AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI TUNASAIDIA JAMII YA WAAFRICA KWA MWANAMKE YEYOTE KUTATUA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA MWANAMKE yeyote mwenye changamoto
+255745711409

23/04/2025
Ili mwanamke awe na mzunguko wa hedhi ulio sawa na usiovurugika, ni muhimu kuepuka vyakula na vinywaji vinavyoweza kusab...
06/03/2025

Ili mwanamke awe na mzunguko wa hedhi ulio sawa na usiovurugika, ni muhimu kuepuka vyakula na vinywaji vinavyoweza kusababisha matatizo ya homoni au kuathiri afya kwa ujumla. Hapa ni baadhi ya vyakula vya kuepuka:

1. Vyakula vyenye sukari nyingi

Soda, juisi za viwandani, p**i, na vyakula vyenye sukari nyingi vinaweza kusababisha ongezeko la insulini, ambalo huathiri homoni za uzazi na kuvuruga hedhi.

2. Vyakula vyenye mafuta yasiyo na afya

Vyakula vya kukaangwa, chipsi, margarine, na fast food vina mafuta mabaya yanayoweza kusababisha uvimbe mwilini na kuvuruga homoni.

3. Vyakula vya kusindika (Processed Foods)

Biscuits, soseji, mikate ya viwandani, na chakula kilichojaa kemikali nyingi (preservatives) vinaweza kuathiri mfumo wa homoni na mzunguko wa hedhi.

4. Vyakula vyenye kafeini nyingi

Kahawa nyingi, chai kali, na vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinaweza kusababisha matatizo ya homoni na hata kuchelewesha hedhi.

5. Pombe

Pombe huathiri ini, ambalo lina jukumu la kusawazisha homoni mwilini. Hii inaweza kusababisha mizunguko ya hedhi isiyo ya kawaida.

6. Vyakula vyenye soy nyingi

Soy ina phytoestrogens, kemikali inayofanana na homoni ya estrogen. Kula kwa wingi inaweza kuvuruga uwiano wa homoni na kuathiri mzunguko wa hedhi.

7. Vyakula vya baridi sana (Cold Foods)

Katika baadhi ya tafiti na imani za kiafya, vyakula vya baridi sana k**a barafu, vinywaji vya baridi sana, na ice cream vinaweza kuathiri mtiririko wa damu na kusababisha maumivu makali ya hedhi.

Mbali na kuepuka vyakula hivi, mwanamke anaweza kula vyakula vyenye afya k**a:

✔️ Matunda na mboga za kijani kibichi
✔️ Vyakula vyenye madini ya chuma k**a dagaa, mbegu za maboga, na mbegu za mabuyu
✔️ Vyakula vyenye omega-3 k**a samaki, mbegu za chia, na karanga
✔️ Maji ya kutosha ili kusaidia usafirishaji wa virutubisho mwilini

Ukizingatia lishe bora, mzunguko wako wa hedhi utakuwa sawa, na mwili wako utakuwa na afya bora zaidi.

Tunapatikana mikoa YOTE  hapa Tanzania je unahitaji kufanya check up ukiwa mkoa gani au matibabu NIANDIKIE HAPO CHINI
06/03/2025

Tunapatikana mikoa YOTE hapa Tanzania je unahitaji kufanya check up ukiwa mkoa gani au matibabu NIANDIKIE HAPO CHINI

K**A UNAKUTANA NA HIII HALI YA KUTOKA NA HARUFU MBAYA  UKENI NI CHANGAMOTO KUBWA SANA KWAKO  MWANAMKE UNAWEZA PELEKEA KU...
04/02/2025

K**A UNAKUTANA NA HIII HALI YA KUTOKA NA HARUFU MBAYA
UKENI NI CHANGAMOTO KUBWA SANA KWAKO MWANAMKE

UNAWEZA PELEKEA KUKOSA NDOA AU KUPOTEZA MAUSIANO USIPO FANYA HARAKA KUTIBU HIYO CHANGAMOTO

NJOO NIKUPE USHAURI ZAIDI WHATSAPP NA HUDUMA BORA 0745711409

JE UNAKUTANA NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI JE UNAINGIA HEDHI MALA MBILI KWA MWEZI NJOO WHATSAPP NIKUSHAURI 074571140...
04/02/2025

JE UNAKUTANA NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI

JE UNAINGIA HEDHI MALA MBILI KWA MWEZI
NJOO
WHATSAPP NIKUSHAURI 0745711409

PONA UVIMBE BILA UPASUAJI UVIMBE KATIKA Kizazi ni janga kubwa sana Kwa wamama kuanzia umri wa hedhi Ila unaweza kupona b...
04/02/2025

PONA UVIMBE BILA UPASUAJI

UVIMBE KATIKA Kizazi ni janga kubwa sana Kwa wamama kuanzia umri wa hedhi

Ila unaweza kupona bila upasuaji
0745711409 njoo in box au Whatsapp

Faida ya mwanaume kupima mbegu zake ndio hii, unajitambua mapema kisha unaanza dozi sio kila mara wanawake kuhisiwa mago...
27/12/2024

Faida ya mwanaume kupima mbegu zake ndio hii, unajitambua mapema kisha unaanza dozi sio kila mara wanawake kuhisiwa magonjwa ya uzazi peke yao
KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA UGUMBA KWA WANAUME

Mimba kutunga ni matokeo yanayotegemea upande wa k**e na wa kiume japokuwa kwa jamii zetu tumezoea kuwa familia ikikosa mtoto basi lawama huenda moja kwa moja kwa mwanamke kuwa yeye ndiye chanzo cha tatizo jambo ambalo huwa sio la kweli mpaka wote kwanza mfanye vipimo kubaini nani haswa ni chanzo iwapo k**a ndoa imedumu muda mrefu bila kupata mtoto.

kuanzia siku ya tano, uje ukutane naye siku ya 12

Mshauri aache pombe, sigara na vilevi k**a ni mpenzi wa vitu hivyo.

WANAUME WENGINE HUWA NA MATATIZO MOJA KWA MOJA YA UPUNGUFU NGUVU ZA KIUME yaani unakuta mwanaume kufika kileleni dakika 1 na kurudia hawezi au mpaka akae muda mrefu, uume wake unasimama legelege au akifika kileleni anatoa manii hata kijiko hakijai sometimes anafika kileleni bila kumwaga chochote. Wanaume wa hivi sio wa kuchekwa au kudharauliwa, hii ni hali inayowapa stress sana na wana hangaika sana kutafuta msaada hivyo k**a unae mume na ana matatizo hayo basi onesha ushirikiano wa kumpatia ushauri na Tiba pia

Kalibu akapime pia apate tiba

Tupo mikoa YOTE Tanzania wasiliana nasi wa.me/+255745711409

0745711409Kuna watu Wana uvimbe KATIKA KIZAZI ila Hawajuhi njoo in box nikufundishe DALILI za uvimbe KATIKA KIZAZIAu wek...
12/12/2024

0745711409
Kuna watu Wana uvimbe KATIKA KIZAZI ila Hawajuhi njoo in box nikufundishe DALILI za uvimbe KATIKA KIZAZI

Au weka.jamba yako hapo chini nikuunganishe Kwa group .

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝘆𝗮 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗭𝗔𝗭𝗜 (𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦 𝗔𝗨 𝗨𝗧𝗘𝗥𝗜𝗡𝗘 𝗠𝗬𝗢𝗠𝗔)UVIMBE katika MFUKO WA UZAZI wa MWANAMKE hujulikan...
07/12/2024

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝘆𝗮 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗭𝗔𝗭𝗜 (𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦 𝗔𝗨 𝗨𝗧𝗘𝗥𝗜𝗡𝗘 𝗠𝗬𝗢𝗠𝗔)

UVIMBE katika MFUKO WA UZAZI wa MWANAMKE hujulikana k**a UTERINE MYOMA au FIBROID.

UVIMBE huu hutokea kwenye MISULI LAINI ya MFUKO wa UZAZI.
Tatizo hili huwakumba WANAWAKE wengi ambapo kwa asilimia 5% uwapata WANAWAKE wenye Umri kati ya MIAKA 20 hadi MIAKA 40. Na karibu asilimia 20% kwa WANAWAKE wenye Umri Kati ya MIAKA 30 hadi MIAKA 40, na zaidi ya asilimia 40% wale wenye Umri zaidi ya MIAKA 40.

Kwa ujumla tunaweza kusema MYOMA ni aina ya UVIMBE unaowapata WANAWAKE wengi katika Miaka ya UZAZI. Hii inamaanisha kuwa kadiri MWANAMKE Umri unapozidi kuwa mkubwa MWANAMKE ana nafasi kubwa ya kupata UGONJWA huu.Ni TATIZO ambalo linashuhudiwa na WATU wengi kwa sasa katika jamii hasa nafikiri hii ni kutokana na jinsi tunavyoishi.

𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗞𝗨𝗨 𝗧𝗔𝗧𝗨 𝘇𝗮 𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦.

1.=UVIMBE unaotokea kwenye tumbo la KIZAZI na unaweza kuwa NDANI ya KIZAZI ( Submucosal fibroids ).
2.=UVIMBE unaotokea NDANI ya NYAMA ya KIZAZI (Intramural fibroids )
3.=UVIMBE unaotokea NJE kwenye UKUTA wa KIZAZI (Subserosal fibroids ).

UVIMBE katika MFUKO wa UZAZI huwapata zaidi WAMAMA walio katika Umri wakuweza kuzaa (reproductive age). UVIMBE huwa wa ukubwa tofauti. Huanza ukiwa MDOGO hadi baadae kuwa MKUBWA sana hadi kupelekea baadhi kuonekana k**a MAMA MJAMZITO.

Inafaa kuelewa FIBROID sio KANSA bali ni UVIMBE wa kawaida tu ambao hukuwa kwa kutegemea KICHOCHEO au HORMONE ya ESTROGEN na ndio maana wakati wa kupata UVIMBE huo ni kuanzia KUBALEHE mpaka KUKOMA HEDHI kwa HEDHI.

𝗛𝗮𝘁𝗮 𝗶𝘃𝘆𝗼 𝗶𝗻𝗴𝗮𝘄𝗮 𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦 𝘀𝗶 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜, 𝗹𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 𝘄𝗮 𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝘂𝗺𝗲𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗧𝗜𝗦𝗛𝗜𝗢 𝗸𝘄𝗮 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗪𝗔𝗞𝗘 𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶 𝗗𝗨𝗡𝗜𝗔𝗡𝗜 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜 𝘄𝗮𝗼 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗱𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗩𝗜𝗭𝗔𝗭𝗜

Kwa maelekezo zaidi piga

Tajiri Namba Moja Duniani Elon musk aliulizwa ili mtu awe tajiri k**a yeye anatakiwa afanye nini?.Elon musk alijibu kuwa...
05/12/2024

Tajiri Namba Moja Duniani Elon musk aliulizwa ili mtu awe tajiri k**a yeye anatakiwa afanye nini?.

Elon musk alijibu kuwa kwanza anatakiwa asiwe k**a mimi inatakiwa awe yeye na k**a atahitaji kuwa tajiri zaidi basi akubali kufanya kazi zaidi ya masaa 84 kwa wiki.

Lakini Pia akubali wakati mwengine kulala nje ya kitanda chake ili kupambania ndoto yake. Elon akakazia maneno yake kwa kusema asiogope kupoteza kwasababu mafanikio yapo ndani ya kuthubutu na matokeo ya uthubutu ni kufanikiwa au kupoteza.

Ukifanikiwa ni hatua kwako na ukipoteza ni hatua pia maana utakuwa umejifunza kitu ndani ya kupoteza. Haya ni maneno makubwa kwa watu wenye dhati ya mafanikio nasi kwa wavivu na walalamishi.

rabiusamos0@gmail.com

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..* 1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi . 2.Uume una...
02/12/2024

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..*

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa baada au kabla ya tendo la ndoa

7.kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8.Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tubia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .

Kwa msaada zaidi:

Whatsapp 0745711409

NAITWA RABIUS AMOS KATABWA.nipo mwanza    Natoa pole Kwa wale wote walio athilika na janga la KARIAKOO Kwa upande wangu ...
20/11/2024

NAITWA RABIUS AMOS KATABWA.nipo mwanza
Natoa pole Kwa wale wote walio athilika na janga la KARIAKOO
Kwa upande wangu nimeumia sana licha ya kuwa sijawahi kufika .ila nimeumia sana Kwa wote walio poteza Malengo Yao NDOTO zao kubwa aseee 😭😭😭😭. Nasema pole sana Kwa familia zote walio kumbwa na hili janga pia ni janga la kitaifa kiujumla pole sana
Maana ata wale tulio njee na dar es salaam tumeguswa hii inamanisha tumeumia sana kuliko kawaida
Pia
Tuzidi kuomba sana MUNGU wetu alie ahi akawape uvumilivu wale walio fiwa MUNGU awape faraja ya moyo

Pia tuombe jeshi la uokoaji na Zima moto liweze kufanya juhudi kubwa kufanya uokoaji Kwa wale wote walio chini bado hawajaokolewa . Fanya UWEZEKANAVYO waokolewe

Nasema MUNGU azidi kusimama KATIKATI Jiji la dar esa Salam. Na taifa kiujumla
Na ili nalo litapita lakini imetuuma sana but no way out. Tumekubali .

Mwisho SELIKALI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA mungehakikisha kuwa kabla Jengo halijasimama kuanza kutumika
mnalithibitisha k**a kweli lipo salama kweli ili badara ya kupunguza vifo ndo kabisa vinaongezeka duh.

mweshimiwa Raisi Samia suluh Hassan Kwa kushirikiana na waziri mkuu. MH Kassmu majaliwa
tunashukuru Kwa kutoa mitunga kwaajili ya OXYGEN hakika mmefanya Cha maana
but antill
I'm so sad ila 😭😭😭😭😭😭😭 nazidi kuwapa pole sana wote walio fiwa na vijana wao wadogo pia na woote walio fiwa kiujumla .POLE POLE TAIFA KIUJUMLA POLE

Address

Ilemera
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share