MnogaHerbs

MnogaHerbs NINAWASAIDIA WENYE PUMU KUTIBU PUMU BILA YA KUTUMIA INHALERS WALA MADAWA YA HOSPITAL

Mnoga Herbs tunasaidia wenye Changamoto za Pumu/Bawasili/Uzazi/Vidonda vya tumbo kuondokana na changamoto hizo bila ya kutumia madawa ya kemikali au upasuaji.

Viungo jirani na tumbo ni nini:-Kongosho kisha ini Kwanini muathirika wa vidonda vya tumbo hapa alifika hatua ya kutapik...
05/01/2025

Viungo jirani na tumbo ni nini:-

Kongosho kisha ini

Kwanini muathirika wa vidonda vya tumbo hapa alifika hatua ya kutapika madonge ya damu hadi kuwa sababu ya mauti yake

Ni baada ya utumbo kutoboka na hapa damu ya kwenye ini ikichanganyika na insulini inakuwa sumu na hata ini pia linaweza kuanza kumeguka

Sio wasia kabisa kuwacha kutibia vidonda vya tumbo

02/01/2025

Wahi offer hii kabla hayakufika madhara makubwa

13/12/2024
Ikiwa tunakaribia eid ya mfungo tatu hii ni shuhuda ya kukuonyesha wewe mwanamke mwenye Uvimbe kwenye kizazi....yaani nj...
04/11/2024

Ikiwa tunakaribia eid ya mfungo tatu hii ni shuhuda ya kukuonyesha wewe mwanamke mwenye Uvimbe kwenye kizazi....yaani njoo tukutokomezee Uvimbe wako ndani siku 14 tu

KWANINI TUNAPATWA NA UVIMBE?UVIMBE KWENYE KIZAZI Unategemeana na homoni.  Tissue ya Fibroid inakuwa na  kiasi kikubwa ch...
31/10/2024

KWANINI TUNAPATWA NA UVIMBE?

UVIMBE KWENYE KIZAZI Unategemeana na homoni. Tissue ya Fibroid inakuwa na kiasi kikubwa cha estrojeni na vipokezi vya progesterone.

Tissue ya Fibroid ni hypersensitive(kucharukwa) kwa estrojeni, lakini haina
uwezo wa kudhibiti ujio wa estrojeni, hii ndiyo sababu uvimbe unaweza kukua na kuwa mkubwa kabisa.

Hata hivyo ni muhimu kutambua kwamba progesterone (ambayo hufanya kazi ya kusawazisha homoni ya estrojeni) viwango vyake huanza kushuka katika umri wa kati hadi mwishoni mwa miaka ya 30 na pia huchukua jukumu katika mlingano na kuweka sawa hormone hizo 2.

UVIMBE kwenye kizazi kuna uwezekano kwa 20% hadi 30% zaidi kukua kwa wanawake wenye asili ya Kiafrika na wa Amerika ikilinganishwa kwa jamii nyengine yoyote.

Pia ni muhimu kutambua kwamba Uvimbe inaweza kukua tena baada ya hysterectomy. (Operation)

Njoo WhatsApp +255656039310 nikupe Uvimbe Solution hii hii leo

With Pi Network DC – I just got recognised as one of their top fans! 🎉
25/09/2024

With Pi Network DC – I just got recognised as one of their top fans! 🎉

08/07/2024

Superb

08/07/2024

I gained 38 followers, created 14 posts and received 616 reactions in the past 90 days! Thank you all for your continued support. I could not have done it without you. 🙏🤗🎉

Ndugu mtanzania hakika suluhisho kwa akina mama wasiopata Ujauzito Allah ametupa taufiq. Huyu ni mwanamama aliyeshindwa ...
02/07/2024

Ndugu mtanzania

hakika suluhisho kwa akina mama wasiopata Ujauzito Allah ametupa taufiq.

Huyu ni mwanamama aliyeshindwa kubeba Ujauzito muda wa miaka 3.

Lakini baada ya kutumia Parachichi formulae + Uzazi combo solution

Allah amemuwezesha kuwa mama kijacho .....Alhamdulillah

Address

Cheka, Mwanzo Mgumu
Kigamboni
9556

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255656039310

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MnogaHerbs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to MnogaHerbs:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram