AFYA NI MTAJI

  • Home
  • AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI afya salama hukaa kwenye mwili salama.

Hello unawasiliana na Dr  Hangi Bakari  Karibu Sana Gcat Hosptal.Kipimo Cha Mfumo  Mzima Wa uzazi ni Tsh 20,000/=Tu𝐓𝐮po ...
20/02/2025

Hello unawasiliana na Dr Hangi Bakari Karibu Sana Gcat Hosptal.Kipimo Cha Mfumo Mzima Wa uzazi ni Tsh 20,000/=Tu
𝐓𝐮po 𝐦𝐢𝐤𝐨𝐚 𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢. 𝐣𝐞 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐮𝐤𝐨 𝐦𝐤𝐨𝐚 𝐠𝐚𝐧𝐢?

𝐂𝐨𝐧𝐟𝐢𝐫𝐦 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐮𝐧𝐚𝐲o𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐚 𝐮𝐩𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐲𝐚 𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐚 𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐨𝐟𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐨𝐢𝐭𝐨𝐚 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 siku 3 tu

𝐊𝐖𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐀𝐑𝐀𝐊𝐀 𝐏𝐈𝐆𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 0717151601

PIA UNAWEZA KUBONYEZA LINK HAPA CHINI NA UKAJIUNGA KWENYE GROUP LETU LA AFYA
https://chat.whatsapp.com/J2F2rd0EUHGDIaJFPrV5aZ

KARIBU SANA🤝

04/02/2025

K**A UNASUMBULIWA NA TUMBO LA CHINI YA KITOVU UPANDE WA KUSHOTO NA KULIA... BASI NJOO SASA UPATE SULUHISHO.....
KWAMAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU 0717151601 AU WHATSAPP
Nyote munakaribishwa

01/02/2025

UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
0717151601

NINI MAANA YA PID?
PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE) ni ugonjwa unaoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke, ikiwemo mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi, o***y, na sehemu za pelvis.

Ugonjwa huu hutokea pale ambapo BAKTERIA wanapovamia sehemu za uzazi, hasa baada ya maambukizi ya zinaa k**a vile GONORRHEA au CHLAMYDIA.

CHANZO CHA PID
1. Bakteria kutoka kwa maambukizi ya zinaa (STIs), k**a:
- Gonorrhea.
- Chlamydia.

2. Mazingira ya uzazi:
- Maambukizi yanaweza kuingia kwenye mfuko wa uzazi kupitia vijidudu vinavyotoka kwenye vaginal fluids.
- Upasuaji wa uzazi au (D&C) (Dilation and Curettage) unaweza pia kuruhusu bakteria kuingia kwenye sehemu hizi.

3. K**a wanawake wanatumia njia za uzazi wa mpango k**a (IUD) (Intrauterine Device), wana hatari ya kupata PID kutokana na maambukizi ya bakteria.

DALILI ZA PID
1.Maumivu ya tumbo au maumivu ya chini ya tumbo.
2. Mabadiliko ya ute wa kizazi (pamoja na kuwa na harufu mbaya).
3. Kutokwa na damu kati ya mzunguko wa hedhi au baada ya tendo la ndoa.
4. Homa.
5. Maumivu wakati wa kukojoa.
6. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
7. Upungufu wa hamu ya kula.
8. Kichomi au uchovu.

MADHARA YA PID
1. Uzazi wa mtoto:
PID inahusishwa na kuongezeka kwa hatari ya kushindwa kushika ujauzito. Madhara haya yanatokea kutokana na BLOCKAGE kwenye mirija ya uzazi, ambapo mayai hayawezi kukutana na mbegu.

2. Ectopic pregnancy:
Hii ni hali ambapo ujauzito unapozalika kwenye mirija ya uzazi badala ya kwenye mfuko wa uzazi, na hii ni hatari sana kwa maisha ya mama.

3. Maambukizi sugu:
Ikiwa PID haitatibiwa, inaweza kusababisha maambukizi sugu ambayo yanaweza kudumu kwa muda mrefu na kusababisha madhara mengine kwa viungo vya uzazi.

4. Saratani ya kizazi:
Uvimbe wa seli za kizazi unaweza kutokea kutokana na maambukizi ya bakteria na hatimaye kuwa saratani.

5. Kupoteza uzazi

kwa msaada
nipigie simu 0717151601
ua nitafute whatsapp

31/01/2025

MVURUGIKO/KUTOKUWA SAWA MFUMO WA HORMONE KWA WANAWAKE (HORMONAL IMBALANCE)

-Tatizo hili hutokea pale ambapo kuna kiasi kingi au kidogo zaidi cha hormone kupita kiasi katika mishipa ya damu.Kutokana na umuhimu wa kazi ya hormones katika mwili,mabadiliko kidogo ya hormones hupelekea madhara katika mwili wote.

HORMONES NI NINI?
-Hormones ni Kemikali ambazo huzalishwa na Tezi katika mfumo wa Hormone.Hormones husafirishwa kwa njia ya damu kutoka kwenye Tezi mpaka kwenye viungo mbalimbali vya mwili (tissues & Organs) kwaajili ya kupeleka taarifa ya nini kifanyike kwa wakati husika.

_DALILI ZA MABADILIKO YA MFUMO WA HORMONES KWA WANAWAKE_

1.🖇️ Kukosa raha kiakili
2.🖇️Kupata Choo kigumu au Kuharisha mara kwa mara.
3.🖇️ Mvurugiko wa mzunguko wa hedhi.
4.🖇️ Maumivu ya tumbo(chini ya kitovu),mgongo na kiuno wakati wa hedhi.
5.🖇️ Kukosa/kupungua hamu ya tendo la ndoa na kupelekea kukosa ladha la tendo la ndoa
6.🖇️Kushindwa kupata ujauzito.
7.🖇️Kukosa usingizi.
8.🖇️ Kupungua uzito au kuongezeka uzito kusikoeleweka.
9.🖇️Kuota nywele mwilini kupita kiasi
10.🖇️Miwasho kwenye Ngozi
12.🖇️ Kuwa mchovu mara kwa mara
13.🖇️ Kuhisi kiu mara kwa mara
14.🖇️ Kukojoa mara kwa mara
15.🖇️ Kuhisi njaa mara kwa mara.
16.🖇️ Kutokwa jasho mara kwa mara.
17.🖇️ Ngozi kuwa kavu.
Nakadhalika.....

_SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA KUVURUGIKA KWA MFUMO WA HORMONES_

1.🖇️Ulaji duni
2.🖇️ Msongo wa mawazo
3.🖇️ Kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi
4.🖇️Kupata uvimbe kwenye Tezi ya Pituitary.
5.🖇️ Kutanuka kwa O***y na kuwa na vivimbe kwenye O***y/mfuko wa mayai (PCOS).
6.🖇️Kunyonyesha (Breastfeeding)
7.🖇️Kutumia njia za kuzuia kuzaa k**a vile vidonge(P2),kuweka vijiti nk.
8.🖇️Kufikia umri wa kukoma kupata ujauzito (Menopause)

Kwa msaada nipigie 0717151601 au nicheki whatsap.

ETERNAL INTERNATIONAL HEALTH INAKUJULISHA KWAMBA KUNA MADAKTARI (SPECIALISTS) WA CHECK UP YA MWILI MZIMA KWA GHARAMA NAF...
30/01/2025

ETERNAL INTERNATIONAL HEALTH INAKUJULISHA KWAMBA KUNA MADAKTARI (SPECIALISTS) WA CHECK UP YA MWILI MZIMA KWA GHARAMA NAFUU KABISA YA SHILINGI ELFU 30,000/= TU.
HUDUMA ZOTE ZINAPATIKANA HAPA KWA GHARAMA NAFUU KABISA.....
TUNAPATIKA TANZANIA NZIMA ILA KWA ZANZIBAR TUPO MWANAKWEREKWE.. KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NO: 0787992359. 0717151601.
WHATSAPP Mr.Hangi on WhatsApp. https://wa.me/255717151601
MR. HANGI BAKARI
ID 1187375

25/01/2025

K**a bado unasumbuliwa na magonjwa yafuatayo👇
⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️
⏺️KISUKARI
⏺️PRESHA
⏺️ MOYO
⏺️UZAZI KWA WANAWAKE
⏺️NGUVU ZA KIUME
⏺️MIFUPA
⏺️VIDONDA VYA TUMBO, ⏺️BANDAMA
⏺️TEZI DUME
⏺️PUMU
⏺️KANSA
⏺️BAWASILI
NAKADHALIKA➡️HUDUMA ZOTE ZINAPATIKANA✅ HAPA KWA GHARAMA NAFUU KABISA.....

🆕LAKINI TUNA MADAKTARI (SPECIALISTS) WA CHECK UP YA MWILI MZIMA KWA GHARAMA NAFUU KABISA🆓YA SHILINGI ELFU 30,000/=

Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba:

0717151601

https://chat.whatsapp.com/J2F2rd0EUHGDIaJFPrV5aZ

23/01/2025

Address

Paje

KUSINIUNGUJA

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram