13/06/2022
FAIDA ZA KITUNGUU SAUMU MWILINI
Vitunguu saumu ni viungo ambavyo vinatumika sana jikoni katika mapishi kwa karne nyingi. Mimea hii ina faida nyingi za kimatibabu kwa sababu ya asili yake ya antibacterial na antiseptic. Faida yake hasa vitunguu saumu ni kwa sababu ya kuwa na, Allicin. Imesheheni madini k**a fosforasi, zinki, potasiamu, na magnesiamu. Vitamini C, K, Folate, niacin na thiamine pia hupatikana kwa wingi kwenye vitunguu saumu. Zifauatazo ni faida za vitunguu saumu kwa mujibu wa sayansi ya tiba: Maelezo zaidi BOFYA hapa katika link hii: https://www.zephanialifeherbalclinic.com/faida-za-kitunguu-saumu-mwilini-209320.html
Vitunguu saumu ni viungo ambavyo vinatumika sana jikoni katika mapishi kwa karne nyingi. Mimea hii ina faida nyingi za kimatibabu kwa sababu ya asili yake ya antibacterial na antiseptic. Faida yake...