Medical drugs health care

Medical drugs  health care The purpose of this page is for the first people who want to be a heroes in the world

17/09/2025
⭕🤦🏻‍♂️  CHUKUA DAKIKA MOJA  SOMA  KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA K...
22/05/2025

⭕🤦🏻‍♂️ CHUKUA DAKIKA MOJA SOMA KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕

➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA KUKIMBIZWA HOSIPITALI KWA TATIZO AMBALO UNAUWEZO WAKULITATUA MAPEMA?
➖KWANINI UNASHINDWA KUUTHAMINI MWILI WAKO WAKATI NDIO UNAOKUFANYA UFANIKIWE?

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.

💌 KARIBU UFANYE CHECKUP YA MWILI MZIMA KWA 20,000 TU
🔰 HII NI OFA KWA AJILI YAKO.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe katika ofisi zetu
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa 30000 tu

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 +255750666774

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp https://wa.me/message/EH762NL4UTVWN10750 666 774

BAWASIRIBawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwaUgonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba ...
05/05/2025

BAWASIRI

Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.

Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.

Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.

SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI

Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;

(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.

Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

kupata kinyesi chenye damu

kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
~ matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI bawasiri fluid na bawasiri powder hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

HUATHIRI KISAIKOLOJIA

MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍⭕🤦🏻‍♂️ CHUKUA DAKIKA MOJA SOMA KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕

➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA KUKIMBIZWA HOSIPITALI KWA TATIZO AMBALO UNAUWEZO WAKULITATUA MAPEMA?
➖KWANINI UNASHINDWA KUUTHAMINI MWILI WAKO WAKATI NDIO UNAOKUFANYA UFANIKIWE?

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.

💌 KARIBU UFANYE CHECKUP YA MWILI MZIMA KWA 30000 TU
🔰 HII NI OFA KWA AJILI YAKO.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe katika ofisi zetu
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya/ Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa 30,000 tu

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 +255750666774

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp https://wa.me/message/EH762NL4UTVWN10750 666 774

03/05/2025

⭕🤦🏻‍♂️ CHUKUA DAKIKA MOJA SOMA KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕

➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA KUKIMBIZWA HOSIPITALI KWA TATIZO AMBALO UNAUWEZO WAKULITATUA MAPEMA?
➖KWANINI UNASHINDWA KUUTHAMINI MWILI WAKO WAKATI NDIO UNAOKUFANYA UFANIKIWE?

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.

💌 KARIBU UFANYE CHECKUP YA MWILI MZIMA KWA 20,000 TU
🔰 HII NI OFA KWA AJILI YAKO.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe katika ofisi zetu
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa 20,000 tu

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 +255750666774

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp https://wa.me/message/EH762NL4UTVWN10750 666 774

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKENini maana ya shinikizo la damu?Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko ...
10/04/2025

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKE

Nini maana ya shinikizo la damu?

Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu.

Shinikizo la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa Sphygmomanometer

Shinikizo la damu husababishwa na nini?

Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu:

- Uvutaji sigara
- Unene na uzito kupita kiasi
- Unywaji wa pombe
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin

*Uanishaji wa shinikizo la damu

- Presha ya kawaida

BAWASIRIBawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwaUgonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba ...
07/04/2025

BAWASIRI

Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.

Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.

Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.

SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI

Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;

(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.

Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

kupata kinyesi chenye damu

kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
~ matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI bawasiri fluid na bawasiri powder hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

HUATHIRI KISAIKOLOJIA

MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua kabla ya kujua tiba

KWA TIBA NA KINGA YA BAWASIRI

TIBALSHE ZETU ZIMETHIBITISHWA KUWA ZINATIBU MAGONJWA SUGU ZAIDI YA 100.
Je, unasumbuliwa na bawasiri kwa muda mrefu bila kupona na umekata tamaa kabisa!?

Tibalishe zetu zimetengenezwa na kampuni namba moja duniani ya tibalishe kutokea UFILIPINO inayojulikana k**a Nature's Way, ambayo ina zaidi ya Madaktari 200 ambao ni wataalamu wa mimea tiba, matunda na mboga mboga.

TIBALISHE ZETU ZINA ZAIDI YA VIRUTUBISHO 22,000 AMBAVYO NI
MCHANGANYIKO WA
- Vitamini/Madini 29
- Amino Acid 18
- Vyakula vyenye kijani 14
- Mchanganyiko wa matunda aina 12
- Mchanganyiko wa mbogamboga aina 12
- Mchanganyiko wa uyoga aina 12
- Enzyme zinazohusika na umeng’enyaji wa chakula 12
- Mimea na viruubisho Maalum 12
-Tindikali muhimu za mafuta 10
- Virutubisho vya kuongeza kuishi
- Virutubisho vya kuondoa uzee

TIBALISHE Zetu zimethibtishwa kuwa zinasaidia na kutibu kabisa watu wanaosumbuliwa na Tatizo hili la BAWASIRI

K**a wewe, ndugu yako au jirani yako ndiye anayesumbuliwa tafadhali msaidie kwa kumpa habari hizi.Kwa watu wa mikoani tunatuma pia.
Tunapatikana Dar es salaam,

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO Shirika la Afya  kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA  OFA KWA WATU WATA...
24/03/2025

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU,,Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 ✅, ✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa, ✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari ✅Pumu
✅Stroku. ✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa, ✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi, ✅Figo, ✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri, ✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba
0750666774

Kwa Whatsapp gusa Link hapa chini 👇VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU,,Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 ✅, ✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa, ✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari ✅Pumu
✅Stroku. ✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa, ✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi, ✅Figo, ✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri, ✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba
0750666774

Kwa Whatsapp gusa Link hapa chini 👇
https://https://wa.me/message/EH762NL4UTVWN1

Address

Tabata
Tabata

Telephone

+255750666774

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Medical drugs health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Medical drugs health care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram