Medical drugs health care

Medical drugs  health care The purpose of this page is for the first people who want to be a heroes in the world

ZKOON SPECIAL CLINICNi taasisi inayomilikiwa na Wajelumani ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa hu...
14/01/2026

ZKOON SPECIAL CLINIC

Ni taasisi inayomilikiwa na Wajelumani ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.20,000tu
Pia wanatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari

Tupo Dar es salaam, Mwanza,Arusha,Dodoma, Mbeya,tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba 0750666774

*https://wa.me/0750666774

Acid Reflux ni nini?Ni hali ambapo asidi ya tumbo hupanda juu kurudi kwenye umio (esophagus) badala ya kubaki tumboni.Hi...
19/12/2025

Acid Reflux ni nini?

Ni hali ambapo asidi ya tumbo hupanda juu kurudi kwenye umio (esophagus) badala ya kubaki tumboni.
Hii hutokea pale valvu ya chini ya umio (LES) inapolegea au kushindwa kufunga vizuri.

■Dalili Kuu za Acid Reflux

■Kuchoma kifuani (heartburn) – hisia ya moto kifuani hadi kooni
■Kurudi chakula au maji yenye asidi mdomoni (regurgitation)
■Kukohoa sugu hasa usiku
■Kuvimba koo au maumivu ya koo
■Hisia ya uvimbe kooni
■Kuvuta pumzi kwa shida
■ Meno kuoza au kuharibika

■ Madhara (K**a Haitatibiwa)

==> Esophagitis – vidonda/uvimbe kwenye umio
==>Barrett’s esophagus – mabadiliko ya seli (hatari ya kansa)
==>> Stricture – umio kuwa mwembamba (ugumu kumeza)
==>> Kansa ya umio
==>>Shida za meno & koo

Acid reflux ni tatizo linaloweza kuleta madhara makubwa iwapo halitadhibitiwa.
Dalili kuu: kuchoma kifuani na kurudi kwa chakula mdomoni.

📞 Ikiwa unakabiliwa na changamoto hii, usisite kuwasiliana nami kwa msaada wa kitabibu:
0750666774

17/12/2025

📢 UMUHIMU WA KUPIMA AFYA MAPEMA! 🩺 KWA 30000 TU

🔎 Afya yako ni kipaumbele Kupima afya mapema husaidia kugundua magonjwa au matatizo ya kiafya kabla hayajawa makubwa. Hii inakuwezesha kuchukua hatua sahihi haraka, kuongeza nafasi za kupona, na kuboresha maisha yako.

🔵 Faida za kupima afya mapema:
1. 🚨 Kuzuia matatizo makubwa ya kiafya: Magonjwa k**a shinikizo la damu, kisukari, na saratani yanaweza kutibika zaidi yakigunduliwa mapema.
2. ⏳ Kuokoa gharama za matibabu: Matibabu ya magonjwa yaliyo kwenye hatua za awali huwa nafuu zaidi kuliko yale yanayochelewa kutibiwa.
3. 🧘‍♀️ Amani ya akili: Unapopima afya mara kwa mara, unajua hali ya mwili wako na unaweza kufanya maamuzi sahihi kuhusu mtindo wa maisha.
4. 💪 Kuboresha ubora wa maisha: Afya njema ni ufunguo wa maisha yenye furaha na uzalishaji kazini.

🌱 Usisubiri hadi ugonjwa ukutembelea, chukua hatua SASA kwa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara!

🔔 Jiandikishe kwa uchunguzi wako wa afya leo na tunza maisha yako na ya wapendwa wako! ❤️

UTAKUTANA NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA MAREKANI NA UTURUKI

TUPO DAR MLIMAN CITY ARUSHA
NA MBEA PEKEE

10/12/2025

📢 UMUHIMU WA KUPIMA AFYA MAPEMA! 🩺 KWA 30000 TU

🔎 Afya yako ni kipaumbele Kupima afya mapema husaidia kugundua magonjwa au matatizo ya kiafya kabla hayajawa makubwa. Hii inakuwezesha kuchukua hatua sahihi haraka, kuongeza nafasi za kupona, na kuboresha maisha yako.

🔵 Faida za kupima afya mapema:
1. ==> Kuzuia matatizo makubwa ya kiafya: Magonjwa k**a shinikizo la damu, kisukari, na saratani yanaweza kutibika zaidi yakigunduliwa mapema.

