Luwis diomed

Luwis diomed Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Luwis diomed, Mwanza, .

Unyenyekevu ni darasa , inahitajika vitendo ili kufuzu. Be humble.Usifanye lolote kwa nia ya ushindani. Wahesabu wengine...
23/05/2025

Unyenyekevu ni darasa , inahitajika vitendo ili kufuzu.

Be humble.
Usifanye lolote kwa nia ya ushindani. Wahesabu wengine kuwa ni bora kuliko wewe.

12/05/2025
23/10/2024
CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA MIFUPA NA MAUNGIO , MIGUU KUFA GANZI/KUWAKA MOTO,* Mwili wa binadamu umeundwa na kushikiliwa na...
07/04/2024

CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA MIFUPA NA MAUNGIO , MIGUU KUFA GANZI/KUWAKA MOTO,*

Mwili wa binadamu umeundwa na kushikiliwa na mifupa,
Muunganiko wa mifupa kwa pamoja unaitwa KIUNZI,
Mfumo wa kiunzi cha mifupa cha wanyama KORDATA ni mifupa thabiti inayounganishwa na gegedu ,
Sehemu kuu ya kiunzi cha mifupa ni UTI WA MGONGO unaoshika mifupa yote kwa pamoja kuanzia fuvu la kichwa hadi kwenye mkutaniko wa mifupa ya chini FUPANYONGA,

maumivu ya mifupa hutokea pale gegedu linapoliwa na kusagika, uteute unaosaidia kutembea kwa urahisi unapozalishwa kwa uchache,
Ligaments zinaposhindwa kushikilia maungio k**a vile kukunja na kunyooka kwa goti,
Uroto (bonemarrow) unapopungua kwenye mifupa,

Maumivu ya mifupa hutokana na mambo mbalimbali k**a
1.Uzito mkubwa unaosababisha kulika kwa gegedu na hatimaye mifupa kuanza kusagana ,na mwisho punjepunje za msagiko huingia kwenye damu na kusababisha kuchomachoma kwenye sehemu mbalimbali za mwili hususani miguu,

2.maambukizi ya wadudu mbalimbali ambao hutafuna mifupa ,ligaments,gegedu,na kunyonya uteute (synovial fluid),
3. Umri , kadri umri unavyokuwa mkubwa gegedu linapungua ubora, ligaments inayoshikilia maungio inakaza, kuzalishwa kwa uteute kwenye maungio kunapungua,
Uroto unakuwa kidogo na uzalishwaji wa seli kwenye mifupa unapungua,

Wenye uzito mkubwa ni wahanga zaidi katika matatizo ya mifupa

Kufa ganzi ,kupalalaizi ni matokeo ya uharibifu wa UTI WA MGONGO ambao unatunza ndani yake neva za UGWE MGONGO zinazofikisha amri za ubongo mwilini mwote, uharibifu wowote husababisha sehemu fulani za kushindwa kupokea taarifa za ubongo ,

Damu kuchafuka au kufika kwa uchache husababisha ganzi,
Mifupa legelege ni ukosefu wa madini mhimu k**a kalsi na fosfati ,
Matatizo ya mifupa huwa hayaonekani haraka lakini hukomaa polepole na madhara yake ni makubwa yakiachwa kukomaa ,

SULUHISHO
Nimekuandalia package ya Virutubisho ambayo vitaenda kumaliza changamoto yako moja kwa moja bila tatizo kujirudia.

Kwenye hii combination hapa ofisini Tuna virutubisho vya makundi ma nne (Freedom, omega 3, calcium na arg+)

Umuhimu wa kutumia kila kirutubisho
1. Freedom
Hiki ni kirutubisho Bora sana ambacho kitaenda kufanya kazi zifuatazo
_Hurejesha Ute Ute(synovial fluid) na kusaidia cartilage tissue isilike na mifupa isigusana
_Husaidia mifupa isichakae
_Husaidia mifupa iliyovunjika kuunga vizuri na haraka
_husaidia kuimarisha mifupa

2. Omega-3
Hiki ni kirutubisho Bora ambacho kitaenda kusaidia-

_ Husaidia Kuondoa maumivu kwenye maungio na mwili mzima
_Husaidia kuondoa vimbe kwenye maungio (joints)

_Husaidia kuondoa kukak**aa kwa mishipa ya damu Kuna wengine wanapata hii shida sababu ya kukak**aa kwa mishipa ya damu

_Husaidia kuondoa mafuta mabaya (bad cholesterol) kwenye mishipa ya damu.

3 Calcium

Haya ni madini muhimu Sana ambayo yanatakiwa pia kwa mtu ambae anapitia changamoto ya joints kwa sababu madini ya calcium yanasaidia sana kuimarisha mifupa na kuwa imara zaidi kwasababu Kuna wengine wanapitia hii changamoto kwasababu mifupa Yao ni midhaifu

4. Arg plus
Hiki ni kirutubisho Cha mwisho ambacho ningependa kukushauri uweze kupata wewe unaye pata shida ya ganzi kwani kitaenda kufanya kazi zifuatazo _

_Itatanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya moyo pamoja na presha.

_itasaidia kwenye kujenga mifupa na misuri hasa hasa wale waonafanya mazoezi sana.
_ Husaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupitia umri wako

NB.k**a una uzito uliyopitiliza lazima unifahamishe tuanze na program ya kupunguza uzito ndipo ufate na program ya joints.

Karibu sana ujipatie package yako uweze kuondokana na kero unazopitia wapo watu wengi ambao wametumia hii program na imewasaidia naamini ata kwako ukipata hii program utatatua changamoto yako

Kwa maelezo zaidi piga simu au tuma sms yoyote kupitia namba

*Tunaendeleya na kipindi Cha afya*

Dawa hizi kuondoa kabisa tatizo la Bawasiri bila kufanyiwa upasuaji.. mwanaume ukijua una Bawasiri tibu mapema kwasababu...
04/04/2024

Dawa hizi kuondoa kabisa tatizo la Bawasiri bila kufanyiwa upasuaji.. mwanaume ukijua una Bawasiri tibu mapema kwasababu inapelekea kupunguza uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.... yaani unakuwa na upungufu wa nguvu za kiume...... Bawasiri ni hali ya kutokwa kinyama sehem za haja kubwa ( kwa ndani au kwa nje) 0759191274

Afya yako ni msingi wako wa maisha mazuri.
04/04/2024

Afya yako ni msingi wako wa maisha mazuri.

21/03/2024

𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢:

Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:

👉🏾Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
👉🏾Maambukizi sugu k**a PID
👉🏾Mvurugiko wa homoni
👉🏾Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
👉🏾Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
👉🏾Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
👉🏾Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
👉🏾Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
👉🏾Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
👉🏾Uzito kupita kiasi
👉🏾Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
👉🏾Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu

Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-

" *AFYA BORA KWAKO NDIO KITU MUHIMU KWETU, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA

UZAZI PACKAGES)* INATIBU NA KUTOKOMEZA MOLARS NA MAGONJWA YOTE YA UZAZI👈👇👇👇*👉Inatibu na kuyeyusha Vimbe kwenye mfumo wa ...
15/03/2024

UZAZI PACKAGES)* INATIBU NA KUTOKOMEZA MOLARS NA MAGONJWA YOTE YA UZAZI👈👇👇👇*

👉Inatibu na kuyeyusha Vimbe kwenye mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (Molar pregnancy)

*👉Inazibua mirija ya uzazi*
👉Hutibu na kuangamiza bacteria wa UTI sugu(E. COLL Bacteria) na hutibu na kutokomeza UTI sugu.
*👉Huondoa tatizo la ugumba sugu na Mimba kuharibika.*
*👉Inatibu PID sugu.*
👉Hutibu na kutokomeza tatizo la kutokwa uchafu wenye harufu ukeni.
*👉 Inatibu na kutokomeza tatizo la Mimba kuharibika.*
👉 Inatibu na kutokomeza tatizo la kutokushika ujauzito (Ugumba)
*👉 Inarudisha mzunguko wa hedhi uliopotea.*
👉 Inatibu tatizo la Damu kutoka nyingi na yenye mabongemabonge ya Damu.
*👉Inapunguza Maumivu makali ya mgongo, kiuno, nyonga na tumbo chini ya kitovu, wakati wa Hedhi.*
👉HUTIBU na kutokomeza tatizo la ukavu ukeni. Huondoa tatizo la maumivu wakati wa tendo la NDOA.
*👉Hutibu na kutokomeza madhara sugu yatokanayo na matumizi ya Dawa(ZENYE madhara makubwa) za mpango wa uzazi.*
👉Huondoa tatizo la Homoni imbalance na CHANGO LA uzazi.
*👉Huyeyusha na kuondoa uvimbe kwenye kizazi(fibroids au ovarian cyst) ikitumika na Pure and broken capsules.*
*👉Hutibu na kutokomeza MADHARA yatokanayo kutoa Mimba kwa chemikali kali.*
👉Inaondoa na kutokomeza Miwasho ukeni.
*👉Inakomaza mayai yasiyopevuka na huondoa ugumba.*
*👉Inasafisha na kuzibua mirija ya uzazi.*
👉Inafanya MWANAMKE awe na uteute mzuri wakati wa S*X na kumfanya afurahie tendo(apate burudiko KUBWA).
*👉Inakulinda usipate na Fangasi sugu.*
👉Inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
*👉Inaongeza joto la uke.*
👉HUTIBU na kutokomeza magonjwa ya NGONO.
*👉Inabana kuta za uke zilizo legea na kurudisha uke kua mdogo na wenye kubana.*
👉Inafanya MWANAMKE apate hamu ya tendo la ndoa
*👉HUTIBU MADHARA yatokanayo na MIONZI ya chemotherapy pamoja na Radiotherapy.*

Tunapatikana karibia kila mkoa hapa Tanzania Arusha Dar es salaam, Mwanza , Dodoma, Mbeya Morogoro nk.

*Haya yote ninayofundisha yanaweza kupatiwa dawa au tiba endapo utawahi kupata tiba kabla hayajawa sugu unaweza kuwasiliana nami kwa njia ya whatsaap/call au wasiliana nasi moja kwa moja 👏👏👏*
*Tunajari na kuthamini Afya yako 🍃*

Boresha ufumo wako wa uzazi ee wanaume, lazima tutuze heshima yetu ya ndoa.0759191274by john Louis
15/03/2024

Boresha ufumo wako wa uzazi ee wanaume, lazima tutuze heshima yetu ya ndoa.0759191274by john Louis

Address

Mwanza

Telephone

+255759191274

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Luwis diomed posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Luwis diomed:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram