
08/04/2025
Naelewa ni kwa namna gani unakosa raha kwa sababu afya yako ya uzazi haijakaa sawa.
Najua wengi wanakuhukumu kwa sababu ya mtindo wa maisha uliyoishi hapo nyuma yaliyopelekea wewe kuwa hivi ulivyo sasa.
Huenda wewe ni muhanga wa vidonge na njia za uzazi wa mpango wa kisasa. Mwili umeharibika, homoni haziko sawa tena. Imefikia hatua sasa unataka mtoto ila hupati😔😔. Naelewa mume wako na mawifi wanavyokutizama. Hao hao waliokushauri utumie ndio hao hao leo wanakusema huzai.
Naelewa pengine unakosa hata wa kuzungumza naye ukamueleza machungu uliyonayo moyoni na karaha unayopitia kwa sababu ya:
🔺Kutokwa na uchafu mzito na majimaji yenye harufu sehemu za siri.
🔺Maumivu ya tumbo hasa wakati wa kujamiiana.
🔺Hedhi yako kuvurugika au kukosa hedhi kabisa.
🔺Uvimbe kwenye kizazi na kuziba kwa mirija ya uzazi.
🔺Miwasho mikali sehemu za siri.
🔺P.I.D.
🔺Ukavu wa uke unaopelekea maumivu wakati wa kujaamiiana na kukufanya kukosa gamu ya tendo maana kila ukiliwaza unaona maumivu tu hadi hamu inapotea kabisa.
🔺Lakini kubwa kuliko: KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA! KUKOSA WATOTO!
Wazungu husema “ AFTER A STORM THERE COMES CALM”, kwamba kuna tumaini baada ya mateso.
Najua utasema “ aahhh, mimi nimeshatumia dawa nyingi, sijapona wala mwili kuwa sawa”. Kwanza pole, pili upo sahihi kabisa kwa sababu hujatumia tiba na ushauri kutoka ADHI HERBS! Kiboko ya matatizo yako yote!!!
Tumaini lipo! Na lipo hapa!
Wengi waliokuwa na wasiwasi na hofu ya kutapeliwa walivyofika mikononi mwangu changamoto zao za UZAZI( kwa mwanamke na mwanaume), BAWASIRI NA VIDONDA VYA TUMBO ziliisha kabisa. Hawakuruhusu hofu iwanyime raha ya maisha, hawakukubali kuendelea kupoteza pesa na muda. Walichagua kuwa na afya njema, walichagua ADHI HERBS.
Gusa link hii https://chat.whatsapp.com/CfZuSptTyIQ4dDryOM9Nf1 uje ujionee mwenyewe!! Utakuja ujiulize mwenyewe “hivi nilikuwa wapi siku zote hizi nimehangaika huko kumbe uhakika ulikuwa hapa jamani”.