NDOA Takatifu

NDOA Takatifu we provide prayer

Kilombero Morogoro
26/06/2025

Kilombero Morogoro

25/06/2025
25/06/2025

Mwanamke aitwae Kagwa Mahigi (25) mkazi wa kijiji cha Lugubu kusini wilaya ya Igunga mkoani Tabora, anadaiwa amewaua watoto wake wanne kwa kuwanywesha sumu na kisha na yeye kujiua kwa kunywa sumu hiyo hiyo, kwa madai kuwa ni baada ya mume wake kumjengea mke mdogo nyumba ya Kisasa.

Inaelezwa kuwa kitendo cha mume wake kumjengea mke mdogo nyumba nzuri na ya kisasa kimemfanya kuona hapati huduma sawa na mke huyo, hali ambayo imepelekea uamuzi huo mgumu.

Jeshi la polisi mkoani humo limethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na limetaja majina ya watoto waliofariki kuwa ni Sengi James (08), Saimon James (06), Elisha James (03) na Kashinje James Miezi (07).

Je unapenda kujichora?
14/04/2025

Je unapenda kujichora?

14/04/2025

Huyo mwanamke anatoka mkoa gani?

14/04/2025

Mwanaume usipitwe na hilo

Address

Morogoro

Telephone

+255683371384

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NDOA Takatifu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to NDOA Takatifu:

Share