2. ==> Kuokoa gharama za matibabu: Matibabu ya magonjwa yaliyo kwenye hatua za awali huwa nafuu zaidi kuliko yale yanayochelewa kutibiwa.

3. ==> Amani ya akili: Unapopima afya mara kwa mara, unajua hali ya mwili wako na unaweza kufanya maamuzi sahihi kuhusu mtindo wa maisha.

4. ==>Kuboresha ubora wa maisha: Afya njema ni ufunguo wa maisha yenye furaha na uzalishaji kazini.

==>Usisubiri hadi ugonjwa ukutembelea, chukua hatua SASA kwa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara!

==> Jiandikishe kwa uchunguzi wako wa afya leo na tunza maisha yako na ya wapendwa wako!

UTAKUTANA NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA MAREKANI NA CHINA

TUPO DAR MLIMAN CITY ARUSHA
NA MBEA PEKEE

📢 UMUHIMU WA KUPIMA AFYA MAPEMA! 🩺 KWA 30000 TU🔎 Afya yako ni kipaumbele Kupima afya mapema husaidia kugundua magonjwa a...
10/12/2025

📢 UMUHIMU WA KUPIMA AFYA MAPEMA! 🩺 KWA 30000 TU

🔎 Afya yako ni kipaumbele Kupima afya mapema husaidia kugundua magonjwa au matatizo ya kiafya kabla hayajawa makubwa. Hii inakuwezesha kuchukua hatua sahihi haraka, kuongeza nafasi za kupona, na kuboresha maisha yako.

🔵 Faida za kupima afya mapema:
1. ==> Kuzuia matatizo makubwa ya kiafya: Magonjwa k**a shinikizo la damu, kisukari, na saratani yanaweza kutibika zaidi yakigunduliwa mapema.

2. ==> Kuokoa gharama za matibabu: Matibabu ya magonjwa yaliyo kwenye hatua za awali huwa nafuu zaidi kuliko yale yanayochelewa kutibiwa.

3. ==> Amani ya akili: Unapopima afya mara kwa mara, unajua hali ya mwili wako na unaweza kufanya maamuzi sahihi kuhusu mtindo wa maisha.

4. ==>Kuboresha ubora wa maisha: Afya njema ni ufunguo wa maisha yenye furaha na uzalishaji kazini.

==>Usisubiri hadi ugonjwa ukutembelea, chukua hatua SASA kwa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara!

==> Jiandikishe kwa uchunguzi wako wa afya leo na tunza maisha yako na ya wapendwa wako!

UTAKUTANA NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA MAREKANI NA CHINA

TUPO DAR MLIMAN CITY ARUSHA
NA MBEA PEKEE

10/12/2025

📢 UMUHIMU WA KUPIMA AFYA MAPEMA! 🩺 KWA 30000 TU

🔎 Afya yako ni kipaumbele Kupima afya mapema husaidia kugundua magonjwa au matatizo ya kiafya kabla hayajawa makubwa. Hii inakuwezesha kuchukua hatua sahihi haraka, kuongeza nafasi za kupona, na kuboresha maisha yako.

🔵 Faida za kupima afya mapema:
1. 🚨 Kuzuia matatizo makubwa ya kiafya: Magonjwa k**a shinikizo la damu, kisukari, na saratani yanaweza kutibika zaidi yakigunduliwa mapema.
2. ⏳ Kuokoa gharama za matibabu: Matibabu ya magonjwa yaliyo kwenye hatua za awali huwa nafuu zaidi kuliko yale yanayochelewa kutibiwa.
3. 🧘‍♀️ Amani ya akili: Unapopima afya mara kwa mara, unajua hali ya mwili wako na unaweza kufanya maamuzi sahihi kuhusu mtindo wa maisha.
4. 💪 Kuboresha ubora wa maisha: Afya njema ni ufunguo wa maisha yenye furaha na uzalishaji kazini.

🌱 Usisubiri hadi ugonjwa ukutembelea, chukua hatua SASA kwa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara!

🔔 Jiandikishe kwa uchunguzi wako wa afya leo na tunza maisha yako na ya wapendwa wako! ❤️

UTAKUTANA NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA MAREKANI NA CHINA

TUPO DAR MLIMAN CITY ARUSHA
NA MBEA PEKEE

BAWASIRI/KIKUNDU (HAEMORHOIDS)BAWASIRI NI NINI?Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika...
23/10/2025

BAWASIRI/KIKUNDU (HAEMORHOIDS)

BAWASIRI NI NINI?
Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika sinusoid za ateri na vena za njia ya haja kubwa. Ikumbukwe kwamba mifumo hii ya damu ni ya kawaida na kila binadamu anazo. Mifumo hio ya damu ya ndani ya njia ya haja kubwa ikijaa damu ndipo inavimba na inakua bawasiri au vijivimbe laini ndani ya njia hiyo. Watu wengi sana wana bawasiri na kwa kua hazinaga dalili basi hata watu wengi hawajijui k**a wana hali hii.Bawasiri huwapata sana watu kuanzia miaka 30 hadi 65;chini ya miaka 20 au juu ya miaka 70 ni ngumu sana kupata bawasiri. Ikumbukwe kwamba bawasiri zipo sana na k**a hazikupi shida yeyote wala hazihitaji matibabu ya aina yeyote

AINA ZA BAWASIRI

👉BAWASIRI ZA NDANI(INTERNAL HAEMORHOIDS)

👉BAWASIRI ZA NJE(EXTERNAL HAEMORHOIDS)

👉BAWASIRI MCHANGANYIKO(MIXED HAEMORHOIDS)

WALIOPO KWENYE HATARI YA KUPATA BAWASIRI

👉Wanaoharisha sana(diarrhea)

👉Wajawazito( pregnancy)

👉Wanaopata choo kigumu kwa muda mrefu(chronic constipation)

👉Wanaokaa muda mrefu kwenye kiti( prolonged sitting)

👉Watu wenye kiribatumbo(obesity)

👉Wanaofanya mapenzi ya njia ya haja kubwa(a**l in*******se)

👉Wanaonyanyua vitu vizito(Regular heavy lifting)

👉Watu wenye maisha mazuri na wasomi(Higher socioeconomic status)

👉Waliofanyiwa operesheni ya aina yeyote ya mkunduni(Rectal surgery)

👉Wenye magonjwa ya ini(Hepatic disease)

👉Watu wenye saratani ya utumbo mpana(Colon malignancy)

👉Wenye presha ya puru(Elevated a**l resting pressure)

👉Wenye presha ya Ini(Portal hypertension

ATHARI ZA BAWASIRI
🔹Upungufu wa damu mwilini
🔹Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
🔹kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
🔹kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
🔹kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
🔹Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

🔹Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
🔹kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
🔹Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
🔹Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

TUPIGIE 0750666774

17/09/2025
⭕🤦🏻‍♂️  CHUKUA DAKIKA MOJA  SOMA  KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA K...
22/05/2025

⭕🤦🏻‍♂️ CHUKUA DAKIKA MOJA SOMA KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕

➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA KUKIMBIZWA HOSIPITALI KWA TATIZO AMBALO UNAUWEZO WAKULITATUA MAPEMA?
➖KWANINI UNASHINDWA KUUTHAMINI MWILI WAKO WAKATI NDIO UNAOKUFANYA UFANIKIWE?

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.

💌 KARIBU UFANYE CHECKUP YA MWILI MZIMA KWA 20,000 TU
🔰 HII NI OFA KWA AJILI YAKO.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe katika ofisi zetu
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa 30000 tu

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 +255750666774

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp https://wa.me/message/EH762NL4UTVWN10750 666 774

BAWASIRIBawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwaUgonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba ...
05/05/2025

BAWASIRI

Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.

Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.

Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.

SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI

Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;

(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.

Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa

ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

kupata kinyesi chenye damu

kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
~ matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI bawasiri fluid na bawasiri powder hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

HUATHIRI KISAIKOLOJIA

MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍⭕🤦🏻‍♂️ CHUKUA DAKIKA MOJA SOMA KISHA TAFAKARI KUHUSU ILI 🤦🏻‍♂️⭕

➖NIGHARAMA KIASI GANI UTATUMIA PALE UTAKAPOZIDIWA NA KUKIMBIZWA HOSIPITALI KWA TATIZO AMBALO UNAUWEZO WAKULITATUA MAPEMA?
➖KWANINI UNASHINDWA KUUTHAMINI MWILI WAKO WAKATI NDIO UNAOKUFANYA UFANIKIWE?

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.

💌 KARIBU UFANYE CHECKUP YA MWILI MZIMA KWA 30000 TU
🔰 HII NI OFA KWA AJILI YAKO.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe katika ofisi zetu
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya/ Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa 30,000 tu

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 +255750666774

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp https://wa.me/message/EH762NL4UTVWN10750 666 774

Address

Tabata
Tabata

Telephone

+255750666774

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Medical drugs health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Medical drugs health care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram