Afya Holic

Afya Holic MSHAURI WA AFYA NA MFUMO WA MWILI.....���

10/10/2025

Usipuuze ushauri unaopatiwa na daktari au mshauri wa afya juu ya changamoto ya acid reflux uliyonayo

Dawa unazotumia zinaweza kukusaidia kwa 60% pekee na 40% ni vyakula unavyokula kila siku.

Hii ni kwasababu tatizo la acid reflux Lina uhusiano na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

K**a unahitaji elemu zaidi, ushauri au msaada wa kimatibabu juu ya changamoto yako ya acid reflux unaweza kunitafuta kupitia namba:- 0612 113 #809 ili niweze kukusaidia

Dr_Paul na Afya ya Mifupa na Maungio bila upasuaji.📞 0612 113 809Tatizo la maumivu ya viungo (joints) limezidi kuwa kubw...
14/04/2024

Dr_Paul na Afya ya Mifupa na Maungio bila upasuaji.
📞 0612 113 809

Tatizo la maumivu ya viungo (joints) limezidi kuwa kubwa na kuathiri idadi kubwa ya watu kutokana na mabadiliko ya mtindo wa maisha. Umri mkubwa, uzito uliopimdukia na ajali ni miongoni mwa sababu zinazopelekea tatizo hili kutokea, ambapo husababisha tishu za mwili kuwa kavu na kupoteza ufanisi wa utendaji kazi wake.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu kutokana na maumivu makali wanayoyapata.....

Pia limepelekea watu k**a wanamichezo na watu wengine kushindwa kuendelea na shughuli za kiuchumi na wengine kupata ulemavu (vilema) vya maisha kutokana na kukaa na tatizo kwa muda mrefu na kulichulia kuwa la kawaida kwa kutumia dawa za kupunguza maumivu (ant-pain) ambazo haziwapi matokeo ya kudumu.

Changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele ama kutumia gharama kubwa kwa ajili ya upasuaji.

Hata hivyo, watu wengi wamekuwa wakitafuta suluhu ya kudumu pasipo mafanikio

K**a wewe ni miongoni mwa watu wanaohangaika kupata suluhu ya kudumu na kwa gharama nafuu, usihangaike tena....

Habari njema kwa ajili Yako ni kwamba, unaweza kutumia tiba asilia na virutubisho rishe (food supplements) kutatua kabisa changamoto yako. Hii ndiyo tiba iliyowasaidia watu wengi waliohangaika kwa muda mrefu pasipo kuwa na ufumbuzi. Karibu tukuhudumie. AHSANTE

📞 0612 113 809

Dr_Paul na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.📞 0612113809Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sa...
24/12/2023

Dr_Paul na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
📞 0612113809
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..

Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)

Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.

Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
📞 0612113809

ZIJUE CHANGAMOTO ZA VIUNGO  NA MIFUPA NA ATHARI ZAKE:Changamoto ya VIUNGO na MIFUPA ni changamoto ambayo hivi karibuni i...
13/12/2023

ZIJUE CHANGAMOTO ZA VIUNGO NA MIFUPA NA ATHARI ZAKE:

Changamoto ya VIUNGO na MIFUPA ni changamoto ambayo hivi karibuni imekuwa ikiwakabili watu wengi (wa Kila rika)

Changamoto hii husababishwa na sababu mbalimbali k**a vile;
Kulika kwa gegedu(cartilage), kuisha kwa uteute(synovial fluid), upungufu wa madini ya Calcium n.k

Changamoto ya VIUNGO na MIFUPA inaweza kugawanywa katika makundi manne kulingana na sababu kuu iliyopelekea tatizo husika.

1. OSTEOARTHRITIS

Hili ni tatizo linaloathiri VIUNGO linalosababishwa na UMRI wa mtu husika.....
Inakadiriwa kuwa watu wenye UMRI kati ya miaka 30-45 na kuendelea wapo kwenye hatari zaidi ya kupatwa na tatizo hili kwani wanakuwa na upungufu wa virutubisho muhimu ambavyo ni mahsusi kwa ajili ya mifupa......

Tatizo hili linaathiri VIUNGO na baadae huathiri MIFUPA.....
Tatizo hili hutokea baada ya gegedu(cartilage) kulika kwenye VIUNGO na uteute(synovial fluid) kuisha.

OSTEOARTHRITIS huathiri VIUNGO mbalimbali vya mwili k**a vile nyonga, magoti, pingili za uti wa mgongo n.k.

SABABU ZINAZO ONGEZA UWEZEKANO WA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS

> Uzito uliopindukia
> Historia ya familia
> Ajali
> Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wanamazoezi nk.
> Kufanya kazi ngumu hasa za kusimama kwa muda mrefu.

2. RHEUMATIC ARTHRITIS

Tatizo hili hutokea pale ambapo Kinga ya mwili hugeuka na kutafuna gegedu(cartilage) na kwasababu hiyo tatizo hili hufahamika kwa lugha ya kitaalamu k**a AUTOIMMUNE.......

Tatizo hili linaweza kuwapata watu wa rika zote (watoto, vijana na watu wazima)

NB:
Sababu ya tatizo hili SIYO upungufu wa virutubisho, bali ni Kinga ya mwili kushambulia gegedu (cartilage) hivyo mtu anayesumbuliwa na tatizo hili HATAKIWI kutumia dawa za kuongeza virutubisho

3. OSTEOPOROSIS
Hili ni tatizo linalosababishwa na upungufu wa madini ya Calcium yanayosaidia mifupa kuwa imara.....

Hivyo upungufu wa madini haya(Calcium) hupelekea viungo k**a vile mifupa ya mguu na uti wa mgongo kuvunjika kwa urahisi.

4. GAUT ARTHRITIS

Hili ni tatizo linalosababishwa na Uric acid (kemikali inayotokana na protini ya nyama)

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA:

1. MAGOTI
> Maumivu kwenye magoti
> Magoti kushindwa kujikunja kutokana na maumivu
> Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
> Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti

2. MGONGO/ UTI WA MGONGO
> Maumivu kwenye mgongo
> Kushindwa kuinama
> Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
> Ganzi kwenye mapaja au miguu.

3. BEGA
> Kushindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye BEGA

MUHIMU:

Katika harakati za kutatua changamoto hii, watu wengi wemekuwa wakitumia dawa za kutuliza maumivu ambazo huwapa nafuu ya muda na baadae maumivu kurejea tena.......

Kwasababu dawa hizi hazina uwezo wa kuzalisha gegedu (cartilage) na uteute (synovial fluid) ambazo ndiyo sababu kubwa ya tatizo.

Pia, baadhi Yao hushauriwa kufanya mazoezi ambayo huwasaidia kwa muda na baadae tatizo kujirudia tena.

Je, wewe ni mmoja wa watu wenye changamoto mojawapo kati ya hizo👆👆👆 na unahitaji msaada?

Tutafute kupitia:
Whatsapp/ Normal Call(simu)/ Message

Kwa Number: +255 612 113 809 kwa msaada zaidi

Address

Malimbe Street
Nyegezi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Holic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram