
01/09/2025
💒 “Harusi imepita, furaha imebaki! Asante kwa maombi, michango na upendo wenu – nyote mmeandika historia kwenye maisha yetu. Mungu awabariki sana 🙏💖.”
Ibada ya Ndoa takatifu iliongozwa Mch&Dr David David Mpwani Mwenyekiti wa Jimbo la TRVF. 28/08/2025
Kanisani MJI-MWEMA SDA-ARUSHA.