuwa chini yaani ( FSH, NA LH.

7: Kutobeba mimba au Mimba kutoka kila unapobeba mimba.

8: Uvimbe maji kwenye ovari (Cyst) na uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

9: kutoona mabadiliko yanayoashiria yai Kupevuka katikati ya mzunguko wako (siku zahatari), kupata Dalili k**a, Ute msafi wakuvutika, hamu ya tendo kuongezeka, na pia joto la mwili kuongezeka, Sasa wanawake wengi hawana Dalili za ishara ya yai Kupevuka.

10: Mzunguko Mfupi, kuingia hedhi zaidi ya Mara moja katika mzunguko mzuri.

Leo nataka niwe kwenye safari Yako ya mafanikio, huenda umekuwa na Matatizo Kwa Muda mrefu bila mafanikio, karibu na sisi tuweze kukusaidia.

Tuma Ujumbe whatsapp/piga sasa hivi kwa namba:
0718018311

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Meddy healthy clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram