Mfamasia Wako Mtandaoni

  • Home
  • Mfamasia Wako Mtandaoni

Mfamasia Wako Mtandaoni Ni ukurasa maalumu kwajili ya kukupasha habari zinazohusu Afya na Madawa (Medicines). Karibu ujifunze

Kuna mambo ambayo Madaktari wengi watakuambia ili hili ninalo kuambia hapa hutalisikia. Imekua ikijulikana kwa miaka min...
30/06/2023

Kuna mambo ambayo Madaktari wengi watakuambia ili hili ninalo kuambia hapa hutalisikia. Imekua ikijulikana kwa miaka mingi kuwa kitu fulani ni kibaya au kitu fulani sio salama kwa mtu fulani. Hebu ambatana nami nikufahamishe
1. Wagonjwa wenye magonjwa ya moyo wengi wamekua wakishauriwa au kuzuiwa kutumia chumvi ya mezani sababu ikiwa ni kwamba inasababisha shinikizo la damu kuwa juu (High Blood pressure, Hypertension). Je, ni kweli chumvi ni mbaya kiasi hicho au nini hasa kina sababisha?? Nikurahisishie tu, Chumvi ya mezani yaani chumvi unayoongeza wakati mnakula haina tofauti yoyote na Chumvi iliyochemshwa au kupikwa. Hakuna elimu ya kikemia inayoonyesha dhahiri utofauti huo ni msingi kiasi cha kuzingatia?. Ngoja nikuambie, Chanzo kikubwa cha magonjwa mengi haya ya moyo na mengine ambayo sio ya kuambukiza husababishwa na kitu kiitwacho SUKARI. Sukari ubayotumia kwenye chakula, sukari unaikuta kwenye vinywaji baridi na hata kwenye biskuti. Sukari ndio chanzo cha matatizo, k**a utaweza kuiondoa sukari maishani mwako basi utakua umeshinda na inawezekana magonjwa ya kuambukiza yakapotea kabisa maishani mwako.

2. Watu wamekua wakiambiwa wasile nyama nyekundu hasa hasa wagonjwa wenye ugonjwa gauti au ugonjwa magoti. Hii imekua hivyo kwa kile ambacho tafiti huko mwanzo ilionekana hivyo. Lakini tafiti zinaonyesha kuwa, Sukari hii inayoitwa FRUCTOSE ndio shida na ndio chanzo kikubwa cha ugonjwa wa magoti (Gauti). Ni ukweli usiopingika, Madaktari wengi wamekua wakiwashauri wateja ama wagonjwa wao kuhusu kuacha kutumia nyama nyekundu eti tu kwa sababu wanaogopa kupata gauti. Hii si kweli, nyama nyekundu ina mchango kidogo sana kupelekea kupata ugonjwa huu bali sukari hii iitwayo Fructose. Sukari hii utaipata kwa wingi kwenye vyakula k**a; Asali(kwa kiasi kikubwa), Ndizi, na vinywaji vya viwandani ambavyo hutengenezwa kwa kuongeza Fructose kukifanya kinywaji kuwa kitamu zaidi. Hivyo nikuombe tu ufahamu kuwa nyama ni moja ya chakula muhimu sana kwani kuna baadhi ya virutubisho hatuwezi kuvipata kwenye chakula kingine isiopokuwa nyama nyekundu. Ujumbe wabgu ni kwamba, usiache kula nyama nyekundu ukiogopa kupata gauti, punguza kula Vyakula vilivyo na sukari hiyo iitwayo Fructose. Zingatia namna nzuri za kuzingatia wakati wa kupika au kuandaa nyama kwa ajili ya chakula.

K**a umependa makala hii fupi acha ujumbe kwenye comment na mimi nitajibu na uulize swali ambalo ungependa niliweka hapa. Shirikisha marafiki zaidi na zaidi.

Je, unaujua ugonjwa hatari uitwao Marburg, Ugonjwa huu ni ugonjwa hatari sana. Bonyeza link hapo Chini ukajifunze na kuf...
14/04/2023

Je, unaujua ugonjwa hatari uitwao Marburg, Ugonjwa huu ni ugonjwa hatari sana. Bonyeza link hapo Chini ukajifunze na kufahamu mengi ikiwemo namna ya kujikinga.

