Siri Za Afya Bora

Siri Za Afya Bora Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siri Za Afya Bora, Kilimanjaro.

karibu katika page maalumu ya POLSHINE PRODUCTS LTD watengenezaji wa bithaa za urembo (cosmetics) pamoja na bithaa za virutubisho zinazochangia kubadilisha maisha ya watu wengi ikiwa na wewe ni mmoja wapo karibu ujipatie bithaa bora kabisa za asili

Make your oder now
15/05/2025

Make your oder now

15/05/2025
POLSHINE PRODUCTS
15/05/2025

POLSHINE PRODUCTS

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI* *(TINEA VERSICOLOR)*Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umr...
26/03/2025

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI* *(TINEA VERSICOLOR)*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Katika mwendelezo wa makala yetu ya maradhi ya ngozi tunaendelea kuangalia maradhi ya ngozi yatokanayo na fangasi,

leo tukiangalia hamira (yeast) yanavyoshambulia sehemu mbalimbali za mwili. Maradhi haya kitaalamu huitwa tinea versicolor.

*utango tango (mba)*

Mba ni maradhi maarufu zaidi kati ya magonjwa mengi yanayosambazwa na fangasi wanaoitwaMalassezia furfur ambao kwa kawaida huishi kwenye ngozi ya watu wazima bila kusababisha matatizo yoyote ya kiafya.

Vimelea hivi husababisha ngozi kwenye sehemu ndogo ya mwili kubadilika rangi ukilinganisha na rangi ya ngozi ya sehemu ya mwili iliyoizunguka.

*Mba hushambulia nani?*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Mwonekano wake

Maradhi haya hutambulika kwa namna mbalimbali, lakini ya muhimu zaidi ni mwonekano wake. Hutambulika kitaalamu k**a ‘versicolor., neno la Kigiriki linalomaanisha kubadilika kwa rangi ya ngozi na hii humaanisha kuwa sehemu ya ngozi inayopata maambukizi ya maradhi haya hubadilika rangi yake kutoka ile ya asili.

Mfano rahisi ni mabadiliko ya rangi ya ngozi kutoka maji ya kunde na kuwa nyeusi zaidi au nyeupe zaidi ukilinganisha na sehemu za ngozi zilizozunguka eneo lenye maambukizi ya fangasi hao.

*Ni sehemu gani hushambuliwa?*
ya ngozi yanayoathiriwa zaidi katika mwili ni mabega, shingo, mgongo na kifua.

Mara nyingine maradhi haya hushambulia maeneo ngozi inapojikunja k**a vile maungo ya mikono, ngozi ya chini ya matiti, maeneo ya siri hasa pale miguu inapoanzia. Uso mara nyingi hauathiriki, ingawa kwa watoto wanaweza kupata maambukizi ya kwenye kidevu, pua, mashavu na hata paji la uso.
Mara nyingi, fangasi hawa wanaposhambulia uso hushambulia kwa wingi kiasi kwamba ukimtazama mgonjwa kwa haraka haraka unaweza kudhani kuwa hiyo ndiyo rangi yake halisi ya ngozi na kuwa maeneo ambayo hayajaathirika ndiyo yaliyoathirika.

Sababu za kutokea kwake

Sababu za maradhi haya bado zinafanyiwa uchunguzi, lakini k**a nilivyosema kwenye makala za nyuma kuhusu namna fangasi wanavyosambaa, na kwamba, sababu hizi pia ni muhimu, nazo ni;

-Hali ya majimaji kwenye ngozi (inaweza kuwa hata jasho)

-Hali ya hewa ya joto (fangasi wanakua vizuri kwenye hali ya joto)

-Kinga ya mwili ikiwa chini

-Mabadiliko ya homoni

Inawezekana pia maradhi haya kupata watu ambao wamekosa sababu zilizotajwa hapo juu.

Usambaaji wake

Kwa vile vimelea vya fangasi vinavyosambaza maradhi haya kwa hali ya kawaida huishi kwenye ngozi si lazima mtu aambukizwe, bali kwa kawaida maradhi haya hutokea kulingana na kimazingira
Kwa Mwenye tatizo hili tunawez msaidia kuondokana naloo kwa kutumia sabuni yetu ya Polshine Versicolor soap
Itakayo kuondolea tatizo hili kwakua wengi wanaofwatilia page hii n kutumia sabuni hii wamepata matokeo mazuri
0755273087

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI* *(TINEA VERSICOLOR)*Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umr...
26/03/2025

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI* *(TINEA VERSICOLOR)*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Katika mwendelezo wa makala yetu ya maradhi ya ngozi tunaendelea kuangalia maradhi ya ngozi yatokanayo na fangasi,

leo tukiangalia hamira (yeast) yanavyoshambulia sehemu mbalimbali za mwili. Maradhi haya kitaalamu huitwa tinea versicolor.

*utango tango (mba)*

Mba ni maradhi maarufu zaidi kati ya magonjwa mengi yanayosambazwa na fangasi wanaoitwaMalassezia furfur ambao kwa kawaida huishi kwenye ngozi ya watu wazima bila kusababisha matatizo yoyote ya kiafya.

Vimelea hivi husababisha ngozi kwenye sehemu ndogo ya mwili kubadilika rangi ukilinganisha na rangi ya ngozi ya sehemu ya mwili iliyoizunguka.

*Mba hushambulia nani?*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Mwonekano wake

Maradhi haya hutambulika kwa namna mbalimbali, lakini ya muhimu zaidi ni mwonekano wake. Hutambulika kitaalamu k**a ‘versicolor., neno la Kigiriki linalomaanisha kubadilika kwa rangi ya ngozi na hii humaanisha kuwa sehemu ya ngozi inayopata maambukizi ya maradhi haya hubadilika rangi yake kutoka ile ya asili.

Mfano rahisi ni mabadiliko ya rangi ya ngozi kutoka maji ya kunde na kuwa nyeusi zaidi au nyeupe zaidi ukilinganisha na sehemu za ngozi zilizozunguka eneo lenye maambukizi ya fangasi hao.

*Ni sehemu gani hushambuliwa?*
ya ngozi yanayoathiriwa zaidi katika mwili ni mabega, shingo, mgongo na kifua.

Mara nyingine maradhi haya hushambulia maeneo ngozi inapojikunja k**a vile maungo ya mikono, ngozi ya chini ya matiti, maeneo ya siri hasa pale miguu inapoanzia. Uso mara nyingi hauathiriki, ingawa kwa watoto wanaweza kupata maambukizi ya kwenye kidevu, pua, mashavu na hata paji la uso.
Mara nyingi, fangasi hawa wanaposhambulia uso hushambulia kwa wingi kiasi kwamba ukimtazama mgonjwa kwa haraka haraka unaweza kudhani kuwa hiyo ndiyo rangi yake halisi ya ngozi na kuwa maeneo ambayo hayajaathirika ndiyo yaliyoathirika.

Sababu za kutokea kwake

Sababu za maradhi haya bado zinafanyiwa uchunguzi, lakini k**a nilivyosema kwenye makala za nyuma kuhusu namna fangasi wanavyosambaa, na kwamba, sababu hizi pia ni muhimu, nazo ni;

-Hali ya majimaji kwenye ngozi (inaweza kuwa hata jasho)

-Hali ya hewa ya joto (fangasi wanakua vizuri kwenye hali ya joto)

-Kinga ya mwili ikiwa chini

-Mabadiliko ya homoni

Inawezekana pia maradhi haya kupata watu ambao wamekosa sababu zilizotajwa hapo juu.

Usambaaji wake

Kwa vile vimelea vya fangasi vinavyosambaza maradhi haya kwa hali ya kawaida huishi kwenye ngozi si lazima mtu aambukizwe, bali kwa kawaida maradhi haya hutokea kulingana na kimazingira
Kwa Mwenye tatizo hili tunawez msaidia kuondokana naloo kwa kutumia sabuni yetu ya Polshine Versicolor soap
Itakayo kuondolea tatizo hili kwakua wengi wanaofwatilia page hii n kutumia sabuni hii wamepata matokeo mazuri
0755273087

*NUT-MACA SUPPLEMENT**Kinasaidia kupata usingizi wa kutosha, kuondoa uchovu na kuongeza hamasa*Kirutubisho cha nut-maca ...
31/10/2024

*NUT-MACA SUPPLEMENT*

*Kinasaidia kupata usingizi wa kutosha, kuondoa uchovu na kuongeza hamasa*

Kirutubisho cha nut-maca kina kiambata cha trimyristin ambacho kinachochea uzalisaji wa homoni za furaha na usingizi pamoja na kuondoa uchovu na stress.
Kwa usingizi tumia kijiko kimoja cha chai baada ya chakula cha jioni.

*Inaboresha uwezo wa kushinriki tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume..*

Nut-maca ina unga wa mmea maarufu wa maca ambao unavirutubisho vingi k**a L-arginine, zinc, selenium ambavyo ni muhimu kwa kuimarisha nguvu za kiume na k**e.

Inaimarisha mishipa ya damu na moyo na kuongeza mzungo wa damu katika uume na kuufanya usimame barabara.

T.graecum ni maalumu kwa kuweka uwiano sahihi wa homoni kwa wanawake na wanaume.
Kwa wanaume huongeza uzalishaji wa homoni ya testosterone ambayo ni muhimu sana ili kuwa na nguvu za kutosha.

Pia huongeza mvuto kwa wanawake, huondoa harufu mbaya mdomoni na huondoa harufu mbaya ya jasho kwa wanawake na wanaume hali inayoongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

*Inasaidia kudhibiti sukari*

Glucommannan ni nyuzi lishe mumunyifu inayosaidia kupunguza kasi ya ufyonzwaji wa sukari kutoka katika vyakula tunavyokula.

Pia amino asid ya 4-hydroxyisoleucine inasaidia kongosho kuzalisha insulin. Hili ni jambo muhimu sana katika kuongeza uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.

Diosgenin iliyopo katika NUT-MACA inasaidia kuondoa maumivu ya hedhi, uke mkavu hasa kwa wanawake wenye umri mkubwa na kuongeza furaha wakati wa kushiriki tendo la ndoa. Hii inasaidia sana kwani kuna wakati mwanaume anakuwa hana shida ila kutokana na matatizo ya kiafya ya mama basi mwanaume anaonekana hana nguvu za kumtosheleza.

*Inasawazisha shinikizo la juu la damu*

Maca inavirutubisho vinavyosaidia kushusa na kuweka sawa shinikizo la damu.

Quarcetin na L-arginine inasaidia katika uzalishaji wa nitric oxide ambayo inaimarisha uwezo wa mishipa kutanuka ili kuruhusu damu ya kutosha kupita.

Hii inafaida kwani mzunguko wa damu unapokuwa mzuri katika viungo vya uzazi basi utendaji kazi unaongezeka.

Kwa mwanamke inamuongezea joto ukeni.

*Inasafisha damu na mfumo wa lymph*

Lymph ni mfumo unaohusika kuondoa uchafu, vijidudu na sumu katika damu. Ndio mfumo unaosaidia virutubisho kufika katika seli na uchafu kutoka katika seli. Mfumo huu unapozidiwa uchafu na sumu mtu hupata maumivu, kuvimba hasa miguuni na mikono nk.

T.graecum inasaidia kuusafisha na kuondoa uchafu na sumu hali inayomfanya mtu kujisikia mwenye afya, furaha na nguvu ya kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara na kuondoa hali ya miguu kuvimba/kujaa maji yaliyosababishwa na sumu kuzidi mwilini.

*Chupa moja unatumia kwa siku 30.*

*TUPIGIE HAPA KUPATA YAKO:*
*0764 899 798*
*0762 481 326*
*0711 714 250*

*Bei ni 40,000/=*
KARIBUNI sana....

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI*Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto...
12/12/2022

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Katika mwendelezo wa makala yetu ya maradhi ya ngozi tunaendelea kuangalia maradhi ya ngozi yatokanayo na fangasi,

leo tukiangalia hamira (yeast) yanavyoshambulia sehemu mbalimbali za mwili. Maradhi haya kitaalamu huitwa tinea versicolor.

*utango tango (mba)*

Mba ni maradhi maarufu zaidi kati ya magonjwa mengi yanayosambazwa na fangasi wanaoitwaMalassezia furfur ambao kwa kawaida huishi kwenye ngozi ya watu wazima bila kusababisha matatizo yoyote ya kiafya.

Vimelea hivi husababisha ngozi kwenye sehemu ndogo ya mwili kubadilika rangi ukilinganisha na rangi ya ngozi ya sehemu ya mwili iliyoizunguka.

*Mba hushambulia nani?*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Mwonekano wake

Maradhi haya hutambulika kwa namna mbalimbali, lakini ya muhimu zaidi ni mwonekano wake. Hutambulika kitaalamu k**a ‘versicolor., neno la Kigiriki linalomaanisha kubadilika kwa rangi ya ngozi na hii humaanisha kuwa sehemu ya ngozi inayopata maambukizi ya maradhi haya hubadilika rangi yake kutoka ile ya asili.

Mfano rahisi ni mabadiliko ya rangi ya ngozi kutoka maji ya kunde na kuwa nyeusi zaidi au nyeupe zaidi ukilinganisha na sehemu za ngozi zilizozunguka eneo lenye maambukizi ya fangasi hao.

*Ni sehemu gani hushambuliwa?*
ya ngozi yanayoathiriwa zaidi katika mwili ni mabega, shingo, mgongo na kifua.

Mara nyingine maradhi haya hushambulia maeneo ngozi inapojikunja k**a vile maungo ya mikono, ngozi ya chini ya matiti, maeneo ya siri hasa pale miguu inapoanzia. Uso mara nyingi hauathiriki, ingawa kwa watoto wanaweza kupata maambukizi ya kwenye kidevu, pua, mashavu na hata paji la uso.
Mara nyingi, fangasi hawa wanaposhambulia uso hushambulia kwa wingi kiasi kwamba ukimtazama mgonjwa kwa haraka haraka unaweza kudhani kuwa hiyo ndiyo rangi yake halisi ya ngozi na kuwa maeneo ambayo hayajaathirika ndiyo yaliyoathirika.

Sababu za kutokea kwake

Sababu za maradhi haya bado zinafanyiwa uchunguzi, lakini k**a nilivyosema kwenye makala za nyuma kuhusu namna fangasi wanavyosambaa, na kwamba, sababu hizi pia ni muhimu, nazo ni;

-Hali ya majimaji kwenye ngozi (inaweza kuwa hata jasho)

-Hali ya hewa ya joto (fangasi wanakua vizuri kwenye hali ya joto)

-Kinga ya mwili ikiwa chini

-Mabadiliko ya homoni

Inawezekana pia maradhi haya kupata watu ambao wamekosa sababu zilizotajwa hapo juu.

Usambaaji wake

Kwa vile vimelea vya fangasi vinavyosambaza maradhi haya kwa hali ya kawaida huishi kwenye ngozi si lazima mtu aambukizwe, bali kwa kawaida maradhi haya hutokea kulingana na kimazingira
Kwa Mwenye tatizo hili tunawez msaidia kuondokana naloo kwani tunazo sabuni dawa zilizotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu sanaa utakaoweza kuipa ngozi yako matokeo kwa muda mfupi karbu tupigie

0755273087
0624273087
Polshine Products Ltd.

12/12/2022
*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI*Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto...
07/11/2022

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Katika mwendelezo wa makala yetu ya maradhi ya ngozi tunaendelea kuangalia maradhi ya ngozi yatokanayo na fangasi,

leo tukiangalia hamira (yeast) yanavyoshambulia sehemu mbalimbali za mwili. Maradhi haya kitaalamu huitwa tinea versicolor.

*utango tango (mba)*

Mba ni maradhi maarufu zaidi kati ya magonjwa mengi yanayosambazwa na fangasi wanaoitwaMalassezia furfur ambao kwa kawaida huishi kwenye ngozi ya watu wazima bila kusababisha matatizo yoyote ya kiafya.

Vimelea hivi husababisha ngozi kwenye sehemu ndogo ya mwili kubadilika rangi ukilinganisha na rangi ya ngozi ya sehemu ya mwili iliyoizunguka.

*Mba hushambulia nani?*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Mwonekano wake

Maradhi haya hutambulika kwa namna mbalimbali, lakini ya muhimu zaidi ni mwonekano wake. Hutambulika kitaalamu k**a ‘versicolor., neno la Kigiriki linalomaanisha kubadilika kwa rangi ya ngozi na hii humaanisha kuwa sehemu ya ngozi inayopata maambukizi ya maradhi haya hubadilika rangi yake kutoka ile ya asili.

Mfano rahisi ni mabadiliko ya rangi ya ngozi kutoka maji ya kunde na kuwa nyeusi zaidi au nyeupe zaidi ukilinganisha na sehemu za ngozi zilizozunguka eneo lenye maambukizi ya fangasi hao.

*Ni sehemu gani hushambuliwa?*
ya ngozi yanayoathiriwa zaidi katika mwili ni mabega, shingo, mgongo na kifua.

Mara nyingine maradhi haya hushambulia maeneo ngozi inapojikunja k**a vile maungo ya mikono, ngozi ya chini ya matiti, maeneo ya siri hasa pale miguu inapoanzia. Uso mara nyingi hauathiriki, ingawa kwa watoto wanaweza kupata maambukizi ya kwenye kidevu, pua, mashavu na hata paji la uso.
Mara nyingi, fangasi hawa wanaposhambulia uso hushambulia kwa wingi kiasi kwamba ukimtazama mgonjwa kwa haraka haraka unaweza kudhani kuwa hiyo ndiyo rangi yake halisi ya ngozi na kuwa maeneo ambayo hayajaathirika ndiyo yaliyoathirika.

Sababu za kutokea kwake

Sababu za maradhi haya bado zinafanyiwa uchunguzi, lakini k**a nilivyosema kwenye makala za nyuma kuhusu namna fangasi wanavyosambaa, na kwamba, sababu hizi pia ni muhimu, nazo ni;

-Hali ya majimaji kwenye ngozi (inaweza kuwa hata jasho)

-Hali ya hewa ya joto (fangasi wanakua vizuri kwenye hali ya joto)

-Kinga ya mwili ikiwa chini

-Mabadiliko ya homoni

Inawezekana pia maradhi haya kupata watu ambao wamekosa sababu zilizotajwa hapo juu.

Usambaaji wake

Kwa vile vimelea vya fangasi vinavyosambaza maradhi haya kwa hali ya kawaida huishi kwenye ngozi si lazima mtu aambukizwe, bali kwa kawaida maradhi haya hutokea kulingana na kimazingira
Kwa Mwenye tatizo hili tunawez msaidia kuondokana naloo kwani tunazo sabuni dawa zilizotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu sanaa utakaoweza kuipa ngozi yako matokeo kwa muda mfupi karbu tupigie

0755273087
0624273087
Polshine Products Ltd.

Address

Kilimanjaro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siri Za Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siri Za Afya Bora:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

fahamu kuhusu kupata choo kigumu (constipation)

*SULUHISHO LA UHAKIKA LA CHANGAMOTO YA KUTOKUPATA CHOO NI LIPI HASA???*

https://wa.me/255755273087

NAMNA YA KUWEKA AFYA YAKO VIZURI NA KUJIONDOA KWENYE HATARI YA KUPATA CONSTIPATION, PIA KUSAIDIA KUFANYA KINYESI KUA LAINI.