MAIKI YA JOLEE

MAIKI YA JOLEE kuwafikia jamii zote nakutatua changamoto zao kupitia maiki ya Jolee

255768666113 - WASTARA Juma ISSA Kwamtakaoitaji kumchangia.Nishawapostia muamala wa laki mbili na sabini ambao taasisi y...
19/05/2025

255768666113 - WASTARA Juma ISSA

Kwamtakaoitaji kumchangia.

Nishawapostia muamala wa laki mbili na sabini ambao taasisi yetu ya MAIKI YA JOLEE imechangia matibabu yake wastara. Je wew mdau wa page hii unasubiri nini kutoa msaada wako? Barikiwa.

Taasisi ya MAIKI YA JOLEE imechangia Tsh 270000 laki mbili na sabini kwaajili yakusupport matibabu ya msanii wastara Jum...
19/05/2025

Taasisi ya MAIKI YA JOLEE imechangia Tsh 270000 laki mbili na sabini kwaajili yakusupport matibabu ya msanii wastara Juma sajuki.

Tukipata kibali tutaweka namba yawastara hapa mumchangie.

Hakika Mungu ni mkuu nimeamka asubui hii na taarifa njema Naomba nitoe feedback wale watoto ambao walipata ufadhili waku...
30/04/2025

Hakika Mungu ni mkuu nimeamka asubui hii na taarifa njema
Naomba nitoe feedback wale watoto ambao walipata ufadhili wakusomeshwa shule ya Mroma secondary nayule mama Shirima, basi jana headmaster alinipigia simu kua wanadaiwa pesa ya chakula watoto. Lakini nilipompigia simu yule mfadhili aliesema atakua anawalipia gharama zote shuleni basi alitoa shilingi elfu sabini kwawatoto wale wawili rukia na kaka yake ezekieli

Hawa niwale watoto wawili waliopata udhamini wanaoishi maisha magumu kijijini kwa babu yao masama baada yakutelekezwa nawazazi wao. Ambapo mama alienda kuolewa namwanaume mwingine nakuacha watoto kwenye lijumba ligofu bila chakula wala nguo wala chochote tena porini kabisa. Babu yao akaenda kuwachukua lakini bado babu nae anaitaji msaada hana uwezo anaishi maisha ya kutisha mno jamani
Lakini pia mkumbuke pamoja na MAIKI YA JOLEE pamoja foundations kuhangaika kutafuta wafadhili ndio tulibahatika kupata mfadhili huyu kwawatoto 2 kati yawale wanne. Ivyo wamebaki wawili wapo kijijini bado hawajaenda shule

Tuendelee kumuombea mfadhili huyu aendelee kulipa maitaji yahawa watoto wawili naakamilishe ahadi yake yakuwasomesha mpk chuo kikuu. Amen πŸ™

Ukiitaji kuiona familia hii tupigie
0623816135

Naomba niwaletee feedback yawale watoto waliotelekezwa nababa yao namama yao ktk kijiji cha massama, wapo kwa babu yao a...
29/04/2025

Naomba niwaletee feedback yawale watoto waliotelekezwa nababa yao namama yao ktk kijiji cha massama, wapo kwa babu yao ambae nayeye maisha nimagumu mno. Mama alienda kuolewa na mwanaume mwingine, na baba yao nimlevi kupindukia. Kwaiyo sisi k**a jo foundation pamoja na MAIKI YA JOLEE tukawatafutia wadhamini atlist wapate elimu maana hawasomi wapo nyumbani tu umri huo . Hakika Mungu ni mkuu wamepata wafadhili ambaye nimama amewashukua watoto wawili kati yahao wanne natayari kawatafutia shule inaitwa school natayari washaanza masomo nauyo mama shirima ndio anawasomesha. Lakini bado hao watoto wawili tunawatafutia wafadhili. Ambapo babu nae sisi k**a joy foundation chini ya ya jolee tumechangia kuhakikisha mazingira yababu yanakua sawa kipato namaitaji yake kwajumla uku tukiendelea kutafuta wadhamini kwahao watoto wawili waliobaki apo

Ndugu Mtanzania ukiguswa waweza kuja ofisini tukupeleka masama ukawatembelee nakuona ninamna gani utawapa tabasamu kwani chakula pia nishida au unaweza wasaidia chochote hata nguo au chakula kupitia mfuko wetu
0769836681/0623816135

Basi Bwana namshukuru uyu mtu anaitwa Dada Eve  alinipigia simu akiitaji kutoa sadaka kwenye kituo chawatoto yatima. Nik...
29/04/2025

Basi Bwana namshukuru uyu mtu anaitwa Dada Eve alinipigia simu akiitaji kutoa sadaka kwenye kituo chawatoto yatima. Nikampa process yeye anaishi manyara nahakika leo mzigo umenifikia mpk moshi. Hakika watoto hawa watakufurahia. Ngojea wapo class sahizi wanasoma, wakitoka niitishe paredi niwapatie zawadi yao. Ubarikiwe dear wangu

Nakunawengine mnaniulizaga process zakuja kusherekea nao birthday. Dear love kituoni hatuna process yoyote as long as unakuja kurejesha tabasamu na watoto wangu, wewe karibu dear πŸ™

Mweee wenyewe wakisikiaga kuna mgeni kaja kuwatembelea au kawatumia zawadi yaani nivurugu hawamsikilizagi mwalimu πŸ˜Ήβœ‹na utulivu wanakosaga kapsaaaaaa, bora wale wakubwa kabisa hawana mihemko sanaaa sjui washakua ila hawa wadogo βœ‹in short leo ni leo aseee Eve mrembo asante πŸ™

Ukihitaji kutoa sadaka yoyote kwayatima hawa basi tupigie MAIKI YA JOLEE 0623816135/0769836681 tupo moshi

17/04/2025

Wapendwa kituo cha kondoa kimepata maafa makubwa. Kwa taarifa ambazo MAIKI YA JOLEE tumepata nikwamba wameunguliwa kilakitu yaani hakuna kilichobakia nahawajui hata watoto watalala wapi, au kula nini maana stoo yote imeungua nachakula chote kimeungua.sisi k**a maiki ya jolee tulipokea hizi taarifa juzi naleo tumeweza kuwafikia katika orodha yetu yakusambaza tabasamu nawao tumewasambazia tabasamu watoto hawa ambao wanasiku yasita hawajui hata pakulala. Nimajirani ndio wanawapelekea misaada ya chakula namagodoro napo bado watoto wengine wanalala chini

Sasa ingia iyo blog ya sauti yetu watakupatia wenyewe muongozo namna yakuwachangia. Mimi sinakibali icho πŸ™shiriki sadaka yako kwawatoto hawa ili ubarikiwe

Kupitia page yetu ya MAIKI YA JOLEE wadau wamejitokeza kupaza sauti nakumchangia mtoto wetu anifa aliekua akipata matiba...
14/04/2025

Kupitia page yetu ya MAIKI YA JOLEE wadau wamejitokeza kupaza sauti nakumchangia mtoto wetu anifa aliekua akipata matibabu kwanjia ya asili uko Kenya nahatimae kumuathiri ugonjwa wake , nakurejeshwa rasmi Tanzania kwamama ake ili kuanzia matibabu ya hospital rasmi . Zilikua zinaitajika milioni mbili nanusu lakini katika page yetu hii yakusaidia wasiojiweza zimepatika milioni Moja nalaki sita kwasiku Moja πŸ™ . Ambapo taasisi ya MAIKI ya Jolee nje yamichango hii wenyew k**a taasisi walishalipia pesa za drip , dawa nausafiri utakaotumiwa nafamilia hio kupeleka chakula asubui , mchana najioni hospital

Mtoto anaugua maradhi mengi lakini kubwa zaidi ana kansa yajicho πŸ™oparesheni ni alhamisi wapendwa . Naomba niwashukuru wadau walioamua kumchangia mtoto huyu matibabu πŸ‘‡

11/04/2025

Kituo kilichokua nauhitaji wakukarabati majengo orphanage institute walituoigia simu siso taasisi ya MAIKI YA JOLEE nakutueleza uhitaji wao juu ya jambo ilo nasisi tuliwaahidi kuwatumia kiasi Cha shilingi laki Moja k**a mchango wetu kutoka taasisi ya maiki ya Jolee naleo tumetimiza ahadi hio tushawatumia πŸ‘‡

Ukiitaji kuwasaidia kituo hiki ingia Vidmate au google andika Kilimanjaro orphanage utakuta details zao apo .sisi taasisi ya ya Jolee tumewasaidia watoto Hawa kurejesha tabasamu je wew unasubiria nini? Tuendelee kumsaidia yatima sababu mzazinwake niwew namimi
Muamala wetu huo apoπŸ‘‡chini kwenye comment section . Na clip hio apo chini ndio inayoonyesha kituo hichoo chauhitaji πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Kituo Cha Rukwa kilikua nauhitaji wabima za Afya . Sisi taasisi ya MAIKI YA JOLEE tumeshachangia tsh 50000 ili watoto ha...
11/04/2025

Kituo Cha Rukwa kilikua nauhitaji wabima za Afya . Sisi taasisi ya MAIKI YA JOLEE tumeshachangia tsh 50000 ili watoto hawa wapate bima . Je wew umeshiriki sadaka hii?

11/04/2025

kituo hichi tayari sisi taasisi ya MAIKI YA JOLEE tushachangia shilingi elfu hamsini tsh 50000 kwaajili yakuchangia bima zao za Afya . Je wew umeshiriki sadaka hii yakurejesha tabasamu kwa yatima hawa. Picha zamiamala zipo chini kwenye comment πŸ‘‡πŸ‘‡

27/03/2025

Karibu kurasa ya MAIKI YA JOLEE tujifunze kwa pamoja . Je kumsaidia yatima nilazima uwe napesa au hata fukara anauwezo wakusaidia yatima nakujizolea thawabu zake kwa Mungu . Ungana nami katika historia hii yauyu Binti ktk safari yk yakusaidia watoto yatima πŸ™namna alivyojichotea thawabu tokea akiwa mdogo shuleni njooni tujifunze namna yakuchota baraka Zetu kwa Mungu πŸ™πŸ‘‡πŸ‘‡

06/03/2025

Tabora, Rukwa ,kigoma ndio miji ilioenea vituo vyawatoto yatima vyenye jali ngumu mno jamani . Hawapati misaada kabisa embu watu wahii mikoa jitoleeni kwenda kuwakagua hawa watoto kuanzia mazingira wanayoishi chakula nakila kitu namtabarikiwa πŸ™

MAIKI YA JOLEE itazidi kulifatilia hili nakupaza sauti ili mambo yakae sawa katika vituo ambavyo havina huduma hata yamaji Wala umeme

Address

Moshi

Telephone

+255623816135

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MAIKI YA JOLEE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share