UFAHAMU UGONJWA WA MARBURG April 04, 2023  UGONJWA WA MARBURG Kuwepo kwa ugonjwa huu nchini.Mnamo tarehe 21 machi mwaka huu (2023), serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Afya, kwa mara ya kwanza ilitangaza mlipuko wa ugonjwa wa Marburg Virus nchini. Ugonjwa huu ulibainika kuwepo huko wilayani Buk...

NYAMA NYEKUNDU INA SHIDA MAHALI, JIFUNZE NAMNA YA KUEPUKA MAGONJWA YATOKANAYO NA NYAMA
25/09/2022

NYAMA NYEKUNDU INA SHIDA MAHALI, JIFUNZE NAMNA YA KUEPUKA MAGONJWA YATOKANAYO NA NYAMA

Tafsiri ya nyama na Aina zake

JE MUONEKANO WA KUCHA ZAKO UNASEMA NINI JUU YA AFYA YAKO KIUJUMLA..! USIPITE BILA KUSOMA HUTOJUATIA..🧑🏾‍⚕️
25/09/2022

JE MUONEKANO WA KUCHA ZAKO UNASEMA NINI JUU YA AFYA YAKO KIUJUMLA..! USIPITE BILA KUSOMA HUTOJUATIA..🧑🏾‍⚕️

Kucha ni nini ?

Je, Unafahamu ni kitu gani kinapelekea mkojo wa mtu aliyekunywa kilevi kutoa harufu kali ? Ambatana nami hapa Chini k**a...
23/08/2022

Je, Unafahamu ni kitu gani kinapelekea mkojo wa mtu aliyekunywa kilevi kutoa harufu kali ?
Ambatana nami hapa Chini k**a ungependa kujifunza.! Karibuni kwa Maswali pia.

To follow Twitter kwenye habdle hii

Habari za wakati tena mpenzi msomaji wa blogi yako ya “ZIJUE DAWA ZAKO” ambayo kila siku inakuletea elimu mpya inayohusu...
12/06/2022

Habari za wakati tena mpenzi msomaji wa blogi yako ya “ZIJUE DAWA ZAKO” ambayo kila siku inakuletea elimu mpya inayohusu dawa za binadamu. Mfamasia wako hewani leo ninataka kukupatia ufahamu juu ya dawa zinazotumika kupoza maumivu kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo. Labda kidogo nigusie kuhusu vidonda vya tumbo. Mfumo mzima wa njia ya chakula ambayo kwa kitaalamu unaitwa “GASTROINTESTINAL SYSTEM”, mfumo huu wa chakula unafanya kazi unafanya kadha wa kadha....

  Habari za wakati tena mpenzi msomaji wa blogi yako ya “ZIJUE DAWA ZAKO” ambayo kila siku inakuletea elimu mpya inayohusu dawa za binadamu.  Mfamasia wako hewani leo ninataka kukupatia u…

01/05/2022

Habari yako rafiki!
Tunakukumbusha kuwa Afya ya mwili wako inategemea mambo makuu matatu;
1. Kiasi cha Usingizi unaopata
2. Aina ya Chakula unachokula kila siku, hapa ni pamoja vinywaji unavyotumia.
3. Mazoezi au kazi unayofanya kila siku. Jitahidi kufanya mazoezi mara kwa mara kwa faida ya Afya ya Mwili wako angalau siku tatu kwa wiki.

Tunakutakia Mei mosi Njema

Tunakutakieni Pasaka Njema na Ikawe yenye Baraka kwenu nyote na Familia zenu.Mkiwa mnasherehekea Pasaka, tunawashauri mf...
18/04/2022

Tunakutakieni Pasaka Njema na Ikawe yenye Baraka kwenu nyote na Familia zenu.
Mkiwa mnasherehekea Pasaka, tunawashauri mfanye yafuatayo
- Msitumie/Mnywe Pombe kistarabu🍻
- Kutotumia Sigara 🚭
- Mkawe na Kiasi katika Kila mnalofanya. 🥘

Usisahau kutembelea tovuti yetu Kupata Elimu mbali za Kiafya
www.mfamasiawakohewani.blogspot.com

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mfamasia Wako Mtandaoni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mfamasia Wako Mtandaoni:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram