Uzima Health Clinic

  • Home
  • Uzima Health Clinic

Uzima Health Clinic Uzima Health Clinic ni kituo Cha sayansi ya tiba mbadala na utafiti wa magonjwa sugu.

BAWASIRI: Ni ugonjwa wa mfumo wa chakula unao athiri njia ya haja kubwa. Ni uvimbe katika njia ya haja kubwa.Sababu zina...
12/11/2022

BAWASIRI: Ni ugonjwa wa mfumo wa chakula unao athiri njia ya haja kubwa. Ni uvimbe katika njia ya haja kubwa.

Sababu zinazopelekea Ugonjwa wa bawasiri:
•Kuharisha kwa muda mrefu
•Kutokufanya mazoezi mara kwa mara
•Kula chakula chenye kiwango cha chini cha nyuzi nyuzi (food with low fiber content)
•Vinasaba
•Umri mkubwa
•Kuketi kwa muda mrefu
•Ujauzito

Aina za Bawasiri:
1. Bawasiri ya ndani:- Hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huwa haiambatani na maumivu makali.
Kutokuwepo kwa maumivu makali hufanya wengi kutotambua k**a wako na bawasiri.
Bawasiri ya ndani imegawanyika katika vipengele vifuatavyo;
•Bawasiri ambayo haitoki mahala pake (stationary hermorroids)
•Bawasiri inayotoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kumaliza kujisaidia
•Bawasiri inayotoka na kushindwa kurudi wakati wa kujisaidia hadi irudishwe kwa mkono na mgonjwa mwenyewe
•Bawasiri inayotoka wakati wa kujisaidia na ni ngumu kuirudisha baada ya kujisaidia..
2.Bawasiri ya nje:- Hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu na muwasho ktk sehemu husika.

Dalili za Bawasiri:
•Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
•Uvimbe kuota sehemu ya haja kubwa
•Haja kubwa kujitokea yenyewe muda wowote
•Choo kuwa kigumu
•Kukosa choo kwa siku 3-4 na zaidi.
•Maumivu makali ya kiuno na mgongo
•Tumbo kujaa gesi mara kwa mara
•Kuona njaa muda mfupi baada ya kula
•Kukosa usingizi nk

Athari za Bawasiri:
*Kinyesi kutoka bila kujitambau
*Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
*Kupungukiwa nguvu za kiume
*Kupungua uwezo wa kufanyakazi kutokana na maumivu
*Mwili kudhoofika na kupauka
*Uchovu wa mara kwa mara
*Kupata tatizo la kisaikolojia..

Matibabu:
1.Matibabu ya Hospitali
Mgonjwa huweza pawe dawa au kufanyiwa upasuaji
2. Matibabu ya tiba Asili.
Tumia Dawa ya Corazon, ni Dawa ambayo imeonyesha uwezo mkubwa wa kutibu bawasiri ya ndani na nje kwa muda mfupi sana ( wiki chache)
Dozi: Siku 7
Bei: Tsh.25,000/=
Tupo Songea Mjini
Simu: 0762428187.

MOYO KUTANUKA NA TIBA YAKE.•Moyo unatanuka pale misuli yake inapofanyakazi kupita kiasi hadi inatanuka na kufanya chemba...
30/10/2022

MOYO KUTANUKA NA TIBA YAKE.
•Moyo unatanuka pale misuli yake inapofanyakazi kupita kiasi hadi inatanuka na kufanya chemba za moyo nazo kutanuka.
•Moyo uliotanuka hauwezi kusambaza damu vizuri kwenye maeneo mbalimbali ya mwili ukilinganisha na moyo mzima. Kitendo hiki kinamuweka mtu kwenye hatari ya kupata kiharusi na hata moyo kufeli. (Heart failure).

