22/05/2026
: HUU MSHARIFU NI UFUNGUO WA SIRI:
Huu ni miongoni mwa miti katika uwanda wa tiba asili na ulimwengu wa Tiba Asilia kwa ujumla. Kutokana na kuwa na kazi nyingi, mti huu umepewa majina mengi k**a vile Ufunguo wa siri, Mfichua siri, Kimbizo la shetani, Angusho la wachawi n.k, yote hayo ni majina yake kutokana tu na sehemu unapotokea.
Ikiwa ni miongoni mwa miti ya tiba yenye kazi zaidi ya 150, mti huu hauna namna maalum ya kuutumia bali matumizi yale hutokana na uwezo wa mtaalam mwenyewe, kwani unaweza kuutumia utakavyo na kukutatulia tatizo ulilonalo.
👉Baadhi ya kazi sharifu la wachawi.
Kutibu ukichaa, Kutibu/kusafisha figo, Kuangusha ndege za wachawi usiku, Kumrudisha mwenza aliekukimbia, Kuzuia radi za kichawi, Kuondosha nuksi na mikosi katika mwili.
Kumtibu kichaa✔️
Chukua majani 7 ya msharifu , Majani 7 ya Msoniti, Majani 7 ya kisamvu, Majani 7 ya mkunazi.
👉Matayarisho na matumizi yake
Ponda ponda dawa zote hizo kisha kamua upate juisi yake. Dondoshea matone matatu ya mafuta ya mkunazi (mafuta yasiwe na kemikali). Mpatie juisi hiyo mgonjwa wa ukichaa kila siku glasi moja kila siku kwa muda wa siku 17
Kumtibu kIfafa✔️
👉Chukua majani 7 ya msharifu unguze upate usila wake
Tumia matone 7 ya mafuta ya msonoti weka kwenye usila huo kumpatia mgonjwa kila mara akianguka kifafa kinapopanda zaidi hakika atatulia Tumia kijiko kidogo cha usila kuweka kwenye uji au chai. Fanya hivyo kwa muda wa siku 7 hadi 14.
Kutibu/kusafisha figo✔️
👉Chuma majani ya msharifu chemsha tumia kwa kunywa robo kikombe kwa muda wa siku 7-11.
Kukufungulia ndoto✔️
👉Ikiwa unahitaji kujua mambo kupitia ndoto, au hata kwa wenye matatizo ya kutokupata ndoto mara kwa mara pamoja na kusahau kile ulichokiota usiku basi tumia majani haya kukufungulia matatizo yako ya ndoto.
Namna ya kufungua ndoto✔️
👉Chuma majani yake pamoja na majani ya miwa (Mchawi hana akili), Udongo wa kichuguu kikubwa, Mchanga wa njia panda 7 Changanya vyote hapo uchome na ujifukize k**a nyungu kwa manuizi ya kile unachokihitaji ukiwa umelala.
Kumuona mchawi unamuona live:✔️
Chukua majani matatu ya msharifu.
Yapake vizuri mafuta ya mzeituni, Yaweke pamoja na mchanga wa njia 7, Funga vyote pamoja katika kitambaa cheupe, Weka katika mto kwa manuizi kisha lalia usiku.
Kumrudisha mwenza aliekutoroka✔️
👉Chuma majani 7 msharifu,. kila jani andika jina la unaemuhitaji X7, Yapake majani hayo mafuta ya msonoti, Chukua chumvi ya mawe punje tatu tatu na ufunge kwa kila jani
Washa moto wa kuni kisha choma jani moja moja huku unanuia kunrudisha mwenza wako.
: Kazi ya kumrudisha mwenza wako kwa njia hii unatakiwa uwe uchi wakati unaifanya, muda ni kuanzia saa 6 usiku hadi saa 10 alfajir.
: Ndani ya siku 3-5 atakua amerudi ikiwa yupo katibu au kukutafuta kwa nia ya kurudi ikiwa yuko mbali.
Kuangusha ndege ya kichawi✔️
👉Hii ni kwa wale wanaohitaji kuwaangusha wachawi wanaowanga nyakati za usiku. (Usijaribu hii k**a huna roho ngumu)
Majani ya msharifu, Mbegu za ulezi,Ufuta na tunguja
Changanya majani yote katika chungu na uzikaange hadi upate usila wake (Unga mweusi).
Funga katika kitambaa cheusi kisha fukia katikati ya uwanja wako kwa manuizi.
: Mchawi hatokaa afanikiwe kukatiza katika eneo hilo ni lazima ashuke.
Husaidia Kudhibiti Kisukari✔️
Majani ya msharifu husaidia kupunguza na kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu. Hutumika kwa kuchemsha majani machache kwenye maji na kunywa chai yake kwa kiasi kinachofaa.
Huimarisha Kinga ya Mwili✔️
Msharifu una virutubisho na antioxidants zinazosaidia mwili kujilinda dhidi ya magonjwa ya mara kwa mara na maambukizi.
Hutibu Vidonda na Majeraha✔️
Majani yake yakisagwa hutoa maji yenye uwezo wa kusimamisha damu na kuharakisha kupona kwa vidonda na michubuko.
Hupunguza Maumivu ya Tumbo na Vidonda vya Tumbo✔️
Hutuliza asidi tumboni, kusaidia mmeng’enyo wa chakula na kupunguza maumivu ya tumbo.
Husaidia Matatizo ya Kupumua✔️
Msharifu hutumika kwa kikohozi, pumu na matatizo ya kifua kwa kusaidia kufungua njia za hewa na kupunguza mak**asi.
Hupunguza Maumivu ya Miguu Kuwaka Moto na Viungo✔️
Majani yake yakichanganywa na mafuta ya asili husaidia kutuliza mishipa ya fahamu na kuboresha mzunguko wa damu.
Husaidia Afya ya Figo na Njia ya Mkojo✔️
Msharifu husaidia kusafisha mwili na kuimarisha utoaji wa sumu kupitia mkojo.
Hupunguza Uvimbe na Maambukizi✔️
Una uwezo wa kupambana na bakteria na uvimbe mwilini kutokana na viambata vyake vya asili.
Husaidia Afya ya Ngozi
Hutibu vipele, majipu, chunusi na matatizo mengine ya ngozi kwa matumizi ya nje.
✔️Husaidia Kupambana na Saratani
Antioxidants zilizomo kwenye msharifu husaidia mwili kupambana na seli hatarishi zinazopelekea saratani.
Msharifu ni jani la thamani kubwa katika tiba za asili. Kutunza mmea huu nyumbani ni hatua muhimu ya kujijengea kinga ya afya kwa njia ya asili. Hata hivyo, matumizi yazingatie kiasi na busara, hasa kwa wagonjwa wenye magonjwa sugu au wanaotumia dawa za hospitali.
Pia kwakuwa hapa tunasaidiana ili afya zetu ziwe nzuri na tuishi vizuri kwa pamoja, naomba utoe maoni au ushuhuda wako kuhusu mmea huu, tuambie uliutumiaje na unajua nini kuhusu mmea huu ili na wengine wajifunze.
Faida zingne tutaziongelea katika madarasa yajayo
Usisahau kufollow page yetu ya Tabibu Marimo Herb's
0684 765 575
ASILI NI Mtabibu Asilia Tz