Afya Uzazi

Afya Uzazi ➡️Kusafisha mirija ya uzazi
➡️Kuzuia Maambukizi ya PID ,FUNGUS na UTI SUGU
➡️ Kuwa na hamu ya tendo

Huu ugonjwa unaitwa PIDPELVIC INFLAMMATORY DISEASEPID ni maambukizi katika via vya uzazi, maambukizi haya yana tabia ya ...
27/11/2023

Huu ugonjwa unaitwa PID
PELVIC INFLAMMATORY DISEASE

PID ni maambukizi katika via vya uzazi, maambukizi haya yana tabia ya kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine ndio maana ni muhimu kujitibu mapema pale tu unapogundua umepata maambukizi hayo. HUU NI UGONJWA WA ZINAA

DALILI YA KUWA NA PID
🌾Kutokwa na uchafu ukeni unaweza kuwa wa kijani, njano na wakati mwingine unakuwa mweupe k**a mtindi.
🌾Maumivu wakati wa tendo la ndoa wakati mwingine hupelekea kuvuja kwa damu wakati au baada ya tendo la ndoa.
🌾Sehemu za uke kwa laini sana.
🌾Maumivu ya nyonga.
🌾Maumivu chini ya tumbo.
🌾Kujihisi ni mjamzito haliyakuwa si mjamzito.

JE PID UNAWEZA KUUPATA KWA NJIA ZIPI?
🌵Ngono (kujamiiana) ikiwa mpenzi mmoja anao anaweza kumwambukiza mwenziwe kupitia tendo la ndoa.
🌵Wakati wa kujifungua
🌵Wakati wa kutoa mimba ikiwa hujapata huduma sahihi huweza kupata maambukizi haya.
🌵Kutia vitu visivyo salama ukeni kwa lengo la kubana uke.
🌵Kuchangia nguo za ndani za mtu aliyekuwa na maambuki

Address

Sinza

16102

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Uzazi:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram