28/07/2025
Hello wapendwa wa Chanel hii ya MAIKI YA JOLEE project yetu niliowaahidi yakusaidia vijana hawa kutoka secondary ya hai day ambao pia wanakipaji champira lkn hawana uniform ,mpira umechakaa, wala viatu vyamichezo, tunaenda kuikamilisha jumahili. Vijana hawa walifika ofisini Mara nyingi kunitafuta lkn kutoka na namajukumu yngu kua mengi tulikua tunapishana hatuonana. Hatimae Jana walimtafuta mwandishi wahabari nakumuomba awaunganishe namimi direct nawalifanikiwa. Namshukuru Mungu wakati wa Mungu umetimia naona Lilikua niswala La muda tu Jana nilifika eneo Lao wanalochezaga mpira nikaiona hali halisi vijana kweli wanavipaji vikubwa lkn vifaa hawana nainawapelekea kukosa confidence hata wakienda game ktk mashindano na wenzao,basi Mimi nimewaahidi next week nitaenda kuwanunulia baadhi ya vitu ili watimize ndoto zao π
Lkn bado watoto hawa wanauhitaji mkubwa Sisi k**a wazazi tuwawezeshe katika kufikia ndoto zao kwamfano wanaendaga Mara Kwamara mikoani kucheza mpira hivyo ukijisikia kuungana namini ktk kuwasupport katika mfuko wetu wakuiinua jamii . Wanaitaji chakula wakienda kambini kila weekend, wa naitaji first aid lile sanduku lamatibabu, Wa naitaji pesa zausafri wakienda kwenye mashindano kwa iyo maiki ya jolee tutatimiza vichache kulingana na mfuko wetu bado ndoto lkn Karibu kwanamba hizo k**a ukiguswa kuwainua watoto hawa wasijekua street children wakati nguvu yabuku inaweza kuwavusha apo walipo ππ
0623816135
ya jolee
Moshi bomangombe