OnesmoAfya care

OnesmoAfya care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from OnesmoAfya care, Medical and health, mwanza, Mwanza.

Naitwa Onesmo nimmoja was washauri katika kampuni ya BFSUMA.Tunashauri maswala ya Afya kwa ujumla.Tunafundisha jinsi Mtanzania anavyo weza kujikomboa kiuchumi kupitia changamoto za Afya,call//WhatsApp 0785759296

*Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke ni nini?*Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke au ugonjwa wa PID (pelvic in...
18/09/2022

*Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke ni nini?*

Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke au ugonjwa wa PID (pelvic inflammatory disease) ni maambukizi ya bakteria kwenye shingo ya uzazi, mirija ya fallopio, ovari na tumbo la uzazi (uterasi).

Sababu kuu ya ugonjwa huu kutokea ni maambukizi yanayosambazwa kwa kujamiiana (STI). Ugonjwa huu unaweza kuwaathiri wanawake wenye umri wowote, lakini wale wenye umri kati ya maika 15 na 24 huathirika zaidi.

Utambuzi na matibabu ya mapema ni muhimu katika kuzuia madhara ya kupata makovu na utasa.

Vihatarishi vya ugonjwa wa PID
Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke ni semi ya kitabibu inayoelezea maambukizi ya shingo ya uzazi, tumbo la uzazi na mirija ya fallopio. Kwa kawaida maambukizi haya husababishwa na bakteria.

Ingawa mara nyingi ni maamkubizi yanayosambazwa kwa njia ya kujamiiana (STI), k**a vile klamidia au kisonono, wakati mwingine maambukizi haya huweza kusababishwa na bakteria wengine. PID inaweza kuwaathiri wanawake wenye umri wowote,

Dalili za PID huweza kujumuisha:
Maumivu kwenye nyonga na tumbo
Maumivu wakati wa kujamiiana
Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi
Kutokwa na majimaji yasiyo ya kawaida ukeni
Baadhi ya watu huweza kupata homa, kichefuchefu, kutapika au maumivu wakati wa kujisaidia.

Utambuzi.
Utambuzi mara nyingi huweza kufanywa kulingana na dalili na uchunguzi wa sehemu za siri. Wakati wa uchunguzi, sampuli za majimaji au usaha huchukuliwa ili kutambua bakteria anayesababisha maambukizi.

Matibabu (PID treatment)
Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke hutibika na hutofautiana kulingana na ukali wa maambukizi.
kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kupiyia namba +255 785 759 296

11/07/2022
Call//WhatsApp 0785759296
08/03/2022

Call//WhatsApp 0785759296

Karibu tuondoe changamoto ya ngozi 0785759296
08/03/2022

Karibu tuondoe changamoto ya ngozi 0785759296

24/02/2022

Address

Mwanza
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OnesmoAfya care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to OnesmoAfya care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram