18/01/2026
😂💔➡️🥹 “Nilikuwa nachekwa mchana… nalilia usiku… leo natabasamu kwa furaha.”
Miaka 8 ya ndoa, maumivu ya hedhi, kukosa mtoto, hadi karibu nipoteze ndoa yangu.
📖
#
Naitwa Phion, natokea Zanzibar.
“Kuna kipindi nilikuwa nikicheka na watu… lakini moyoni nilikuwa naumia vibaya.
Kila mwezi, hedhi ikija, ilikuwa k**a adhabu. Maumivu makali, fangasi wa kurudia rudia, PID, na homoni zikiwa hovyo kabisa.
Watu walikuwa wanatania,
👉 ‘Phion, mtoto lini?’
Nilikuwa nacheka tu… lakini nikirudi nyumbani, machozi.
Cha kuchekesha na cha kuumiza zaidi… nilifika hatua nikaanza hata kukosa hamu ya ndoa.
Mapenzi yakapoa.
Ndoa ikavunjika.
Baadaye tukarudiana… lakini mateso yaliendelea.
Miaka zaidi ya 8 nikiwa naishi maisha ya hospitali, dawa, dua na maswali:
‘Kuna siku nitaishi kawaida k**a wanawake wenzangu?’
Mambo yalianza kubadilika pale nilipopata elimu ya kujali afya yangu na kuujua mwili wangu.
Ndipo nikakutana na bidhaa za lishe kutoka Uzazi Package.
Sio drama za siku moja…
Lakini hatua kwa hatua:
👉 maumivu yakapungua,
👉 mwili ukaanza kutulia,
👉 nikarudia kujicheka kwa furaha ya kweli.
Leo nikicheka, si kwa kuficha maumivu —
ni kwa sababu nina amani.
Nina furaha.
Ninafurahia ndoa yangu na familia yangu.
Nimejifunza jambo moja:
👉 mwanamke akipata elimu sahihi na msaada sahihi, anaweza kurudia kuishi.” health
🚨
K**a unasoma hii na moyo wako unagusa hata kidogo…
k**a una maumivu ya hedhi, fangasi, PID, kukosa hamu au kukosa ujauzito…
👉 Comment “NIPO” au “NATAKA” nikuandikie binafsi.
👉 Au tag mwanamke unayetaka aache kuteseka kimya kimya.