afya herbal

afya herbal Afya herbal Tunatoa Huduma ya afya kwa kitumia miti shamba. Tupo Misungwi Mwanza

FARASI HESHIMA YA NDOA.NI MCHANGANYIKO WA MIMEA TIBA NA ASALI KUTOKA DUBAINi dawa ya asili ambayo imetengenzwa kupitia a...
10/12/2024

FARASI HESHIMA YA NDOA.

NI MCHANGANYIKO WA MIMEA TIBA NA ASALI KUTOKA DUBAI

Ni dawa ya asili ambayo imetengenzwa kupitia asali na miti shamba na ni dawa isiyo Na Madhara, Ambapo Imeidhinishwa Na Wizara Ya Chakula, Kilimo Na Mifugo Ya Malaysia .

Black horse Ni 100%Dawa Asili Isiyo Na Kemikali Zenye Kuleta Madhara Mwilini Kwa Mtumiaji.

Inatoa Matokeo Ya Haraka Sawa Na Madawa Ya Kemikali Bila Kuleta Madhara Kwa Mtumiaji.

NINI UTAKACHOKIPATA:

1. Huongeza Hamu Ya Tendo La Ndoa.
2. Huondo Msongo Wa Mawazo Na Mfadhaiko.
3. Humfanya Mwanaume Kuwa Na Furaha Kitandani.
4 Humfanya Mwanaume Ajisikie K**a Mfalme wa Msituni.
5.Inaongeza Msisimko Wa Kimapenzi
6. Humfanya Mtumiaji kufika Kileleni/ Or***ms Yenye Nguvu Zaidi.
7.Inasaidia Kujenga Kujiamini Kitandani.

Faida kwa Wanaume:
1.Inasaidia Kuleta Nguvu Za Kiume.
2.Inaongeza Idadi Ya Manii(Shahawa)
3.Inatibu Kumwaga Mapema Na Kuchelewesha Kumwaga.
4. Kuchochea Na Kuongeza Nguvu Wakati Wa Tendo.
5. Kuongeza Muda Wa Uume Kusimama Imara Kwa Muda Mrefu Wakati Wa Tendo
6. Inasaidia Kuongeza Idadi Ya Round Za Tendo La Ndoa.

JINSI YA KUITUMIA Kila Baada Ya mwezi mzima

MATOKEO:

Mshangao Huu Ni Kwa Ajili Yako Na Mpenzi Wako Mtafurahia Mapenzi Kuliko Muda Wote Mliowahi Kuwa Pamoja Kabla Hamjatumia Hii Kitu.
pc 1
Bei.....40,000
Tupo Mwanza Misungwi
0747447769

HESHIMA YA NDOA.NI MCHANGANYIKO WA MIMEA TIBA ASALI KUTOKA HAPA MISUNGWI.Ni dawa ya asili ambayo imetengenzwa kupitia mi...
09/12/2024

HESHIMA YA NDOA.

NI MCHANGANYIKO WA MIMEA TIBA ASALI KUTOKA HAPA MISUNGWI.

Ni dawa ya asili ambayo imetengenzwa kupitia miti shamba na ni dawa isiyo Na Madhara, Ambapo Imeidhinishwa Na Wizara Ya Chakula, Kilimo Na Mifugo.

MUJARABU 100%Dawa Asili Isiyo Na Kemikali Zenye Kuleta Madhara Mwilini Kwa Mtumiaji.

Inatoa Matokeo Ya uhakika Bila Kuleta Madhara Kwa Mtumiaji.

NINI UTAKACHOKIPATA:

1. Huongeza Hamu Ya Tendo La Ndoa.
2. Huondo Msongo Wa Mawazo Na Mfadhaiko.
3. Humfanya Mwanaume Kuwa Na Furaha Kitandani.
4 Humfanya Mwanaume Ajisikie K**a Mfalme wa Msituni.
5.Inaongeza Msisimko Wa Kimapenzi
6. Humfanya Mtumiaji kufika Kileleni/ Or***ms Yenye Nguvu Zaidi.
7.Inasaidia Kujenga Kujiamini Kitandani.

Faida kwa Wanaume:
1.Inasaidia Kuleta Nguvu Za Kiume.
2.Inaongeza Idadi Ya Manii(Shahawa)
3.Inatibu Kumwaga Mapema Na Kuchelewesha Kumwaga.
4. Kuchochea Na Kuongeza Nguvu Wakati Wa Tendo.
5. Kuongeza Muda Wa Uume Kusimama Imara Kwa Muda Mrefu Wakati Wa Tendo
6. Inasaidia Kuongeza Idadi Ya Round Za Tendo La Ndoa.

MATOKEO:

Mshangao Huu Ni Kwa Ajili Yako Na Mpenzi Wako Mtafurahia Mapenzi Kuliko Muda Wote Mliowahi Kuwa Pamoja Kabla Hamstrings Hii Kitu.
Bei.....40,000.

Hapa hapa utapata pia dawa ya kurefu uume na kunenepesha uume. Kwa 35,000 Dozi.

Tupo Misungwi Mwanza
Namba 0747447769

Kila kukicha mashuhuda wanazidi kuwa wengi kutokana na bidhaa bora  tunayotoa kwao, UJACHELEWA..Maswali yamekua mengi! J...
12/10/2024

Kila kukicha mashuhuda wanazidi kuwa wengi kutokana na bidhaa bora tunayotoa kwao, UJACHELEWA..
Maswali yamekua mengi! Je Uume unawezaje kuongezeka!!?
Je nawezaje dumu mda mrefu kwenye tendo ambavyo ukienda mala moja Chali!? JIBU LIMEPATIKANA.

Zaid ya asilimia 70% ya wanaume wengi duniani wanakumbwa na UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. Huku wengine wakiwa hawana uwezo kabisa wa tendo la ndoa
Tatzo limesababisha ndoa nying kuyumba na zingine kuvunjika kabsa.

NINI CHANZO CHAKE??
Wataalam wa afya kupitia tafiti tofaut inaonekana;

1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.

2.Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.

3.Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima

4.Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao n.k

5. Umri kuongezeka ambapo tezi hupunguza uwezo asilia wa kuzalisha mbegu zenye Uzito sahihi, misuli hushindwa kutanuka Vena hivyo kushindwa kusukuma damu vizur

SULUHISHO LIMEPATKANA

Hizi ni bidhaa maalum na teule kurudisha HESHIMA NA UANAUME WAKO, kutoka kampuni yetu ilizothibitishwa.

1.MUJARABU

1) ina uwezo wa Kutibu kabisa Tatzo la Upunguf wa Nguvu za kiume na wale wanaowahi kumaliza na kushindwa kurudia tendo

2) inasaidia kuondoa uchovu wa baada ya tendo la ndoa na kurekebisha mzunguko wa dam

(3) inasaidia kurekebisha kiwango cha Blood pressure kiwe sahii na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla

(5):Nitric oxide inayotengenezwa inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza nguvu za kiume

2 . MVUNGE
Tumia dawa ya asili itwayo (Mvunge ) inayotibu tatizo la uume mdogo Na mfupi nakuimarisha mishipa iliolegea inarefusha Na kunenepesha maumbile
NCHI (3 - 7). Na upana (cm 3 - 4 ).dawa hii haina madhara hata Kwa wazee walio Na umri wa miaka (70 - 85)pia inaongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara (3 - 5) bila hamu kuisha karibun sana
Dawa inafanya kazi siku 7 adi 10 kutokana na kiasi Unachotaka
Full dose elfu 45,000/=

TUPO MISUNGWI MWANZA
Tupigie/sms 0747447769

MAAJABU YA DAWA YA ‘MUJARABU,’ KATIKA KUMALIZA NA KUPONYESHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUWAHI KUFIKA KILELENI. Handeni...
12/10/2024

MAAJABU YA DAWA YA ‘MUJARABU,’ KATIKA KUMALIZA NA KUPONYESHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUWAHI KUFIKA KILELENI.

Handeni herbal & Nutritional Foods ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa

a) tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
b) Kuwahi mapema kufika kileleni
c) Kushindwa kurudia tendo la ndoa
d) Kukosa hamu ya tendo
d) Kutoa manii kidgo sana na nyepesi.
e) Kurutubisha mbegu na kuondoa uchovu baada ya tendo la ndoa

 Dawa hii iitwayo “MUJARABU,’ ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) isiyokuwa na kemikali ya aina yoyote na inaponyesha na kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume ndani ya siku SABA tu na ushuhuda kwa tuliowahudumia unazidi kuongezeka kila kukicha mambo ya kuwahi tena hakuna na mshindo mmoja washasahau,

JINSI DAWA YA MUJARABU INAVYO FANYA KAZI
 Dawa ya MUJARABU inasadia katika mambo makuu yafuatayo:
i. Inasaidia kuimarisha mishipa ya uume ulio legea na hivyo kuufanya uume uwe na uwezo wa kusimama barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.
ii. Inasaidia kusafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya kwenye uume
iii. Husaidia kuongeza msukumo (pressure) wa damu kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kuwa na nguvu za ajabu.
iv. Husaidia kurelax mind na hivyo kumfanya mtu awe na uwezo wa kuconcentrate wakati wa tendo la ndoa bila kuathiriwa na msongo wa mawazo.
v. Humfanya mwanaume awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja bila kuchoka.vi. Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
vii. Husaidia kuurudisha nje uume ulio ingia ndani.viii. Husaidia kutibu side effects za punyeto na matumizi ya muda mrefu ya dawa kali za (za kizungu ) za kuongeza nguvu za kiume.
ix. Husaidia kutibu chango la kiume.x. Inakuwa uwezo wa kukaa kifuani kwa muda mrefuxi. Pia kurutubisha mbegu za kiume
xii.. Dawa hii huwasaidia hata wanawake wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.

BEI YA DAWA : Bei ya Dawa hii ni shilingi 35,000/=
TUPO MISUNGWI MWANZA
TUPIGIE/SMS 0747447769 KARIBU SANA

Kila kukicha mashuhuda wanazidi kuwa wengi kutokana na bidhaa bora  tunayotoa kwao, UJACHELEWA..Maswali yamekua mengi! J...
11/10/2024

Kila kukicha mashuhuda wanazidi kuwa wengi kutokana na bidhaa bora tunayotoa kwao, UJACHELEWA..
Maswali yamekua mengi! Je Uume unawezaje kuongezeka!!?
Je nawezaje dumu mda mrefu kwenye tendo ambavyo ukienda mala moja Chali!? JIBU LIMEPATIKANA.

Zaid ya asilimia 70% ya wanaume wengi duniani wanakumbwa na UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. Huku wengine wakiwa hawana uwezo kabisa wa tendo la ndoa
Tatzo limesababisha ndoa nying kuyumba na zingine kuvunjika kabsa.

NINI CHANZO CHAKE??
Wataalam wa afya kupitia tafiti tofaut inaonekana;

1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.

2.Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.

3.Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima

4.Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao n.k

5. Umri kuongezeka ambapo tezi hupunguza uwezo asilia wa kuzalisha mbegu zenye Uzito sahihi, misuli hushindwa kutanuka Vena hivyo kushindwa kusukuma damu vizur

SULUHISHO LIMEPATKANA

Hizi ni bidhaa maalum na teule kurudisha HESHIMA NA UANAUME WAKO, kutoka kampuni yetu ilizothibitishwa.

1.MULINGO

1) ina uwezo wa Kutibu kabisa Tatzo la Upunguf wa Nguvu za kiume na wale wanaowahi kumaliza na kushindwa kurudia tendo

2) inasaidia kuondoa uchovu wa baada ya tendo la ndoa na kurekebisha mzunguko wa dam

(3) inasaidia kurekebisha kiwango cha Blood pressure kiwe sahii na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla

(5):Nitric oxide inayotengenezwa inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza nguvu za kiume

2 . SUPERMAN
Tumia dawa ya asili itwayo (Superman ) inayotibu tatizo la uume mdogo Na mfupi nakuimarisha mishipa iliolegea inarefusha Na kunenepesha maumbile
NCHI (3 - 7). Na upana (cm 3 - 4 ).dawa hii haina madhara hata Kwa wazee walio Na umri wa miaka (70 - 85)pia inaongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara (3 - 5) bila hamu kuisha karibun sana
Dawa inafanya kazi siku 7 adi 10 kutokana na kiasi Unachotaka
Full dose elfu 45,000/=

Pia zipo dawa za .Kisukari, vidonda vya tumbo, U.t.i sugu, .Maumivu ya nyonga na mgongo, kupunguza mwili, Ngiri, Bawasili, kuongeza shape Kwa wakina mama N.k
TUPO MISUNGWI MWANZA

Piga 0747447769 kwa msaada zaidi

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO KWA WANAUMEHisia hizi huanza kujitokeza pale mtu anapofikia wakati wa kubarehe. Hapa ndiyo wak...
11/10/2024

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME

Hisia hizi huanza kujitokeza pale mtu anapofikia wakati wa kubarehe. Hapa ndiyo wakati mgumu na mbaya kwa kijana hasa kwa asiyejitambua na asiye na usimamizi wa karibu wa wazazi au walezi.

Ni wakati huu ndipo mbegu za kiume (manii) huanza kuzalishwa katika mwili wa kijana wa kiume na kupelekea kuanza kuona hitaji la kuwa na mchumba au hata mke.

Kutokana na maisha na tamaduni zetu wa afrika zilivyo hapo ndipo kijana huona hana namna zaidi ya kujichua pale anapokuwa hana mtu wa kujamiiana naye ili kupunguza hamu zake. Kitendo hiki kimeathiri sehemu kubwa ya jamii.

Kupiga punyeto au kujichua ni kitendo ambacho huleta matatizo makubwa ya muda mrefu ambayo muathirika huchelewa sana kuyatambua.

Tuangalie sasa madhara yafuatayo ambayo ni matokeo ya kujichua kwa mwanaume:

1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.

2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili na kupelekea matatizo ya macho kutokuona vizuri

3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)

4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara

6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

7. Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza kujichua

8. Punyeto haifanyiki kirahisi, unahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mtu asiyekuwepo hapo ulipo. Hili ni jambo baya zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kwa moja.

9. Punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu kwakuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwili na roho

10. Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako, hii itakuletea shida kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.

11. Punyeto inapunguza uwingi wa mbegu (reduces your s***m count) k**a matokeo yake mwanaume hataweza kumpa mwanamke ujauzito. Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha ugumba kwa wanaume na ni matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.

12. Kimaadili kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta ukishiriki tendo la ndoa peke yako. Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maeneo mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo k**a hutaiacha tabia hii haraka.

13. Punyeto inapoteza muda wako na kukufanya mtu usiye na faida

14. Raha ya kujichua haibaki akilini kwa kipindi kirefu k**a vile ukishiriki tendo la ndoa kwa na mtu halisi

15. Punyeto husababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, ni vigumu kuwa na akili ya utulivu na kukumbuka vitu k**a tayari umeshakuwa teja wa punyeto.

16. Kujichua siyo suluhisho la mwisho la hitaji lako, yaani hutaona kuridhika katika kitendo hicho, kadri unavyofanya ndivyo unavyoendelea kuhitaji zaidi na zaidi mpaka mwisho unakuwa hanithi kabisa bila kujitambua

17. Punyeto haina faida yoyote kwenye maisha yako ya kimapenzi, huihitaji kwa ajili ya chochote

18. Punyeto inaongeza aibu, inapunguza uwezo wa kujiamini. Wengi waliozoea kujichua hata kutongoza kwao huwa ni kazi kubwa mno kiasi wengine huona bora kuendelea kujichua kuliko kutongoza mwanamke.

19. Utapoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa kirahisi zaidi k**a utaendelea kujichua

_. Punyeto huchochea mapenzi ya jinsia moja hasa mashuleni, vyuoni na kwenye mahoteli na mwishowe hupelekea kusambaa kwa magonjwa mengi ya zinaa.

20. Punyeto inamaliza nguvu za kiume, k**a unapenda kujichua basi sahau kuwa na nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume ni janga la kitaifa miaka ya sasa lakini chanzo kikuu ni vijana wengi wa kiume kuanza kujichua tangu wakiwa mashuleni.

Je ufanye nini ili kuacha punyeto au usishiriki mchezo huu mchafu?

K**a muda na umri haukuruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fanya yafuatayo:

•K**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.

•Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutapata muda tena wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utakuwa na uwezo wa kupata usingizi mtulivu sababu ya mazoezi.

•Epuka vyakula vyenye mafuta mengi

•Usipende kukaa muda mrefu peke yako au kujitengaa na watu pia usikae muda mrefu kitandani hasa hasubuhi wakati wa kuamka

•Usikae muda mrefu maeneo k**a ya bafuni au chooni

•Usipende kujishikashika na mkono wako sehemu zako za siri wakati wowote

•Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo, k**a upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondowe haraka iwezekanavyo.

•K**a tayari umeshaoa basi ni dhambi kubwa sana kuendelea kupiga punyeto, utaishiwa nguvu na unaweza kukosa kumpa ujauzito mkeo siku za usoni.

Je? umeathirika na umepata madhara yaliyotokana na punyeto? Na unahitaji kuondokana na hiyo hali ? Habari njema ni kuwa hilo ni jambo linalotibika na utarudi kwenye hali yako ya kawaida, na kurudisha nguvu zako zipo dawa maalumu za asili kwa ajili hiyo k**a utazihitaji niachie ujumbe

WhatsApp

0747447769

Andika nahitaji MLINGO

Gharama ya MUKIKU ni elf 45,000 dozi

K**a umeathirika mpaka maumbile yamesinyaa na kurudi ndani Tumia Dawa iitwayo SUPER MAN inayosaidia
_kurefusha uume ulosinyaa na kurudi ndani
_misuli kulegea

Gharama yake elf 45,000 dozi

NB # ANAETUMA UJUMBE WHATSAPP ANAHUDUMIWA HARAKA

Tafadhali SHARE post hii kwa ajili vijana na ndugu wengine uwapendao

NDUGU USIFICHE KIBAMIA WAKATI KUNA TIBA Kamili week mbili tuKIBAMIA kwisha.TUMEKUWA TUKIWATIBU WATU KWA ZAID YA MIAKA 5 ...
05/10/2024

NDUGU USIFICHE KIBAMIA WAKATI KUNA TIBA Kamili week mbili tu
KIBAMIA kwisha.

TUMEKUWA TUKIWATIBU WATU KWA ZAID YA MIAKA 5 HAPA MISUNGWI NA SASA TEKNOLOJIA IMETUSOGEZA NAWEWE HAPO ULIPO SASA MAAMUZI NI YAKO

NIKWELI hakuna aliezaliwa na KIBAMIA ama upungufu wa nguvu narudia Tena KIBAMIA ama dhakari ndogo Hilo ni TATIZO na linatibika kabisa Amini tu.

1.K**a umewahi kujichua we ni muhathirika wa janga hili tayari. Unahtaji dawa

2.K**a unaangaliaga video za ngono aise ndugu acha kabisa huo mchezo na utafute tiba Mala moja kwnai sio salama kwa urijali wako.unahitaji dawa

3.K**a uliwah kutumia vidonge vyakubust wakat wa tendo wewe pole sana wahi katafute na dawa ya kuondoa kemikali/sumu mwilini.

4.K**a umewahi kuwa na ngiri una uwezekano mkubwa wa kupata matatizo haya KIBAMIA na ukosefu wa nguvu.

5.unavuta sana sigara unakunywa sana pombe ndugu sikufichi lazima hili janga likupate tu.

Wengine KIBAMIA wamepata wakati wa kutahiliwa

6.labda nikueleweshe tunaposema upungufu wa nguvu za kiume ni kukosa hamu ya tendo,
Kuwahi kumwaga
Kushindwa kurudia mishindo Zaid ya bao3
Kuishiwa nguvu na kiuno kuuma baada Ya mshindo
Dhakari kurudia ndani kusinyaa k**a mtoto baada yakumaliza

Dawa ya kukuza na kuondoa kabisa KIBAMIA ipo bei 30000

Dawa ya nguvu na kutibu misuli iliosinyaa kwajili ya kujichua n.k ipo bei 30000

Dawa ya vidonda vya tumbo 35000

Dawa ya fangas sugu hata zinazoanza 30000

Dawa ya ngiri pia 35000

Dawa ya U,T,I sugu 40000

Dawa ya kuondoa kitambi 40000

Piga simu au whatsap kwa maelezo na kupata dawa.

WhatsApp' 0747447769

Piga kawaida kwa 0747447769

Pia tuna MA agent/wakala mikoani k**a Dar es salaam MWANZA, BUKOBA, kwingine tunawaagizia kwa bus ama bot kwa visiwani usafirishaji unalipia 🙏

Amini utapona na kuwa strong
WhatsApp' 0747447769

Piga kawaida kwa 0747447769

Harufu mbaya ya mdomo huweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. - Ta...
10/09/2024

Harufu mbaya ya mdomo huweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla.

- Tatizo hili huweza kudhibitiwa kwa kusafisha kinywa mara kwa mara kwa dawa maalumu na kunywa maji mengi.

Kwa ushauri zaidi,

Whatsapp 0747447769

FAIDA NYINGINE ZA LIMAO KWA UFUPI Kuna faida nyingi sana za kutumia limao, hasa wakati wa asubuhi wakati mwili umekaa bi...
10/09/2024

FAIDA NYINGINE ZA LIMAO KWA UFUPI

Kuna faida nyingi sana za kutumia limao, hasa wakati wa asubuhi wakati mwili umekaa bila kula usiku kucha.

- Kwa uchache Limao husafisha mwili, huweka harufu nzuri kinywani, huleta nguvu mwilini, husaidia kupunguza uzito na kuongeza kinga ya mwili.

Whatsap 0747447769

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKAVidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokan...
10/09/2024

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA

Vidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na staili ya Maisha, Ulaji na Mazingira. Ugonjwa huu kitaalam unasababisha kuwa na michubuko katika kuta za tumbo au utumbo mdogo na hivyo kusababisha maumivu makubwa ya tumbo.

Wakati mwingine vidonda hivi huonekana kati ya tumbo na utumbo mdogo hivyo kitaalam tunaviita PEPTIC ULCERS, aina hii ya vidonda vya tumbo huwaathiri sana Wanaume kuliko wanawake.

DALILI ZA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO

Kuchoka bila sababu maalum
Kuumwa mgongo au kiuno
Kupungukiwa nguvu za kiume
Kizunguzungu
Kukosa Usingizi
Kichefuchefu
Kiungulia
Tumbo kujaa gesi
Tumbo kuwaka moto
Kukosa choo au kupata choo kwa shida
Kutapika nyongo
Kutapika damu au kuharisha
Sehemu za mwili kupata ganzi
Kukosa hamu ya kula
Kusahausahau na hasira bila sababu
Hizo ni baadhi tuu ya dalili za kuwa na vidonda vya tumbo lakini zipo nyingi, hivyo basi pindi uonapo moja kati ya hizo dalili ni vyema ukaenda kupima vidonda vya tumbo mapema.

SABABU KUU ZA KUPATA VIDONDA VYA TUMBO

(1). MSONGO WA MAWAZO(STRESS) : Hii imekuwa sababu kubwa kwa wenye vidonda vya tumbo pindi unapokuwa na msongo wa mawazo au mwili wako unapokosa uwezo mzuri wa kuratibu homoni na vimeng’enya chakula.

Hii itapelekea kuzalishwa kwa wingi Tindikali(Acid) ndani ya tumbo na hivyo kulipelekea kupata vidonda vya tumbo.

(2). Bakteria aina ya Helicobacteria Pylori (H. Pylori) : Bakteria hawa wamekua chanzo kikubwa cha mtu kupata vidonda vya tumbo. Pindi Bakteria hawa wanapoingia tumboni husababisha kuongezeka kwa kiwango cha tindikali(acid) mwilini na kupelekea michubuko kwenye kuta za tumbo.

Sababu nyingine ndogo ndogo ni k**a vile Kurithi, uvutaji wa sigara na Matumizi ya pombe kali.

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO
Dawa mpya ya kutibu vidonda vya tumbo ipo na ya uhakika kupona kabisa na dawa hiyo ina uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo kwa kiwango cha juu na bila kuleta madhara kwa mifumo mingine ya mwili hata k**a ikitumika kwa wingi. “Watu waliotumia dawa hii na kupona wanaiona k**a tiba ya hali ya juu na ya kwanza kuwahi kutokea katika ulimwengu wa tiba za asili nchini Tanzania kwa kuwa wamepona kabisa vidonda vya tumbo kwa asilimia mia moja.

GHARAMA ya tiba ya vidonda vya tumbo ni Tsh 35,000/=

Kwa mahitaji ya tiba hii utaipata kwa mwanza na daresalaam na mikoa mingine tunatuma kwa bus pia

Piga/wattsaap 0747447769

YAJUE MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA KWA WANAUME NA WANAWAKE  Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kw...
10/09/2024

YAJUE MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA KWA WANAUME NA WANAWAKE

Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti

Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno
huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na
wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika
vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya
yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya
kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu Na
mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya
utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa
kuruka…

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
1.kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu ukiihitaji ,andika mlingo,
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo,Group LA what's up tunatoa darsa
4.mawazo (stress) nyingi
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO ,

Je ukipuuza maumivu haya haya na kuyachulia ni suala LA kawaida unaweza kuathirika kivipi?
1.Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala

jitibu maumivu ya mgongo na nyonga kwa dawa ya (kipasi backbonepain) ya kupaka ambayo itakuondolea maumivu hayo kwa siku 7 tu na utarudi katika hali nzur ,ni dawa Kali sana kwa maumivu ya mgongo

GHARAMA YAKE ELF 40,000/=


Kwa swali ,maoni au ukiitaji dawa , tupigie 0747447769
WhatsApp/SMS

Address

Misungwi
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share