JC Vifaranga Project Kilimanjaro

JC Vifaranga Project Kilimanjaro TUNATOA HUDUMA YA UUZAJI WA VIFARANGA WA KIENYEJI NA CHOTARA PAMOJA NA KUTOTOLESHA MAYAI YA KUKU, BA

HABARI ZA WEEK AND! TUNAWATANGAZIA WADAU WA KUKU WA LAYERS KUWA KUANZIA MWEZI WA NNE MWAKA HUU TUTAANZA KUPOKEA ORDER YA...
28/01/2024

HABARI ZA WEEK AND!
TUNAWATANGAZIA WADAU WA KUKU WA LAYERS KUWA KUANZIA MWEZI WA NNE MWAKA HUU TUTAANZA KUPOKEA ORDER YA VIFARANGA WA LAYERS KWA BEI NAFUU TU 🐣🐣 Pia Order za kawaida Bado zipo waziπŸ“žπŸ“ž0767 860 266

19/01/2024

ORDER ZIPO WAZI πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266

UMUHIMU WA VITAMIN KWA KUKUπŸ“UKOSEFU wa VITAMIN kwa Kuku au Upungufu wa VITAMIN hujionyesha kwa namna tofauti katika miil...
16/01/2024

UMUHIMU WA VITAMIN KWA KUKUπŸ“

UKOSEFU wa VITAMIN kwa Kuku au Upungufu wa VITAMIN hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin.

*πŸ–•πŸ½ UMUHIMU WA VITAMINI.*
πŸ‘‰πŸ»Husaidia katika ukuaji wa kuku.
πŸ‘‰πŸ» Humfanya kuku muda wote kuwa amechangamka.
πŸ‘‰πŸ» Husaidia kuku kuwa mwenye afya.
πŸ‘‰πŸ» Huwezesha kuku kuwa mtagaji Mzuri.

*πŸ“Œ UKOSEFU WA VITAMIN 'A' KWA KUKU*
Ukosefu wa vtamin 'A' hujitokeza baada ya kuku kukosa vyakula vyenye vitamin 'A' kwa muda mrefu Kuku wadogo huathirika zaidi kwa kwa ukosefu wa vitamun 'A' pia hata kuku wakubwa.

*πŸ“Œ DALILI ZA UKOSEFU WA VITAMIN 'A' KWA KUKU*

πŸ‘‰πŸ»Macho huvimba na kutoa uchafu mzito k**a sabuni ya mche iliyolowana maji

πŸ‘‰πŸ»Hudhoofika na hatimaye kufa na kuku ufa kwasababu uwa ni kipofu na hawezi kuona chakula kwahyo kuku ufa kwa njaa

*πŸ“Œ TIBA NA KINGA*
πŸ‘‰πŸ»Kinga ugonjwa huu kwa kuwapa kuku majani mabichi au mchicha au chainizi wakati wa kiangazi au kwa kuku wanaofungiwa ndani na hawawezi kula majani

πŸ‘‰πŸ»Wape kuku vitamini za kuku za dukani k**a TOPVITA kwasababu Topvita ina muunganiko wa vitamin ya A, D, E, B/ COMPLEX - C na ndo Vitamin nzuri na pekee yenye Vitamin A , pia wafugaji wangu sio kila Vitamin Ina Vitamin A , .

πŸ‘‰πŸ»Kwa kuku alie athirika na ugonjwa huu msafishe na maji ya vuguvugu yenye chumvi kiasi hakikisha uchafu wote unatoka pia unamuwekea *EYE WOUND POWDER ( OXYFARM ) KWENYE JICHO kisha mpe vitamin ya Dukani k**a *TOPVITA na ambao hawawezi kunywa wanyweshe kwa bomba ya sindano na wanaoweza kunnywa wenyewe waache wanye wenyewe na Fanya zoezi hilo kwa siku 5.*

*πŸ“Œ VITAMINI B*
Manyoya huonekana kusambaratika, panga za kuku kuonekana zikiwa zimepauka, na kwa kuku watagaji hupunguza uwezo wao wa kutotoa mayai.

*πŸ“Œ VITAMIN E*
Hizi ni dalili za ukosefu wa vitamin E kwa kuku,
πŸ‘‰πŸ»shingo huanguka chini na kupinda.
πŸ‘‰πŸ»Vifaranga huanguka kifudi fudi.
πŸ‘‰πŸ» Utagaji wa kuku hushuka kwa kiasi kikubwa.

*πŸ“Œ VITAMIN D*
Ukosefu wa vitamin D hupelekea tatizo la mifupa kuwa laini, na hali hii hupelekea mifupa kupinda pia magoti huvimba na hata midomo kuwa laini. Na hata ukuaji wa kuku huwa wa hafifu. Hii hutokana madini aina ya madini ya calcium na fosifolusi kutojengeka kwenye mifupa.
Kwa kuku watagaji hali hii hupeleka kwa kuku watagaji kutaga mayai yenye ganda laini.

*πŸ“ŒJINSI YA KUKABILIANA.*
Vitamini hupatikana katika majani mabichi ya mimea, mfano majani ya lusina, mpapai, mchicha na mikunde
Kazi ya vitamini ni kulinda mwili dhidi ya magonjwa, ila unaweza kutumia *LAYERS PREMIX* kwakua ndani yake kuna madini ya Selenium kuongezea kwenye chakula cha kuku ili uweze kuepukana na upungufu wa Vitamin E au unaweza kutumia , *FARMVITA* ambayo iko mfumo wa maji ambayo ndani yake inayo madini ya Selenium.

KWA MAHITAJI YA VIFARANGA πŸ“žπŸ“ž0767 860 266 JC Vifaranga Project Kilimanjaro vifaranga project

WATEJA WETU WANAENDELEA KUNUFAIKA NA VIFARANGA WETU WAZURIπŸ™Thank you for contacting Jc vifaranga project! Please let us ...
06/01/2024

WATEJA WETU WANAENDELEA KUNUFAIKA NA VIFARANGA WETU WAZURIπŸ™
Thank you for contacting Jc vifaranga project! Please let us know how we can help you.
KARIBU JC VIFARANGA PROJECT
---------------

πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯
Karibu Uwahi order Yako mapema πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266
PIA TUNAO VIFARANGA WA ISRAEL,KIENYEJI MBEGU KUBWA, KUROILER NA SASSO imel@Jc.digital@ymail.com FACEBOOK NA TWITTER NI JC VIFARANGA PROJECT πŸ™

πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯

BEI -Kuroiler Box180,000Box
Israel 200,000 Box
Kienyeji Mbegu kubwa 180,000box
Sasso 180,000 Box
HUDUMA NI KILIMANJARO NA MIKOANI.

06/01/2024

JE UNAHITAJI UPATE VIFARANGA KABLA YA JANUARY KWISHA?
WAHI MAPEMA ORDER YAKO πŸ“žπŸ“ž0767 860 266

Mwaka huu tuanze Na ulinzi katika Mabanda yetu ya ufugaji pamoja na majumbani kwetu,Pamoja kuwa na Mmbwa Lakini kifaa hi...
01/01/2024

Mwaka huu tuanze Na ulinzi katika Mabanda yetu ya ufugaji pamoja na majumbani kwetu,Pamoja kuwa na Mmbwa Lakini kifaa hiki kitakuelekeza moja Kwa Moja Kwenye mlango unaofunguliwa kufanya Uharibifu wa Mali zako UKIHITAJI FANYA MAWASILIANO NASI πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266 UNAWEZA PIA KUKIFUNGA KWENYE GARI LAKO,DUKA LA BIASHARA, KWENYE VIBANDA VYA M PESA BAR NK

Kuingia 2024 tunapiga hodi Tena katika ufugaji wa kukuTUWE BORA KESHO ZAIDI YA JANA πŸ™ AMMENBy JC Vifaranga Project Kilim...
31/12/2023

Kuingia 2024 tunapiga hodi Tena katika ufugaji wa kuku
TUWE BORA KESHO ZAIDI YA JANA πŸ™ AMMEN
By JC Vifaranga Project Kilimanjaro
πŸ“žπŸ“ž0767 860 266

USISITE KUTUPIGIA KWA MAHITAJI YA VIFARANGAπŸ“žπŸ“žπŸ“žπŸ“ž 0767 860 266UTUNZAJI WA VIFARANGA. Swali:Unaposema utunzaji wa vifaranga...
31/12/2023

USISITE KUTUPIGIA KWA MAHITAJI YA VIFARANGAπŸ“žπŸ“žπŸ“žπŸ“ž 0767 860 266

UTUNZAJI WA VIFARANGA.

Swali:Unaposema utunzaji wa vifaranga unamaanisha nini.*

Jibu:Ni hatua inayofuata baada ya yai kutotolewa , na Uleaji wa vifaranga ni jumla ya mambo yote yanayofanyika kwaajili ya kuhakikisha kifaranga anakua vema hasa ndani ya umri wa mwezi mmoja wa kwanza. Kipindi hiki ni muhimu kwakua mfugaji anapaswa kuweka mazingira sahihi mathalani kukuza vema kifaranga na kupunguza idadi ya vifo.

Hapa ndipo mwanzo wa kuku mkubwa kuanza kutengenezwa

*Swali:* *Mfugaji anapaswa kuzingatia mambo gani baada ya kifaranga kutotolewa* .

πŸ‘ˆ *JIBU* : Kabla ya kuangalia mambo gani ya kufanya baada ya kifaranga muanguliwa, ni vema mfugaji akafahamu mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kuingiza vifaranga hao bandani.

Mambo yafuatayo yazingatiwe kabla ya kuingiza vifaranga bandani

1: Andaa sehemu maalumu ya kulelea vifaranga Kinengunengu ( Brooder ) inaweza kuwa ya duara au ya pembe ila iwe na uwezo wa kutunza joto kwa muda wote itakavo hitajika.

Hii iwe ndani ya chumba ambacho kinaruhusu hewa kuingia

Kiruhusu mwanga kuingia ili vifaranga waone chakula na maji

Chumba kiwe na chanzo cha joto, unaweza kutumia Vyungu vya joto, Gas brooder, Electric heater, Bulb za umeme, Infrared bulb N.K, ni muhimu sana kuzingatia joto kwakua bila kufanya hivo utapoteza vifaranga wengi katika kipindi hiki.

Ikumbukwe kifaranga akiwa na umri chini ya wiki 2 mwiliwake unakua hauna uwezo wa kuzalisha joto la kutosha hivo anahitaji joto la ziada kumfanya astawi vema.

*Swali* :Wafugaji wengi hawana vifaa vya kupimia joto, je mfugaji atajuaje k**a joto bandani linayosha au halitoshi.*

*Jibu* : Nikweli nimuhimu mfugaji akatambua viashiria vya hali ya hewa bandani hatak**a hatakua na vifaa vya kupimia joto

*Vifaranga utawatambua kwa mwenendo wao bandani.*

πŸ‘ˆ *Kipindi cha baridi* , au k**a bandani kuna baridi, Vifaranga wataonesha dalili zifuatazo
πŸ‘‰Watakusanyika sehemu moja, au katika makundi makundi na watakua wakitetemeka
πŸ‘‰Watakusanyika karibu na chanzo cha joto (chungu, jiko, bulb)
πŸ‘‰Vifo hutokea katika hayo makundi kwa kulaliana na kukosa hewa( suffocation ).

*Suluhu* : Pindi joto linapopungua ongeza chanzo cha joto, mfn k**a ulikua unatumia chungu kimoja unaongeza, au unazuia mianya ya kuingilia upepo wenye baridi. Au kuongeza bulb za joto n.k

πŸ‘‰ *K**a joto litazidi sana.*
Hapa vifaranga huonesha dalili ya kufumbua midomo na kuhema muda wote mdomo ukiwa wazi,

Pia vifaranga hukaa mbali na chanzo cha joto ( bulb , vyungu, gas brooder au heater) na husogea pembezoni kabisa mwa brooder mahali ambapo joto halitafika sana

Hapa vifaranga hawatakua wanakula na kunywa maji ipasavyo na ukuaji wao huwa si mzuri

Vifaranga huonesha kuganda kinyesi nyuma ( cheusi na vifo huongezeka kwa kupungukiwa maji ) dehydration.

*Suluhu* : Punguza chanzo cha joto mpaka utakapoona hali ya hewa bandani ni sahihi kwa vifaranga wako ( wasambae vema bandani).

K**a unatumia bulb unazinyanyua juu kidogo zisisogee zana karibu na migongo ya vifaranga

K**a unatumia Gas brooder unapunguza level ya kufungulia gas, fungulia wastani.

πŸ‘‰ *Joto sahihi* Vifaranga watasambaa vema bandani, wataendelea na mizunguko ya kawaida, watakua bize kula na kunywa maji na ukuaji wao huwa mzuri na wauwiano mzuri kabisa.

πŸ‘‰ *Upepo ukiingia sana bandani*

Vifaranga hukimbia kwa mizunguko ya makundi makundi na hurundikana mahali upepo unapoingilia, *mfn* upepo ukiingilia Magharibi kuelekea mashariki , vifaranga watakusanyika dirisha la magharibi kukwepa upepo usiwafikie mashariki.

*Suluhu* : Weka matrubai kuzuia upepo unaoingia moja kwa moja pindi upepo unapozidi ila usizibe sana acha sehemu ya hewa kuingilia.

*Swali:* *Nitagunduaje k**a kifaranga anaumwa.?*

*Jibu:*

Inawezekana kutambua k**a kifaranga anaumwa mathalani kwa kuangalia vitu vichache
πŸ‘ˆUchangamfu, ulaji, kuzubaa, ila hii haikupi kujua huyu kifaranga anaumwa nini hakika

πŸ‘‰Kitu ambacho unapaswa kukizingatia ni kuangalia dalili, ili kutambua ugonjwa husika ( kinyesi, idadi ya Vifo, kukoroma, chafya) Usianzishe dozi ya dawa kwa kifaranga pasipo kujua dalili sahihi ya ugonjwaπŸ’ͺ

*Magonjwa sumbufu kwa vifaranga*

πŸ‘‰ *Coccidiosis* , Vifaranga huzubaa, hushusha mabawa, hutoa vinyesi vya ugoro na hatimae kinyesi chekundu ( Tiba itategemea level ya ugonjwa ila Dawa zinazotumika Hasa , ni Amplorium, Vetacoxys , Agracox, (Anticox kwa anaehara damu) MUONE DAKTARI

πŸ‘‰ *Pullurm* Ugonjwa wa vifaranga kuganda kinyesi nyuma, hasa ranging ya njano, hii ni aina mojawapo ya typhoid na hurithiwa kutoka kwa wazazi kupitia yai

Suluhu pata vifaranga kutoka shamba salama lisilo na typhoid

Pindi wanapo umwa, tumia dawa k**a Trisul, Trimafarm au Biosol ( *fika clinic au muone daktari kwa msaada* )

πŸ‘‰ *Brooder Pneumonia,* kifaranga anakua anapumua ila hatoi sauti, hii imeripotiwa kuua vifaranga wengi sana kwenye mashamba mengi, Suluhu vifaranga wachanjwe chanjo za maambukizi ya mfumo wa hewa k**a IB, pia zingatia Joto kwenye Brooder. *(Case hii ni ngumu kwa wengi fika Clinic ya mifugo kwa msaada zaidi

*Swali:* *Kifaranga kwanini anachanjwa, na anatakiwa kuchanjwa kila baada ya muda gani?*
*Jibu:* Kutokana na aina ya kuku ratiba za chanjo zinatofautiana k**a ifuatavyo

πŸ‘‰ *Broilers/ kuku wa nyama*
Siku ya 7 Newcastle/ kideri
Siku ya 14 Gumboro
Siku ya 21 Newcastle /kideri

Au

Siku ya 7 kideri/ Newcastle
Siku ya 14 Gumboro
Siku ya 21 Gumboro

πŸ‘‰Kwa kuku wanaotaga (Chotara, Layers , kienyeji)

Siku ya 1 Marek's
Siku ya 7 Newcastle/ kideri
Siku ya 14 Gumboro
Siku ya 21 Newcastle /kideri
Siku ya 28 Gumboro
Siku ya 30 Ndui
Kila baada ya miezi mitatu Newcastle/kideri

*Swali* πŸ‘‰Kwanini kuku anachanjwa?
*Jibu:* Kuku anachanjwa ili apewe kinga dhidi ya ugonjwa husika kabla haujaingia, na hata k**a utaingia tayari mwili utakua umetengeneza kinga/immunity ya kutosha dhidi ya ugonjwa husika.

*Swali:* Ni kwanamna gani mfugaji anapaswa kuchanja vifaranga wake ipasavyo?

*Jibu:* Kwanza kabisa zipo njia nyingi za kuchanja kuku kutokana na aina ya chanjo , na namna za kuchanja hutofautiana kwa kuzingatia maelekezo ya chanjo

*Maelezo ya namna ya uchanjaji*

Mfn: Newcastle na Gumboro, ni chanjo ambazo huchanganywa kwenye maji na kuku akanywa

Ila *NEWCASTLE* ipo chanjo ya matone ambayo inawekwa tone moja kwa jicho moja pekee( usiweke macho yote)

Jitahidi kuchanganya kutokana na idadi ya kuku na nunua dozi stahiki.

*UCHANGANYAJI*
πŸ‘‰DOZI 500 lita zisizidi 20 Lita
πŸ‘‰Dozi 10000 maji yasizidi Lita 40
πŸ‘‰Kwa sasa zipo dozi ndogo pia za kuku 200-300

πŸ‘‰Chanjo za sindano k**a NDUI huchomwa eneo la bawa( wing web)
πŸ‘‰Zipo chanjo za Kifua na za shingo. ( *Waone madaktari)*

*Mwisho kabisa*

Sio sheria kifaranga kupewa madawa wakati hawaumwi πŸ’ͺπŸ’ͺ

Vifaranga wapewe chakula sahihi

πŸ‘‰STARTER KWA UMRI WA wiki 7-8 KWA WANAO ANDALIWA KUTAGA

Kwa vifaranga Bora tucheck sasa JC VIFARANGA PROJECT 0767 860 266
IMEL jc.digital@ymail.com

JANUARY NDIO HIYO WAHI ORDER YAKO MAPEMA πŸ£πŸ£πŸ£πŸ“žπŸ“ž0767 860 266 Huduma ni Kilimanjaro na Mikoani
30/12/2023

JANUARY NDIO HIYO WAHI ORDER YAKO MAPEMA 🐣🐣🐣
πŸ“žπŸ“ž0767 860 266
Huduma ni Kilimanjaro na Mikoani

KARIBUNI WATEJA WETU WA NYUMBANIK**A HUYU WA HIMOK**A UNATAKA KUANZA MDOGO MDOGO BADO TUNAKARIBISHA UJIPATIE HATA VIFARA...
30/12/2023

KARIBUNI WATEJA WETU WA NYUMBANI
K**A HUYU WA HIMO

K**A UNATAKA KUANZA MDOGO MDOGO BADO TUNAKARIBISHA UJIPATIE HATA VIFARANGA 30 ILA INATEGEMEA NA LOCATION
Tupigie πŸ“žπŸ“ž0767 860 266

USIDANGANYIKE VIFARANGA WA KUKU ILI WAKUWIE WAZURI NI LAZIMA WATOKE KWA WAZAZI HALISI WA HAO KUKUπŸ‘‡HAWA NDIO WAZAZI HALIS...
29/12/2023

USIDANGANYIKE VIFARANGA WA KUKU ILI WAKUWIE WAZURI NI LAZIMA WATOKE KWA WAZAZI HALISI WA HAO KUKU

πŸ‘‡HAWA NDIO WAZAZI HALISI VIFARANGA WA KUROILER TULIO NAO WAHI ORDER YAKO YA JANUARY TUPIGIE MAPEMA πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266
Huduma ni Kilimanjaro na Mikoani

KARIBU JC VIFARANGA PROJECT
---------------

BEI -Kuroiler Box180,000Box
Israel 200,000 Box
Kienyeji Mbegu kubwa 180,000box
Sasso 180,000 Box
Box linakuwa na vifaranga 103

HUDUMA NI KILIMANJARO NA MIKOANI.

Tuyafanye maisha,tujenge majumba,turuke majoka,lkn tusisahau kul kukuπŸ˜‚πŸ˜‚ au mnaonaje wapenwa? FUGA KUKU SASA ULE NYAMA NY...
29/12/2023

Tuyafanye maisha,tujenge majumba,turuke majoka,lkn tusisahau kul kukuπŸ˜‚πŸ˜‚ au mnaonaje wapenwa?

FUGA KUKU SASA ULE NYAMA NYEUPE KWANI ULAJI WA NYAMA NYEKUNDU KILA MARA UNA MADHARA YAKE
πŸ“žπŸ“ž TUPIGIE SASA UPATE ORDER YAKO YA VIFARANGA WAZURI KUTOKA KWETU πŸ¦…πŸ“ž0767 860 266
Huduma ni Kilimanjaro na Mikoani

29/12/2023

dar es salaam tanzania
ASANTENI KWA KUJUA THAMANI YA VIFARANGA WETU MARA NGINGI TUπŸ™

Tunakaribisha order Mpya πŸ“žπŸ“ž
HUDUMA NI KILIMANJARO NA MIKOANI

29/12/2023
25/12/2023

WAFUGAJI WENZETU TUNAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA CHRISTMAS

KILA MLO WA WATOTO WAKO WEKA YAI HATA MOJA KWA SIKU KULINDA AFYA YA AKILI ZAOTunao vifaranga wa Israel, kuroiler,sasso n...
18/12/2023

KILA MLO WA WATOTO WAKO WEKA YAI HATA MOJA KWA SIKU KULINDA AFYA YA AKILI ZAO

Tunao vifaranga wa Israel, kuroiler,sasso na kienyeji Mbegu kubwa πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266

KARIBU WAHI ORDER UCHUKUE VIFARANGA KABLA SIKUKUU YA CHRISTMAS πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266
17/12/2023

KARIBU WAHI ORDER
UCHUKUE VIFARANGA KABLA SIKUKUU YA CHRISTMAS πŸ“žπŸ“ž 0767 860 266

December yako Imekuja na Baraka Kamili, Imetikiswa Pamoja, Imefurika... πŸ’ƒπŸ”Krismasi Njema πŸ₯³πŸŽ…πŸŽ„β›„πŸŽ„.πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯JC Vifaranga ...
10/12/2023

December yako Imekuja na Baraka Kamili, Imetikiswa Pamoja, Imefurika... πŸ’ƒπŸ”
Krismasi Njema πŸ₯³πŸŽ…πŸŽ„β›„πŸŽ„.
πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯πŸ₯

JC Vifaranga Project: Tunauza VIFARANGA KROILER , ISRAEL,SASSO NA AMBAO NI CHOTARA WA MAYAI NA NYAMA PIA WAPO KIENYEJI MBEGU KUBWA KWA ORDER

Sifa:
●Hufugika kienyeji.
●Hukua haraka.
●Hutoa nyama nyingi na laini.
●Huvumilia magonjwa.

MAWASILIANO:
0767 860 266
Weka order sasa
TUPO KILIMANJARO NA TUNAHUDUMIA MIKOANI usafiri sasa ni WA uhakika karibuniπŸ“žπŸ“žπŸ“žπŸ“ž
πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ“

IMEL: jc.digital@ymail.com

CHANGAMKIA ORDER YAKO
tunao vifaranga wa SASSO kifaranga 1800 box 180.000KUROILER 1800 box 180,000 NA ISRAEL kifaranga 2,000 box 200.0000 PIA KIENYEJI MBEGU KUBWA 180,000 nambaYA ORDER NI 0767 860 266 JC VIFARANGA PROJECT
Imel …..digital@ymail.com

Address

Kilimanjaro
Tanga

Telephone

0767860266

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JC Vifaranga Project Kilimanjaro posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JC Vifaranga Project Kilimanjaro:

Share