12/08/2025
*MASHARTI*
*VYAKULA AMBAVYO SI RAFIKI KWA MGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO NA ACID REFLUX*
⚫Pombe
⚫Kahawa
⚫Maziwa/Cream
⚫ Nyama iliyokaangwa kwenye mafuta mengi
⚫ Vyakula vilivyokaangwa(kwa mafuta mengi)
⚫ Vyakula vyenye viungo vingi
⚫ Vyakula vyenye chumvi nyingi
⚫ Vyakula vyenye acid k**a vile Malimao,ndimu nk
⚫ Nyanya pamoja na bidhaa zake.
⚫ Chocolate
⚫ Vyakula vikavu
⚫ Vyakula vyenye gesi nyingi k**a maharage,maziwa nk
*VYAKULA UNAVYOWEZA KUTUMIA*
Penda kula matunda kwa kiasi kikubwa Sana kila unapo pata Chakula akikisha Kuna matunda pembeni yako,Penda kula:⤵️
1.🖇️ Ndizi za kupika au zilizo iva au unga wa ndizi pia itakusaidia,
2.🖇️ Parachichi
3.🖇️ Tikiti maji
4.🖇️Tango
5.🖇️Karoti
*MBOGA ZA MAJANI*
penda kula mboga za majani k**a
1.🖇️Mlenda
2.🖇️Matembele
3.🖇️Mchicha
4.🖇️Kabeji
5.🖇️Nyanya chungu
6.🖇️ Bamia
Lakini unaweza kutumia samaki wabichi wa kuchemsha
*CHAI YA ASUBUHI KWA MGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBUMBO NA ACID REFLUX(GERD)*
Chai yako iwe na viungo Mbalimbali K**a vile
1.🖇️Mdalasini,
2.🖇️ Hiliki
3.🖇️Mchaichai,
4.🖇️Karafuu, Kumbuka viungo hivi vinaweza Kuwa vya unga au majani na unaweza kutumia vyote au ata kimoja K**a mazingiza hayaruhusu,
*ANGALIZO*
Kumbuka hutakiwi kutumia vitu vyenye caffeine nyingi Usitumie majani ya dukani mfano *CHAI BORA*