DR SIMBA

DR SIMBA We help solve all reproductive challenges for both genders and provide free advice

06/02/2023
KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA (i)AKINA MAMA TUNA TIBA KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'๐Ÿ“ŒMvurugiko wa h...
06/02/2023

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA (i)AKINA MAMA

TUNA TIBA KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'
๐Ÿ“ŒMvurugiko wa homoni
๐Ÿ“ŒHedhi isiyo na mpangilio
๐Ÿ“ŒUke mkavu
๐Ÿ“ŒMirija kuziba/kujaa maji
๐Ÿ“ŒHedhi isiyoisha
๐Ÿ“ŒUvimbe kwenye kizazi
๐Ÿ“ŒKutoshika ujauzito/ugumba
๐Ÿ“ŒKukosa hedhi kipindi kirefu
๐Ÿ“ŒWale wote waliothiriwa na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
๐Ÿ“ŒMimba kuharibika
๐Ÿ“ŒKupata hedhi yenye mabongemabonge
๐Ÿ“ŒMaumivu wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ“ŒUke kutoa maji/harufu mbaya
๐Ÿ“ŒP.I.D
๐Ÿ“ŒKukosa hamu ya tendo la ndoa
๐Ÿ“ŒUchafu katika mfumo mzima wa uzazi
๐Ÿ“ŒFangasi za ukeni
๐Ÿ“ŒMasundosundo/Vigwaru
๐Ÿ“ŒU.T.I sugu n.K Hizi sababu ambazo zinafanya usishike Mimba
๐—ง๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ถ๐—ฒ 0717782727 ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ด๐˜‚๐˜€๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐—ต๐—ถ๐—ถ
https://wa.me/message/IOITVFWLOK4JJ1

SABABU 10 ZA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKEHaya ni Maumivu yanayompata mtu sehemu ya  chini ya t...
04/02/2023

SABABU 10 ZA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE

Haya ni Maumivu yanayompata mtu sehemu ya chini ya tumbo na nyonga. Kwa wanawake maumivu haya yanaweza kuwa dalili ya matatizo (maradhi) kwenye:

โžก๏ธmfumo wa uzazi,
โžก๏ธmfumo wa haja ndogo,
โžก๏ธmfumo wa chakula au
โžก๏ธmifupa ya nyonga.

โœ๐Ÿป Maumivu yanaweza kuwa ya kawaida au makali, ya kudumu ama ya wakati, yaani yanakuja na kupotea kulingana na chanzo cha Maumivu hayo.

โœ Wakati mwingine Maumivu yanaweza kusambaa kwenye mgongo wa chini wa kwenye miguu au mapaja. Lakini wakati mwingine yanaweza kuja tu pale unakuwa unakojoa au kushiriki tendo la ndoa.

SABABU ZAKE

โœ Maumivu haya yanaweza kusababishwa na tatizo moja au zaidi hasa kwa yale humsumbua mtu kwa muda mrefu. Matatizo haya huwa k**a ifuatavyo;

1๏ธโƒฃMatatizo kwenye mfumo wa uzazi
2๏ธโƒฃVivimbe kwenye kuta za tumbo la uzazi
3๏ธโƒฃHali ya tishu zinazoota ndani ya ukuta wa uzazi (endometriosis) au kuota nje ya ukuta wa mji wa uzazi.
4๏ธโƒฃMaumivu wakati wa hedhi ambayo hutokana na vivimbe katika kuta za tumbo la uzazi
5๏ธโƒฃMimba kutunga nje kizazi (ectopic pregnancy)
6๏ธโƒฃMaumivu yanayotokea upande mmoja chini ya kitovu katikati ya mzunguko wa hedhi yaani siku ya 14
7๏ธโƒฃSaratani kwenye mifuko ya mayi
8๏ธโƒฃMaambukizi kwenye mfumo wa uzazi ambayo hutokana na bakteria wanaosababisha kisonono, na klamidia.
โœ๐ŸปWatu wengi wamekuwa wakipatwa na magonjwa haya pale wanapojaribu kupata ujauzito bila mafanikio (ugumba) au wanaposumbuliwa kwa muda mrefu na Maumivu ya kiuno na nyonga.

9๏ธโƒฃVivimbe kwenye kuta za kizazi (uterine fibroids) ambavyo hutokana na mvurugiko wa homoni ama kurithi kwa vinasaba.
๐Ÿ”ŸMaumivu kwenye via vya uzazi ambayo husababisha kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu ama kushindwa kukaa kwa muda mrefu.

SABABU ZA MAUMIVU YA MGONGO

โžก๏ธMaambukizi katika pingili za uti wa mgongo: Maambukizi katika pingili za uti wa mgongo k**a vile maambukizi ya saratani ya mifupa huweza kuleta maumivu makali ya mgongo.

โžก๏ธKuvunjika kwa pingili za uti wa mgongo

*TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA TIBA YAKE*FIBROID NI NINI?Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega...
03/02/2023

*TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA TIBA YAKE*

FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

Kuna aina kuuzifuatazo za fibroids:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)

Watu wafuatao wako hatarini ya kupata ugonjwa huu fibroids

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi 4.unene 5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

Dalili za fibroids

1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lkn mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedthi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi
Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.

1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:

1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yan ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

TIBA YAKE

Tunazo dawa nzuri za lishe madhara kabisa, k**a una tatizo hili wasiliana nasi.

๐—ฆ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ผ ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐—ณ๐˜‚๐—ฟ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฎ.
01/01/2023

๐—ฆ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ผ ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐—ณ๐˜‚๐—ฟ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฎ.

Address

MWANZA MISUNGWI
Mwanza

Telephone

+255717782727

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DR SIMBA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share