07/06/2024
KLINIKI YA MUNGU
UTANGULIZI
Karibu ndugu.
Ukurasa huu ni maalumu kwa watu wote wanaosumbuliwa na magonjwa sugu, ya muda mrefu bila suluhu.
Pia watu wote ambao wanahangaika na ukosefu wa ajira, kazi na ujasiriamali bila suluhu.
KWA NINI KLINIKI YA MUNGU?
Nikwa sababu mipango ya kliniki za wanadamu haina suluhu ya kudumu. Watu wamejawa na mihaho ya kula vidonge na kubadili mahospitali na makanisa kila leo.
Hapa tutaleta kanuni asilia za Mungu za kudhibiti magonjwa na kuzalisha mali ili kila anayezitumia kwa imani akombolewe kiafya na kiuchumi.
MPANGO NA KUSUDI LA UUMBAJI.
Kila alichoumba Mungu ni chema, hiyo ni pamoja na mimi na wewe (Mwanzo 1:31).
Sikiliza rafiki, Mungu hakuumba ugonjwa wowote wala chembe ya uvivu na umasikini hata kidogo.
Uvivu na magonjwa ni projects za shetani zinazolenga kukwamisha mpango wa MUNGU ambao ni kutawala rasilimali za duniani (dominion)
Kuishi bila kufanya kazi ni kumhujumu Mungu na kumnemesha ibirisi. Kumbuka andiko la asiyefanya kazi na asile.
Mungu anatuambia na kutuonya kuwa Miili yetu ni hekalu lake na tusiliharibu.
Ukiharibu mwili Mungu atakuharibu vibaya mno, utateseka sana (1 Wakorintho 3: 16 - 17).
Tunza mwili wako, ili Mungu aishi kwenye kiyoyozi, atakupa miaka mingi, ideas, nguvu za kufanya kazi na mali nyingi.
👆Matajiri wakubwa duniani wanaijua siri hii.
Siku zote utambue kuwa kusudi la kuumbwa mwili ni kuwa makao ya Mungu ili autumie kutawala rasilimali za duniani (Mwanzo 1: 26).
Endelea kubarikiwa na mafundisho yetu ya jinsi ya kudhibiti magonjwa ili uendelee kutumia mtaji wa afya ya mwili wako kutengeneza ajira, kazi na kukuza uchumi wako zaidi na zaidi, umfurahishe Mungu.
Bonyeza Link 👇 follow
https://www.instagram.com/kliniki_ya_mungu?igsh=MTRqcWZ6dWw2dnJzdg==
"STAY HEALTHY, BE PRODUCTIVE"
Piga: 0744724693
WhatsApp: 0744725560
Dr Fidel Bayagiki.