
08/03/2025
ATHARI ZA PID SUGU KWA MWANAMKE
PID sugu isipotibiwa mapema, huweza kusababisha madhara makubwa katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Baadhi ya athari zake ni:
✅ Ugumba – PID sugu inaweza kusababisha kuziba kwa mirija ya uzazi na kuzuia yai kukutana na mbegu.
✅ Mimba Kuharibika Mara kwa Mara – Maambukizi yanapokuwa sugu, yanaweza kuathiri kizazi na kusababisha mimba kuharibika.
✅ Maumivu Makali ya Tumbo na Mgongo – Hali hii husababishwa na uvimbe au makovu kwenye mirija ya uzazi.
✅ Kutokwa na Uchafu Wenye Harufu Mbaya – Dalili hii inaweza kuwa sugu na kuathiri maisha ya kila siku ya mwanamke.
⸻
SULUHISHO
Katika Afya Center, tumetengeneza programu maalum ya tiba asili inayosaidia:
🌿 Kuondoa maambukizi sugu
🌿 Kusafisha kizazi na mirija ya uzazi
🌿 Kurekebisha homoni ili kuboresha mfumo wa uzazi
🌿 Kuondoa uchafu wenye harufu mbaya
Usikubali tatizo hili likuharibie afya ya uzazi!
👉 Tafuta msaada sasa!
📞 Piga Simu/WhatsApp: [+255 688 189 910]
💚 Au DM kwa ushauri zaidi!