18/09/2021
Ntatoa somo kuhusu PID(pelvic inflammatory disease)..
*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE*
*(pelvic Inflammatory Disease)*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu*
*🟢Zifuatazo-:*
*✳️Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua*
✳️ *Pia sababu nyingine ni matumizi ya Condoms na kufanya ngono zembe* .
*🟢DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
🔟 *Homa, uchovu,kizunguzungu na* *kukosa hamu ya kula*
*🟢MADHARA YA PID*
1️⃣ *Ugumba*
2️⃣ *Kansa ya shingo ya kizazi*
3️⃣ *Mirija ya uzazi kuziba*
⚠️ *USIENDELEE KUTESEKA....TUNALO SULUHISHO*
wasiliana na mimi sasa
0629550883/0743433584