AFYA YAKO MTAJI WAKO

AFYA YAKO MTAJI WAKO Nazareth online health clinic. Ni clinic online kwa ajiri ya elimu tiba na Kinga ikijumlisha mkusany

03/02/2022

SLEEP PARALYSIS ( JINAMIZI)
Dunia mzima kumekuwepo na ugonjwa amo watu toka mataifa mbali mbali wameuhusisha na Imani za kishirikiana kutoka a na mahali usika uku kwetu wakiita ni JINAMIZI.
NINI UGONJWA HUU?
Hii ni hali ambayo k**a si wewe basi watu wa karibu yako imewai kuwapata mtu anakawa usingizini ghafla anafungua macho na kukuta mwili mzito na k**a anakawa na jini au wachawi. Usiogope leo utapata majibu
NINI UTOKEA?
Katika usingizi upitia hatua kuu mbili
1.Rapid eye movement
2.Non rapid eye movement
Kutoka hatua ya kwanza utumia dakika90 kuingia hatua ya pili ambayo ujulisha asilimia75 ya usingizi mzima
Hatua ya kwanza uhusika na ufumbaji wa macho na macho kuacha kucheza
Na hatua ya pili ubongo uzalisha kemikali ambayo ufanya kazi ya kurelax kwa viungo ili usije ukafanya yale unayo yaota mfano kutembea, kukimbia , kuongea nk
FAIDA ZA KEMIKALI HII
Usaidia ukuaji kwa watoto na vijana wa umri wa kubalee
TATIZO UJA WAPI?
Mtu anapokua ameingia hatua ya pili kemikali iko kwenye viungo ghafla akafungua macho kunakua na mwingiliano wa taarifa kemikali imesimamisha viungo ili kupunguza kiasi cha oxygen na kutotenda matendo ya ndotoni alafu ukaamuka ndo mtu anahisi kukabwa au kukandamizwa
Hali hii uambatana na HALUCINATION (visual& audible) kuona vitu visivyo kua Hali au kusikia sauti ambayo si halisi.
SABABU AU VISABISHI
1. Kubadili badili muda wa kula mfano watu wanao fanya shift za usiku mfano wauguzi,walinzi ,wanafunzi nk
2. Kulala chali
3.stress/ msongo wa mawazo
4.wasiwasi
5. Matumizi ya vinywaji bye kemikali aina ya caffeine mfano energy wakati wa usiku
NINI KIFANYIKE KUEPUKANA NA HALI HII?
1.Kupanga na kufuata ratiba kamili ya kulala sio kisa siku ya mapumziko unalala zaidi na kutotumia kitanda kwa kazi nyingine mfano kuchat na kuwatch movie
2.Kupunguza stress kwa kuwaona wataalam wa psychology
3.kutokulala chali
4. Epuka matumizi ya vinywaji venye kemikali usiku

02/04/2020

Leo tena tukutana saa4:30 katika kipindi cha AFYA YAKO MTAJI WAKO usikose maana tutazungumzia magonjwa yanayo zuilika na Dr kashagate

Ndugu zangu wapendwa katika Bwana,Bwana Yesu asifiwe. Kutoka Nazareth online health clinic Leo tutazungumzia ugonjwa una...
04/08/2019

Ndugu zangu wapendwa katika Bwana,Bwana Yesu asifiwe. Kutoka Nazareth online health clinic Leo tutazungumzia ugonjwa unaosumbua wanaume ewe kaka, kijana, mzee karibu bila kusahau Mama zetu karibu ni UGONJWA WA TEZI DUME( BENIGN PROSTATE HYPERPLASIA)BPH
TEZI DUME (BPH) Nini ni ugonjwa unaoshambulia wanaume kwenye TEZI kutokana na kukua kwa tezi kutokana na seli hai zilizo kwenye njia ya mkojo(prostate gand) na usababishwa na kansa ya tezi aina prostate gand zamani ulijulikana K**a ugonjwa wa wazee kuanzia miaka 45 na kuendelea kitu ambacho ni tofauti na sasa sasahivi ata vijana kuanzia miaka 25 wanapata.

DALILI ZAKE:πŸ’TEZI DUME(BPH)
πŸ€”-1.Kukojoa mkojo kwa shida hii utokana na kuzibwa kwa njia ya mkojo urethra
2.kupata maumivu wakati wa kukojoa na yanakua makali
3.Kumaliza kukojoa na kuhisi kibofu bado kina mkojo
4.Kukojoa mara kwa mara
5.Kupungua kwa nguvu za kiume
6.kushindwa kukojoa wakati mkojo umekuba
7.kuchelewa kukojoa wakati unasukuma mkojo utoke
8.kutokwa na matone matone ya mkojo wakati umemaliza kukojoa na umeisha vaa nguo na kupelekea kulowana kwa suruali na kumpelekea mwanaume kuaibika mbele za watu.
HASARI ZA TEZI DUME πŸ™„
1. Kupoteza nguvu za kiume
2.kuharibu Figo kutoka na urea kukaa kwenye kibofu kwa mda mrefu na kusababisha backflow ya mkojo kwenye figo.
3. Kutengezwa kwa mawe kwenye kibofu kutoka na urea
VIPIMO VYAKE
1.kipimo Cha kwanza NI manure kwa kuingiza kidole kwenye shehemu ya ajakubwa kubwa.(Digital re**al examination)
2.utumiajo wa utrasund hii usaidia kuju ukubwa tezi
MATIBABU YAKE
Nikwa kufanyiwa operation na kuondoa tezi
KINGA YA TEZI DUME
Kupuguza vyakula vyenye chemikali na kutupigia
Sm06891490

Bwana napewesifa:ndugu zangu katika kipindi Cha Leo ningependa kuzungumzia Nini hasa maana ya KISUKARI lakini litakua so...
02/08/2019

Bwana napewesifa:ndugu zangu katika kipindi Cha Leo ningependa kuzungumzia Nini hasa maana ya KISUKARI lakini litakua somo lijalo leo tuone kitu kidogo katika somo la
LIFE EXPECTANCY
Maana yake ni umri ambao watu katika jamii flani uzali na kuishi gawa kwa umri ambao vifo utokea najua kwa kiswahili itakuwia ngumu kwa kingereza(motarity rate per mobility rate) hii ni maana utasikia umri wa mtanzani wa kuishi ni miaka 50 kwa mwanaume na 55 kwa mwanamke hahaha ujaelewa bado somo inapatikanaje tuje kitahalamu ndo unahanza kuelewa. Ukichukua umri wa watu idadi yao kuzaliwa mpaka uzeeni ukagawa kwa idadi vifo vinavyo tokea chini ya miaka mitano ndo kilikua kisababishi kikubwa kushusha life expectancy ya mtanzania kabla ya miaka ya 2000s tulikua ni miaka 45 KE na 40 ME so baada ya kupunguza vifo chini ya miaka 5 ndo tulipanda mpaka 55 KE na 50 ME (Kuna nchi life expectancy ni miaka 85 KE na 80 ME ni nchi ya japani ambayo inaongoza USA ni miaka 75 KE na 70 ME)
EBU TUANGALIE VISABABISHI VYILIVYO KUWA VINASHUSHA LIFE EXPECTANCY; K**a tulivyo hona ni vifo vya watoto chini ya miaka 5 ambavyo vili sababishwa na magonjwa K**a
a) pneumonia b) malaria c) lishe c) na magonjwa yanayo zuhilika kwa chanjo K**a polio ukosefu wa vitamin na kwa watu wazima ni K**a ifuatavyo maan vifo ndicho kisababishi kikubwa Cha kushusha life expectancy sababu kubwa kwa watu wakubwa ni magonjwa K**a malaria, Ajari ,ukimwi Saratani,MAGONJWA YASIO YA KUAMBUKIZWA K**A uzito mkubwa ( obesity) ,shinikizo la damu(hypertension) KISUKARI ambalo ndo lengo langu kufundisha Leo Ili kukwepa tatizo ili na ndo maana japani wako juu ni sababu nchi zao wana tumia mbinu moja na ni sheria kwao kutokula Sana vyakula vya viwandani(prossecid food) kufanya mazoezi kitaratibu unatakiwa kufanya mazoezi dakika35 mpaka 40 kwa siku hii inasaidia Sana ndo maana wezetu wazungu wametuachilia mbali kilife experience usijiulize Sana kuhusu USA na japani ni kwasababu USA wanakufa Sana na Saratani kutokana na utumiaji was tumbaku uvutaji wa sigara (ci******es smoking)
Hivyo basi Tanzania ilipo hona life expectancy iko chini ili fanya juhudi zifatazo kwa watoto kuanzisha chanjo bure bila malipo kutoa net bure(mosquito treated net) kwa Mama mjanzito na mtoto kutoa uduma za mama mjanzito bure kuepuka vifo vya hakina Mama kazi ni kwako kubadirika kufanya mazoezi
Mazoezi yanafaida nyingi mwilini em tutazame faida za mazoezi kusaidia mzunguko mzima wa damu , upunguza uzito mkubwa (obesity) ambao uletereza magonjwa K**a shinikizo la damu( hypertension) waswahili uita pressure, uleta kisukari (Diabetic) hii pia usababishwa na kura vya protein kwa wingi bila kufanya mazoezi watanzania wengi atuna utamaduni wa mazoezi pia tusifichane tuna Kula mlo was aina moja K**a NI kilo 2 za nyama tunakula zote Jambo ambalo sio sawa tunatakiwa Kula mlo kamili yaan balanced diet maan yake Nini moo uwe na protein kiasi ,vitamin ,wanga ,chunvi kiasi ( mineral salt), mafuta yasiokua na korestol na maji
Bado usichoke magonjwa ya kuambukiza nayo yapo haya ni K**a tulivyo hona malaria tumia net na wahi tiba mapema , ukimwi kua mwaminifu au ukishindwa kabisa kondomu ziusike Ajari kwa upande was serikari inapambana kuweka vizibiti mwendo 50KM per h na kupiga marufuku kuendesha gari umelewa au kunywa pombe
Mpaka Happ najua nitakua nimejibu swali lako la kwann wanasema umri wa mtanzania wanasema kuishi ni miaka 45 zamani na Babu yangu ana Mika 90 I'll ndo jawabu.
Usiache KULIKE na KUSHARE page yet kutoka Nazareth online health clinic katika AFYA YAKO MTAJI WAKO na Dr Datius Michael Kashagate tukutane kipindi kijacho na Mungu awatangulie katika kufanikiwa maswali karibu

Nazoea mazuri ya jioni kwa afya imara
29/07/2019

Nazoea mazuri ya jioni kwa afya imara

Address

Tanzania
Njombe
0255

Opening Hours

Monday 08:00 - 09:00
Sunday 08:00 - 09:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO MTAJI WAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YAKO MTAJI WAKO:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram