Afya mtaji no 1

Afya mtaji no 1 karibun

Pata ushauri wa kibiashara pamoja na matibabu kwa magonjwa tofauti tofauti hapa,utajifunza pia namna ya kuweza ujikimu kimaisha kupitia kipato chako kwa njia halali.

Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/DnVlrXiswHTG0YnHFJE*NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU...
08/06/2024

Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/DnVlrXiswHTG0YnHFJE

*NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?*

Uke mkavu; ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo upelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi.

Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo.
Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo.

*VISABABISHI VYA UKE MKAVU.*
-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics)
-Magonjwa ya zinaa na fangasi
-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke
-Upungufu wa homoni
-Uoga na wasiwasi

*DALILI ZA UKE MKAVU*
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kupungua hamu ya tendo la ndoa
-Kua na ngozi kavu
-Maumivu ya mifupa na viungo
-Msongo wa mawazo
-Mzunguko wa hedhi Kubadilika badilika
-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu.

*MATIBABU YA UKE MKAVU*
Kuna lishe ambazo zimetengenezwa kwa kuzingatia tiba lishe na Ni Bora Zaidi kwa afya Dr Teddy online

Hello
04/06/2024

Hello

โ‡๏ธ๐™๐ข๐ง๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ก๐จ๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐ข๐ง๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐€๐‘๐•*โ‡๏ธzinatibu kansa Grade I &II na zinaondoa athari za mionzi kwa mwenye...
29/05/2024

โ‡๏ธ๐™๐ข๐ง๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ก๐จ๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐ข๐ง๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐€๐‘๐•
*โ‡๏ธzinatibu kansa Grade I &II na zinaondoa athari za mionzi kwa mwenye saratani Grade III&IV* *โ‡๏ธZinatibu magonjwa ya moyo pamoja na pumu*
*โ‡๏ธZinatibu presha $ kisukari moja kwa moja na kuponya vidonda vya kisukari kwa haraka sana*
*โ‡๏ธzinaponya vidonda vya tumbo kwa haraka zaidi*
*โ‡๏ธzinaponya sickle cell na zinaongeza damu*
*โ‡๏ธZinatibu tatizo la Figo kufeli โ‡๏ธzinapandisha CD4 na kuimarisha afya kwa mwenye HIV*

*Tunapatikana Dar Arusha Dodoma Mwanza Mbeya Morogoro Kigomaโœ”๏ธ na mikoa mingine

21/05/2024

Imarisha afya yako ewe mwanamke wa kisasa kwa kutokomeza changamoto mbalimbali za mfumo wa uzazi k**a......
โ—PID NA UTI SUGU
โ—MIWASHO NA HARUFU MBAYA UKENI.
โ—FANGASI SUGU UKENI.
โ— VIMBE KWENYE KIZAZI.
โ— MVURUGIKO WA HOMONI.
โ— MIMBA KUHARIBIKA.
โ— KUKOSA UTEUTE WAKATI WA TENDO LA NDOA.
โ— UGUMBA N.K

Tumia bidhaa hizi kwa kutokomeza changamoto zote kwenye uzazi wa k**e.

Send a message to learn more

09/05/2024

PID ni ugonjwa hatari sana usiuchukulie poa ndugu yangu

Njia rahis ya kupona fangas,miwasho na UTI sugu ,wasiliana nasi kwa namba 0767531155 au watsap
08/05/2024

Njia rahis ya kupona fangas,miwasho na UTI sugu ,wasiliana nasi kwa namba 0767531155 au watsap

UFAHAMU UGONJWA WA P.I.D,**(Pelvic Inflammatory Disease)* ๐Ÿ‘‰P.I.D ni Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamkeMaambukizi y...
27/04/2024

UFAHAMU UGONJWA WA P.I.D,**(Pelvic Inflammatory Disease)*

๐Ÿ‘‰P.I.D ni Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke
Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke au ugonjwa wa PID (pelvic inflammatory disease) ni maambukizi ya bakteria kwenye shingo ya uzazi, mirija ya fallopio, ovari na tumbo la uzazi (uterasi).

NB:Bakteria inayosababisha PID ni aina ya bakteria inayoitwa Neisseria gonorrhoeae au Chlamydia trachomatis. Bakteria hizi zinaweza kusababisha maambukizi ya njia ya uzazi na kusababisha maambukizi ya mfumo wa uzazi yanayojulikana k**a pelvic inflammatory disease (PID).

*JE, NI KWA JINSI GANI MWANAMKE ANAWEZA KUPATA P.I.D?*

1. Ngono isiyo salama (kufanya tendo la ndoa kupitia tundu la haja kubwa)
2. Utoaji mimba(abortion)
3. Dawa za uzazi wa mpango au vizuizi mimba( mfano p2)
4. Maambukizi mara baada ya mama kujifungua
5. Kinga ya mwili kushuka hivyo kuruhusu wadudu wa P.I.D kukushambulia kiurahisi

*DALILI ZA P.I.D*
* Maumivu ya tumbo chini ya kitovu. Wakati mwingine upande wa kulia
* Kutokwa na uchafu ukeni, hasa wenye rangi ya njano unaoelekea kuwa kijani kwa mbali ukiwa na harufu mbaya.
* Kuhisi Maumivu ama hali ya kuungua wakati wa kukojoa
* Homa
* Kuhisi kichefuchefu ama kutapika
* Kuhisi Maumivu wakati wa tendo la ndoa ama kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa.
* Kuvurugika kwa hedhi
* Kupata hedhi katikati ya hedhi, yaani waweza kupata hedhi mara 2 ndani ya mwezi 1.
* Kuziba mirija ya uzazi au kujaa maji
* Mwili kuishiwa na nguvu
* Maumivu ya kiuno
* Miwasho sehemu za siri
* Uke kuwa mlaini sana na kulegea

*MADHARA YA P.I.D*
1. Ugumba
2. Kansa ya shingo ya kizazi kupelekea kutolewa kizazi
3. Mirija ya uzazi kuziba kufanya mayai Kushindwa kufunga Mimba
4. Michubuko eneo la kizazi
5. Saratani ya shingo ya kizazi.
6. Uvimbe kwenye kizazi.

๐ŸŽ„ *KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI 0767531155

TUWALINDE WAZEE WETU NA SARATANI YA TEZI DUME. Tumewasaidia watu wengi sana wenye tatizo la TEZI DUME na wengine mpaka w...
18/04/2024

TUWALINDE WAZEE WETU NA SARATANI YA TEZI DUME.

Tumewasaidia watu wengi sana wenye tatizo la TEZI DUME na wengine mpaka walikuwa na kansa kabisa ya Tezi Dume.

Dalili Zifuatazo ni Matokeo dhahili ya SARATANI YA TEZI DUME.

1. Kukojoa mar kwa mara hususani wakati wa usiku.

2. Kutomaliza MkojoYaani mkojo kutuisha katika kibofi cha mkojo.

3. Kupata maumivu wakati wa kukojoa

4. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

5. Uchovu/ kukosa usingizi

6. Maumivu ya mara kwa mara kionu,Nyonga, na kinena.

7. Kutoa damu wakati wa kukojoa Au kutoa Mbegu zenye damu damu wakati wa Tendo la Ndoa.

UONAPO DALILI HIZO WAHI MAPEMA KUPATA PROGRAM MAALUMU AMBAYO INAENDA KUANZA NA CHANZO CHA TATIZO.

Contact us
0767531155

22/11/2023
Tumia supergro kwa mafanikio Zaid kwenye kilimo
19/08/2023

Tumia supergro kwa mafanikio Zaid kwenye kilimo

Address

Kyela
Mbeya

Telephone

+255767531155

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya mtaji no 1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category