CHANZO CHA MOYO KUTANUKA:
1- Chanzo kikubwa cha moyo kutanuka ni moyo ku-pampu damu kwa nguvu na hatimae kutanuka
2-Kuziba kwa mishipa ya damu kutokana na mlundikano wa mafuta mabaya (cholesterol). Kuziba kwa mishipa ya damu kunapelekea misuli ya moyo itumie nguvu kubwa kusukuma damu na hatimae shinikizo la damu kupanda (High Blood Pressure)
Viashiria Vingine ni pamoja na;
3.Maambukizi ya virusi kwenye moyo
4.Ukuaji usio wa kawaida wa valve za moyo
5.Mimba,hususani wakati wa kujifungua
6.Magonjwa ya figo
7.Matumizi makubwa ya pombe na dawa za kulevya
8. Maambukizi ya virusi vya UKIMWI
9. Kurithi
10.Shambulizi la moyo; wakati wa shambulizi la moyo, sehemu kadhaa za moyo hazipati hewa ya kutosha ya Oksijeni na hivyo kuathiri misuli ya moyo
11. Mabadiliko ya mapigo ya moyo mara kwa mara na kupelekea damu kurudi kwenye moyo na kuathiri misuli ya moyo.
12. Upungufu wa damu

DALILI ZA MOYO KUTANUKA:-
1. Kushindwa kupumua vizuri
2.Mabadiliko ya mapigo ya moyo
3.Kuvimba miguu
4.Mwili kukosa nguvu na kizunguzungu
5.Maumivu ya kifua
6.Maumivu kwenye mgongo, mikono na shingo
7. Kupoteza fahamu
Ukipata dalili hizi hakikisha unaenda hospitali mapema kupata vipimo ili uanze tiba.

MADHARA YA MOYO KUTANUKA:
•Kuvimba miguu
•Miguu kufa ganzi
•Kupalalaizi/stroke
•Vidonda kwenye moyo
•Usipotibu na kuchukua tahadhari mapema husababisha kifo.

VIPIMO VYA KUGUNDUA MOYO ULIOTANUKA:-
Daktari ataanza kwa kuuliza maswali kadhaa kuhusu dalili unazopata, pia anaweza kupendekeza ufanyiwe X-ray ya moyo kuona k**a moyo umetanuka.
Vipimo Vingine vitafanyika kujua Chanzo cha moyo wako kutanuka.
Vipimo hivi ni k**a;
1. Echocadiogram (ECG)- Kipimo kinatumia mawimbi ya sauti kuangalia tatizo lolote kwenye chemba za moyo.
2.Electrocadiogram- Kipimo kinachofatilia umeme wa kwenye moyo ili kuona mabadiliko ya mapigo ya moyo
3.Kipimo cha damu- kuona k**a Kuna tatizo la homoni
4.CT-Scan; Kipimo kinatumia mionzi ya X-Rays kupata picha nyingi zaidi za moyo wako
5.MRI- Kipimo kinatumia nguvu ya sumaku kutoa picha za ndani ya moyo.

TIBA YA KISASA YA MOYO ULIOTANUKA:
Daktari atapendekeza tiba kulingana na Chanzo cha tatizo lako. K**a vile;
•Dawa za ku

VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS)Ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Hutokea baada ya Kuta za Tumbo au utumbo ...
14/10/2022

VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS)
Ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Hutokea baada ya Kuta za Tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda.[Hii hutokea baada ya kuharibika Kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula ziitwazo mucus].
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Vidonda Vya Tumbo kubwa (gastric ulcers)
2.Vidonda Vya utumbo mdogo (duodenal ulcers)
3. Oesophagal ulcers
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Bacteria (H.pylori)
2.Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu mara Kwa mara
3.Msongo wa mawazo
4.Kunywa pombe na vinywaji vikali
5.Kula vyakula vinavyozalisha asidi Kwa wingi
6.Uvutaji sigara
7.Kutokula mlo Kwa mpangilio
8.Kurithi
DALILI YA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Tumbo kuwaka moto sehemu ya juu
2.Njaa hususani nyakati za usiku
3.Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4.Kichefuchefu
5.Kutapika
6.Kuharisha
Kutoa choo cheusi
7.Kushikwa njaa ghafla na kuhisi kutetemeka
8.Tumbo kuuma unapotumia vyakula vyenye asidi k**a maharage, njugu, dagaa, ndizi nk

MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Kuvuja damu ndani Kwa ndani (internal bleeding)
2. Kansa ya utumbo
3. Kifo

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.
(a) Matibabu ya kisasa (hospitali )
Ziko dawa ambazo zinatuliza Kwa muda, wagonjwa Wachache sana hupona Vidonda Vya Tumbo Kwa dawa za kisasa.
(b) Matibabu ya tiba asili/ mbadala
Tumia dawa yetu ya ULCER CAFE, hii ni dawa ya Uhakika ya Kutibu Vidonda Vya Tumbo Kwa muda mfupi.
Dozi ni ndani ya siku 5-7 na unapona kabisa Vidonda Vya Tumbo.
Yawezekana umetumia dawa nyingi za asili, tiba lishe na dawa za kisasa lakini Bado hukufanikiwa kupona, Usikate tamaa, tunakushauri utumie dawa hii na Mungu atakusaidia utapona.
Tunazo shuhuda nyingi za watu waliopona Vidonda Vya Tumbo baada ya kutumia dawa ya ULCER CAFE.
Bei ya dozi ni Tsh. 70,000/=
Nusu dozi Tsh.35,000/=
Piga: 0762428187/0657953967

Brain Activator: Ni dawa ya asili yenye uwezo mkubwa wa kustimulizi mishipa ya akili katika ubongo na hivyo kusaidia:-1....
20/09/2022

Brain Activator: Ni dawa ya asili yenye uwezo mkubwa wa kustimulizi mishipa ya akili katika ubongo na hivyo kusaidia:-
1.Kuongeza uwezo wa kufikiri
2. Kuongeza uwezo wa kumbukumbu
3.Kuleta wepesi wa akili (sharp mind)
4.Kuleta utulivu wa akili.
Dawa hii ni msaada mkubwa Kwa walioko masomoni, yaani wanafunzi wa ngazi zote kuanzia msingi, sekondari na vyuo mbalimbali.
Dawa hii inafaa pia kutumiwa na wazee ambao kutokana na umri hupoteza uwezo wa kutunza kumbukumbu na kufikiri.
Dozi kamili ni chupa 3 zenye ujazo wa litre 1 kila moja na hutumika ndani ya siku 10 - 12.
Gharama ya dozi 1 ni tsh.50,000/=
Mikoani tunatuma.
Mobile: 0762428187

BRAIN ACTIVATOR: Ni dawa ya asili katika mfumo wa kimiminika Kwa ajili ya; 1. Kuongeza uwezo wa kumbukumbu2.Kuongeza uwe...
20/09/2022

BRAIN ACTIVATOR: Ni dawa ya asili katika mfumo wa kimiminika Kwa ajili ya; 1. Kuongeza uwezo wa kumbukumbu
2.Kuongeza uwezo wa kufikiri
3.Kuleta wepesi wa akili (sharp mind) na
3. Kuleta utulivu wa akili.
Dozi hutumika ndani ya siku 12.
Chupa 3@litre 1.
Dozi inagharimu Tsh.50,000/=
Mobile: 0762428187

Brain Activator ni dawa asili ya;1.Kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu (kuondoa kusahau sahau vitu vya muhimu2.Kuongeza...
19/09/2022

Brain Activator ni dawa asili ya;
1.Kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu (kuondoa kusahau sahau vitu vya muhimu
2.Kuongeza uwezo wa kufikiri na kuleta wepesi wa akili
3. Kuleta utulivu wa akili (stability of mind ) Kwa kuondoa msongo wa mawazo.

Address


Telephone

+255762428187

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uzima Health Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share