13/06/2023
UGUMBA KWA MWANAMKE NI NINI!?
Hi ni Hali ambayo humtokea mwanamke Kushindwa kubeba ujauzito baada ya kuvunja ungo kwa kukaa MDA mrefu hata anapokutana kimwili na mwanaume katika siku za hatari.
SABABU ZA UGUMBA.
Kuna sababu mbalimbali ambazo zinaweza kumfanya mwanamke asibebe mimba nazo n?
📌Kupata infection/Magonjwa mbali katika via vya Uzazi K**a P I D,Fungus sugu na U.T.I sugu na kuharibu mfumo mzima wa Uzazi.
📌Mayai kutokuiva inavyotakiwa kwaajili ya kurutubishwa na mbegu za kiume.
📌Mirija ya Uzazi Kuziba.
📌Kupata vimbe mbalimbali katika via vya Uzazi ikiwemo Uvimbe kwenye mfuko wa mayai lakini pia katika tumbo la Uzazi.
📌Mabadiliko ya hormone/Hormone Inbalance.
Kwa kuzungatia vipimo kwanza kwenye mfumo mzima wa uzazi kwa mwanamke kwa bei ya ofa tsh 20000 TU ,
Utapata virutubisho vinavyotibu chanzo Cha tatizo na kuurejsha mwili katika Hali ya mwanzo kwa kutoa sumu zote mwilini, kuzibua mirija iliyoziba, kuondoa Uvimbe bila upasuaji na kutibu infection zote na kubaki na Afya njema.
Unaweza kupiga au kutuma ujumbe Whatsapp https://wa.me/255755413872