Jakaya Afya Care

Jakaya Afya Care JAKAYA Afya care
Tunatoa suluhisho ya changamoto zote za afya. Karibu Tukuhudumie:
+255629038096
+255781060006..🩺💊

OFA OFA Na JAKAYA AFYA care.🩸PID inatibika na  afya careKalumbilo Afya care  kwa mara nyingine inatoa OFA kwa wanawake w...
13/08/2023

OFA OFA Na JAKAYA AFYA care.
🩸PID inatibika na afya care
Kalumbilo Afya care kwa mara nyingine inatoa OFA kwa wanawake watakao pata TIBA ya kuduma ya PID pamoja na ushauri kwa maswala yote ya uzazi wa wanawake kwa punguzo la 50%
🩸P.I.D ni ugonjwa unaoambukizwa na bacteria ambapo kirefu chake ni pelvic inflammatory desease (Maambukizi ya bakteria katika via vya uzazi wa mwanamke)

🩸DALILI ZA P.I.D
1.kutokwa na uchafu k**a maziwa
2.uke kua mkavu
3.kukosa hamu ya tendo la ndoa
4.harufu
5.kupata maumivu chini ya kitovu,upande wa kulia na kushoto wa tumbo
6.kupata maumivu ya kiuno na mgongo
7.kua na hedhi isiyonampangilio maalumu
8.miwasho
9.dalili za mimba
10.hormone imbalance
11.maumiv wakati wa tendo na kutokwa na damu

🩸CHANZO CHA PID
1.kutumia vidonge vya P2
2.Njia za uzazi wa mpango
3.mapenzi na wanaume wengi au mwanaume mwenye wanawake wengi anaweza kuambukiza huu ugonjwa kwasabab wao wanasambaza bacteria (Ngono zembe)
4.kutumia vyoo vya kushea (vyoo vya kuchangia na watu wengi)
5.vidonge vya majira
6.kuvaa pedi kwa muda mrefu
7.kunawa kwa kutumia vitu vyenye kemikali mfano.. sabuni au kufanya mapenzi na kutumia vilainishi hususani mate
8.kutoa mimba
9.kujifungua bila kusafishwa vizuri

🩸MADHARA YA P.I.D
1.kansa ya kizazi
2.kuziba mirija ya kizazi (changamoto ya kutoshika mimba)
3.kupata uvimbe
4.kansa ya uke na saratani ya shingo ya kizazi
5.kukosa ute ute ukeni wa ovulation au uke kua mkavu
6.kutokushika mimba au kushika mimba na mimba kuharibika
7:hormone imbalance(mvurugiko wa homoni)

Suluhisho ya changamoto hii ya P.I.D ipo kwetu na inatibika kikamilifu
Karibu tukuhudumie.🙏🙏
Number za ofisi ni:
📍0629038096..0781060006

🩸Tunapatikana Mwanza na Dar es salaam na pia kwa mikoa yote tunamawakala.

🩸Zingatia kua huduma zote zinatolewa kwa kupiga simu au kwa kupigiwa simu kutoka kwenye namba zetu za ofisi za watoa huduma wetu ni lazima uongee nao wajue tatizo lako na sio kwa kuchati!

🩸JAKAYA Afya care TUNAIJALI na KUILINDA AFYA YAKO😇🙏

Karibu JAKAYA AFYA careTunatoa Tiba na suluhisho ya changamoto za uzazi kwa mwanamke.Karibu Tukuhudumie:-0629038096-0781...
12/08/2023

Karibu JAKAYA AFYA care

Tunatoa Tiba na suluhisho ya changamoto za uzazi kwa mwanamke.
Karibu Tukuhudumie:
-0629038096
-0781060006

TUNAIJALI na KUILINDA AFYA YAKO na kalumbilo afya care..🙏

01/08/2023

OFA OFA OFA Kwako wewe mtanzania mwenye changamoto ya afya ya uzazi:
(PID,UTI SUGU, FUNGUS SUGU,UVIMBE,SARATANI,KUTOPATA UJAUZITO)

Elewa kwa ufupi nini maana ya P.I.D
P.I.D PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (P.I.D).
💧Ni Maambukkizi ya bakteria kwenye via vya uzazi (P.I.D) imekuwa maarufu sana katika jamii yetu miongoni mwa wanawake wengi huambukizwa PID.
Vimelea aina ya Neisseria Gonorhoere Chlamydia Trachomatis ndivyo vinavyo ongoza kusababisha PID kwa kinamama.

💧MWANAMKE ANAAMBUKIZWA vipi P.I.D
Kuna njia kadhaa ambazo hupelekea mwanamke kupata maambukizi ya P.I.D÷
📌Kutoa mimba (Abortion)
📌Maambukizo katika njia za uzazi Mara baada ya kujifungua
📌Matumizi ya njia za uzazi wa mpango k**a vidonge,kitanzi,sindano n.k
📌Kukaa na infection k**a U.T I na FUNGUS sugu kwa mda mrefu bila kutibiwa
📌Kuvaa Pedi kwa muda mrefu bila kubadilisha unapoingia Period(hedhi)
📌Kutumia PUBLIC TOILET(Vyoo vya kushea)

💧DALILI ZA P.I.D÷
Moja ya dalili za PID kwa mwanamke ni

🌷Kutokwa na uchafu mweupe k**a mziwa mtindi sehemu za siri sometimes inaweza kuwa rangi ya kijani,kahawia,brown hata njano.
🌷 Maumivu chini ya kitovu,upande wa kulia au kushoto wa tumbo,nyonga,kiuno na mgongo
🌷 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌷 Kukosa hamu ya tendo la ndoa

MADHARA YA KUKAA NA PID÷
📌 Husababisha Kizazi kulegea
📌 Husababisha UVIMBE kwenye mayai(polycystic ovarian syndrome na ovarian cysts)
📌 Mvurugiko wa homoni(Hormones imbalance)
📌 Husababisha Kizazi kujaa maji maji sometime unakuta chupi imelowa
📌 Husababisha saratani ya shingo ya Kizazi
📌 Husababisha mimba kuporomoka kabla ya mda (miscarriage)
📌Husababisha UGUMBA (infertility) kuziba Kwa mirija ya uzazi

💧Ni Fact mwanamke mwenye PID hulalamika kutokunasa ujauzito kwa haraka hi ni Kwasababu PID huathiri kizazi na Utafiti unaonyesha Katika wanawake 8 wenye PID Mmoja anakuwa MGUMBA sikutishi Ila nimekupa Fact
💧Tuwasliane kwa Tiba na USHAURI kupitia number za ofisi:
-0629038096
-0781060006
JAKAYA AFYA care TUNAIJALI Na Kuilinda afya yako.😇🙏🙏

Address

Kalumbiloafyacare@gmail. Com
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jakaya Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share