
01/09/2025
๐ฅ๐ฅVIUNGO VYA MWILI NA ISHARA ZAKE๐ฅ๐ฅ
๐1. JICHO LA JUU LA KULIA KUCHEZA
Hili mara nyingi likicheza huwa tunapewa ishara kuwa mambo yetu au mipango yetu tunayoitegemea basi hakika itakamilika kwa muda mfupi tu yaani iko njiani kukamilika bila kikwazo chochote au kizuizi chochote kutokea. Hii ni kwa watu wote awe mwanamke au mwanamme basi alama hizi zinamuhusu.
Pia ikitokea kukwama kwa mipango yako hali ya kuwa alama hii imekutokea basi elewa kuwa mwili wako au nyota haipo sawa yaani imechafuka kiasi kwamba yale mazuri huwa hayakufiki. Hii hata kwenye utabiri wa nyota wa kila siku endapo yale mazuri yanayosemwa kwenye utabiri kisha hayakufikii basi shida itakuwa kwenye mwili au nyota yako haiko sawa hivyo unatakiwa ujiangalizie na kupata matibabu haraka sana.
๐2. JICHO LA JUU KUSHOTO KUCHEZA
Hili mara nyingi huwa linamaanisha kuwa mambo yako au mipango yako haitakamilika kwa wakati yaani vikwazo vya hapa na pale vitatokea japo utapata lakini ni kwa shida sana iwe pesa au biashara yoyote unayoitegema au jambo lolote unalolifuatilia.
Hii hutokea mara nyingi kwa watu wenye vifungo vifungo vya kisheitwani hususani majini wabaya kwenye miili yao (majini nyoka, lubamba, cheketu, mahepe) na yote ambayo mabaya basi ishara hii mara nyingi huwatokea watu wa sampuli hizo Mwenyewe Mungu awanusuru watu hawa. Na ukiona dalili hizi Kwenye jicho lako mara kwa mara ni ishara ya kuwa ufanyiwe tiba kwenye mwili wako haraka matatizo yakuishe bahati zako zikufike.
๐3. JICHO LA CHINI LA KULIA LIKICHEZA
Hili mara nyingi humaanisha kuwa mambo yako au mipango yako iko kwenye mstari mzuri wa kukamilika na itakamilika kwa wakati ila tu unahimizwa kuwa tayari kupokea mafanikio yako na muda si mrefu unafanikiwa na hakuna cha kukuzuia hata iweje Mungu ameshakupa tayari uliyokuwa unayataka kwenye maishani mwako hivyo ufurahie mafanikio yako yaliyo karibu kuyapata pia linakuhimiza kuwa matatizo yako yaliyokuwa yanakukabili kwa kipindi chote hicho muda wake umefika wa kupatiwa ufumbuzi juu ya shida hizo. Haya yote mtu huletewa na Mola wake K**a ishara ya utambuzi wa mambo yajayo Kwenye maisha yake na bahati zake kwa ujumla ambapo Mwenyezi Mungu subhana wat'alaa hupenda kuwapa elimu waja wake ili wanufaike katika vitu alivyoviumba kwajili yao.
๐4. JICHO LA CHINI KUSHOTO LIKICHEZA
Hili huwa limaanisha kuwa mambo yako au mipango yako uliyokuwa unaisubiria haitotimia kwa wakati na hata hivyo vikwazo vingi vitatokea vya kushindwa jambo hilo na hutolipata. Pia linaashiria kuwa kuna huzuni ambayo itakujia ndani ya muda mfupi kutoa furaha yako uliyokuwa nayo chamsingi ni kujipanga na kumuomba Mwenyezi Mungu akuepushie mbali na kila aina ya balaa lililopo mbele yako na akupe kheri zilizopo mbele zako hii ni dua au maombi ambayo mtu anatakiwa aifanye pindi atakapoona hilo jicho lake la chini kushoto likicheza kwani hii ishara ya hatari sana huenda hata msiba wa mtu unaempenda ukatokea au kupoteza kitu chako kizuri au kutiwa hatiani kwenye kesi yoyote itakayotokea ila tu Mwenyezi Mungu ukimuomba kwa imani moja basi kwa rehema zake huibadilisha shida hiyo na kwa uwezo wake haitokufika kwani yeye ni msaada mkubwa kwa viumbe vyake.
๐5. KIGANJA CHA MKONO WA KUSHOTO KUWASHA
Hiki mara nyingi ni kuashiria kuwa utaingiza pesa nyingi lakini haitokaa kwako itaenda k**a kupita na ikiingia unatakiwa ukae sehemu iliyojificha kisha umuombe Mwenyezi Mungu na kumlilia kuwa hichi ulichokipata kikae na kufanyia mambo muhimu kwenye maisha yako kisha uchukue kidogo kwajili ya sadaka. Ambapo ukifanya hivyo basi Mwenyezi Mungu atakulinda na kutoa pesa ovyo kwenye matumizi yasiyo ya lazima na atakuongezea kipato chako zaidi na zaidi.
๐6. KIGANJA CHA MKONO WA KULIA KUWASHA
Hiki huwa mara nyingi kinaashiria kuwa pesa itaingia kwako K**a uko vizuri kimwili na nyota yako pia na k**a unaona kuwa umewashwa halafu pesa haingii basi jua kuwa mitihani imekujaa mwilini na Mwenyezi Mungu ukimuomba kwa imani kisha ukampata tabibu aliyeinuliwa na Mwenyezi Mungu mambo yatakuwa mazuri kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu na pesa zitaingia kila kiganja chako cha mkono wa kulia kitakapowasha.
Hii pia hutokea kwa watu wengi hasa hasa wale ambao miili yao haina shida sana. Ukiona alama hizi huzipati usijione kuwa labda hujakamilika hii ni kwa baadhi ya watu tu wenye ishara hizi na sio wote. Haya yote mfanyaji ni Mwenyezi Mungu mwenyewe na sio kiumbe chochote kitakachoweza kuyafanya haya na ni moja ya dalili zake kuwa Mwenyezi Mungu ndie mfanyaji wa yote yanayotuzunguka ila wengi hawafahamu au hawataki kuamini juu ya uwezo wa Mwenyezi Mungu kwa kughafirika kwao kwa kumsahau mola wao.
๐7. KUJIKWAA KWA MGUU WA KULIA SAFARINI
Hii ni ishara ya kuwa uko unakokwenda mambo yatakuwa mazuri K**a unavyotarajia na utafanikiwa kwa unachokifuata kikubwa tu uzingatie na kumuomba Mungu wako akufanikishie unachokifuata.
๐8. KUJIKWAA MGUU WA KUSHOTO SAFARINI
Hii humaanisha kuwa unakokwenda mambo hayatatimia na ikiwezekana ahirisha safari k**a hauko mbali na nyumbani ila ikiwa umeshatoka basi usitegemee kufanikiwa uendako na chochote kibaya chaweza kutokea iwe njiani au hata uko uendako na ishara hii mara nyingi humtokea mtu akiwa bado hajafika Safari yake Mwenyezi Mungu anamjulisha mja wake kuwa uko anakokwenda hakufai na hatakiwi kwenda ikiwezekana ahirisha safari yako.
๐ฅ๐ฅMALI๐ฅ๐ฅ BILA๐ฅ๐ฅ KAFARA ๐ฅ๐ฅINAWEZEKANA๐ฅ๐ฅ
KWA WALE WALIO NA TATIZO AINA YOYOTE LIWE LA KIAFYA, KIPATO NA AINA YOYOTE ILE BASI USICHELEWE KUWASILIANA NASI.
Kwa wale wanao sumbuliwa na
๐ฅ MAPENZI.
๐ฅ KUMVUTA ALIE MBALI.
๐ฅ KUMFUNGA MUME/MKE ASIENDE NJE.
๐ฅ KUMUEKEA MPENZI TEGO, ENDAPO ATALALA NA MWENGINE BASI ANAKWAMA.
๐ฅ KUMRUDISHA ALIE KUACHA.
๐ฅ KUENUA BIASHARA/KUVUTA WATEJA.
๐ฅ KUSAFISHA NYOTA.
๐ฅ KUWA NA MVUTO IWE KWA MUME AU MKE.
๐ฅ CHEO KAZINI AMA MAHALA POPOTE PALE.
๐ฅ KUFUKUZA KESI.
๐ฅ KUPATA MALI KULINGANA NA NYOTA YAKO.
๐ฅ NGUVU ZA KIUME /K**E.
๐ฅ SHIDA ZA KUPATA MTOTO KWA MWANAMKE AU HATA MUME.
๐ฅ KUKINGA BOMA LAKO NA FAMILY YAKO NA WACHAWI.
๐ฅ KUNASA MWIZI/ KUTAKA KUJUA ALIE KUIBIA KITU AMA VITU VYAKO.
๐ฅ KWA WALA WANAO TAKA MVUTO KWA WANAUME AMA WANAWAKE.
๐ฅ KWA WALE WALIO DHULUMIWA.
๐ฅ KWA WALE WANAO TAKA KUFAULU MAHALA POPOTE PALE IWE SHULE AU VYUO VIKUU.
๐ฅ KUPATA UTAJIRI WA KIMAJINI.
๐ฅ WALIO NA SHIDA YA MIGUU KUWAKA MOTO.
๐ฅ KICHWA KUUMA BILA CHA MZINGI.
๐ฅ MGONGO KUWAKA MOTO NA KUPASUA.
๐ฅ KUTOA HARUFU SEHEMU ZA SIRI.
๐ฅ KUFURA MIGUU.
๐ฅ MAGONJWA SUGU.
๐ฅ PRESSURE.
๐ฅ MOTO KWENYE TUMBO.
๐ฅ KUWASHWA NA KUISI VITU VIKITEMBEA MWILINI.
๐ฅ KURUKWA NA AKILI YANI KUWA MWENDA WAZIMU.
๐ฅ KUISI MAWAZO MENGI HADI KUTAKA KUJITOA UHAI.
๐ฅ MWILI KUWA MZITO HADI KUTEMBEA MATATIZO.
๐ฅ KUTOA MAJINI LIWE MWILINI NA HATA KWENYE BOMA.
๐ฅ SHIDA YA KUPATA VIBALI NCHI YOYOTE AU MAHALA POPOTE, VIWE VYA SHAMBA, MALI, KAZI, AU URAIA WA NCHI.
MPIGIE DOKTA SIMBAYA ANAPATIKANA ILEJE MPAKANI MWA MALAWI NA TANZANIA KWA USAIDIZI KUPITIA NAMBA
0754870106
AU TUMA UJUMBE
WHATSAPP NAMBA +255754870106
+255754870106 call/sms/whatsapp 0754 870 106