Dr. Reth Health Haven

Dr. Reth Health Haven Tunakusaidia kutambua changamoto yako ya afya kiundani zaidi na Kuitatua kwa njia salama.

*Kwako wewe mwanaume unayekabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume na kushindwa kumridhisha mwenza wako…**Je, unakutana na...
11/02/2025

*Kwako wewe mwanaume unayekabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume na kushindwa kumridhisha mwenza wako…*

*Je, unakutana na changamoto hizi?*
*✔ Uume kusimama kwa udhaifu*
*✔ Kukosa hamu ya tendo la ndoa*
*✔ Kuwahi kufika kileleni*
*✔ Kushindwa kurudia tendo baada ya raundi ya kwanza*
*✔ Kushindwa kumpa mwenzi wako ujauzito*

*⏳ Usiruhusu matatizo haya yaathiri mahusiano yako! Ni wakati wa kuchukua hatua sasa kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.*

*Tunayo "BEDROOM PACKAGE"—suluhisho maalum kwa wanaume wanaotaka kurejesha nguvu zao na kuwa na utendaji bora kitandani. Na kwa msimu huu wa VALENTINE, tunakupa BEI YA OFA!*

*💪 Fanya maamuzi leo—mwenza wako anastahili mwanaume kamili!*

Kwa mawasiliano zaidi
https://wa.me/+255696951514

Embu Niambie, Utajisikiaje na wewe ukaitwa mama flani? Au kuongeza Mtoto mwingine🤱🥰Furaha , ni kuona Kila Mwanamke Ni MA...
09/02/2025

Embu Niambie, Utajisikiaje na wewe ukaitwa mama flani? Au kuongeza Mtoto mwingine🤱🥰

Furaha , ni kuona Kila Mwanamke Ni MAMA🤱,

Bado nahitaji kupokea shuhuda nyingi. Na jambo jema ni kwamba una nafasi ya kuwa mmoja wapo,

Lakini huenda labda Wewe ndiye Huyu?!👇🏾

✅ Imeshindikana Kabisa kubeba Ujauzito.

✅ Unatokwa na uchafu, harufu mbaya sehemu za Siri.

✅ Mzunguko wako wa hedhi haueleweki Tena.

✅ Unasumbuliwa P.I.D Fangasi, na U.T.I sugu.

✅ Unahisi Maumivu Makali wakati wa Tendo la Ndoa au kukosa hamu ya tendo Kabisa.

✅ Maumivu wakati wa kukojoa.

✅ Kiuno kuuma Sana wakati wa hedhi.

✅ Maumivu chini ya kitovu.

✅ Nimepima vipimo vyote vya Uzazi sina Tatizo lolote lakini sipati Mimba!

✅ Unahisi Maumivu wakati wa tendo la Ndoa, Ukeni panakuwa pakavu Sana.

✅ Mimba kuharibika mara kwa mara kabla ya muda wa kujifungua

Usijali Kabisa, HABARI YAKO NJEMA HII HAPA👇🏾

▶️ Uzazi Special Offer:-

Hii ni special offer maalumu kwako mwanamke/ Dada, Unayeangaika Na matatizo

Karibu nikuhudumie
https://wa.me/+255696951514

Moja ya dalili ya Mvurugiko wa homoni za k**e niKutoona siku zako (kutokuingia period)Kukosa period kwa mwezi mmoja waka...
06/02/2025

Moja ya dalili ya Mvurugiko wa homoni za k**e ni

Kutoona siku zako (kutokuingia period)

Kukosa period kwa mwezi mmoja wakati mwingine inaweza isiwe shida

Ila ishu ni pale unapokosa kuingia kwenye siku zako kwa muda wa miezi 3 mpaka 6

Na wakati mwingine mpaka mwaka au miaka🥺

Dalili hizi ni ishara ya changamoto kubwa ya kiafya au la! sivyo wewe ni mjamzito

Sababu hasa za Kutoona hedhi ni pamoja na hizi zifuatazo :-
✨Kuwa na msongo wa mawazo wa kupindukia..

✨Kupungua au Kuongezeka uzito sana..

✨Ulaji wa vyakula visivyo na Virutubisho muhimu.

✨Mazoezi makali sana au kufanya kazi ngumu kuliko mwili ulivozoea..

✨Kufika ukomo wa hedhi mapema (early menopause)

✨Magonjwa ya mda mrefu mfano kisukari

✨Uvimbe kwenye mayai

✨Ujauzito na kunyonyesha

Kwa msaada wa matibabu kwa suala hili, Wasiliana nami moja kwa moja ili upate tiba za uhakika zisizohitaji upasuaji..
https://wa.me/+255696951514

K**a unatokwa na damu nzito yenye mabonge mabonge tambua kwamba hio si dalili ya kawaidaNi dalili ya hatari na inaashiri...
06/02/2025

K**a unatokwa na damu nzito yenye mabonge mabonge tambua kwamba hio si dalili ya kawaida

Ni dalili ya hatari na inaashiria unatokwa na damu nyingi sanaaaa kuliko kawaida

Visababishi vya kutokwa na damu yenye mabonge makubwa ni :-👇👇

1. Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango zenye vichocheo (hormone za kisasa)
Hapa ni pamoja na matumizi ya njiti, vidonge vya uzazi wa mpango, sindano za uzazi wa mpango na P2.

2. Uvimbe kwenye mji wa mimba.

3. Uvimbe kwenye mayai yanayozalisha homoni za k**e

Dalili hii ni ishara ya changamoto kwenye mfumo wako wa uzazi, k**a unapata changamoto hiyo
Usisite kuwasiliana nami kupitia
https://wa.me/+255696951514

10/01/2025

Juice hiii ina mchanganyiko wa Tende, maziwa, Asali, Korosho, Karanga

Faida zake kwa mwanaume.. 👇👇👇
1. Kuimarisha nguvu za kiume.

2. Kuboresha afya ya mbegu za kiume.

3. Kuongeza nishati na stamina.

4. Afya ya moyo.

5. Kuboresha afya ya akili.
Kwa Changamoto yeyote ya afya ya Uzazi, Wasiliana nami kupitia https://wa.me/+255696951514

Address

Mwanza

Telephone

+255696951514

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Reth Health Haven posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr. Reth Health Haven:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram