01/01/2022
NAMNA RAHISI YA KUJIKINGA NA BAWASIRI(Hemorrhoids)
Bawasiri ni vinyama vinavyojitokeza kwenye njia ya haja kubwa baada ya mishipa ya damu inayosambaza kwenye eneo hilo kulegea kutokana na sababu mbalimbali
NJIA ZA KUJIKINGA NA BAWASIRI.
1.Kuepuka kufanya kazi nzito kwa muda mrefu mfano kunyanyua mizigo ya magunia, cement
2.Kuepuka uzito wa mwili uliopitiliza
3.Kunywa maji ya kutosha
4.Kula mlo kamili ukihusisha matunda k**a papai, ndizi ili kusaidia katika mmen'genyo wa chakula na kupata choo laini
5.Kuacha kushiriki ngono kinyume na maumbile
6.Kuepuka kukaa kwa muda mrefu sana
7.Pia kikohozi cha muda mrefu bila matibabu kinaweza kupelekea kupata bawasiri
Authored by Dr Bugota
Afya Yako ndio msingi wa maisha yako
#0759424664 #